Moyo wangu umejaa simanzi na uchungu! Nchi inaliwa sana hii

Moyo wangu umejaa simanzi na uchungu! Nchi inaliwa sana hii

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
TRA ikisema ikusanye fedha zinazoibiwa kama CAG alivyosema, itakusanya hela nyingi kuliko hizi wanazokimbizana na Wafanyabiashara huku barabarani.

Na Dkt Mwigulu Nchemba akisema aache Safari zake za nje za kwenda kutafuta mikopo himilivu,then afuatilie hela za mashirika yanayojiendesha kwa hasara, atakusanya hela nyingi kuliko za wazungu na hatutakua na madeni ya Taifa himilivu.

Ila hizi taarifa za wizi wizi hata wakati JPM yupo hai Bado kulikua na upigaji tu, Kuna nyakati gari la dawa za MSD enzi za JPM lilionekana limekwama darajani na dawa za mabilioni na hazijafika mpaka leo.

Hizi ni enzi za JPM, Tena Kuna kipindi trillion 1.5 ilikua haijulikani ilipo enzi za JPM mkali, vipi kuhusu mama 😁?

Haya maisha bana usiige mtu kujenga jumba la kifahari ama kanunua gari Kali ukasema " ,na Mimi nifanye kazi Kwa bidii" ,kumbe mwenzio ndege ya bilioni 40 kaandika inatakiwa bilioni 86, hizi bilioni 46 anazipiga kiulaini kabisa wakati wewe na mshahara wako wa laki tatu unaota ndoto za kumiliki Mali kama zake .

" kuanzia leo mie sie mzalendo na nasema sitolipa kodi na niyaharibu kila kitu cha nchi hii"
 
TRA ikisema ikusanye fedha zinazoibiwa kama CAG alivyosema, itakusanya hela nyingi kuliko hizi wanazokimbizana na Wafanyabiashara huku barabarani.

Na Dkt Mwigulu Nchemba akisema aache Safari zake za nje za kwenda kutafuta mikopo himilivu,then afuatilie hela za mashirika yanayojiendesha kwa hasara, atakusanya hela nyingi kuliko za wazungu na hatutakua na madeni ya Taifa himilivu.

Ila hizi taarifa za wizi wizi hata wakati JPM yupo hai Bado kulikua na upigaji tu, Kuna nyakati gari la dawa za MSD enzi za JPM lilionekana limekwama darajani na dawa za mabilioni na hazijafika mpaka leo.

Hizi ni enzi za JPM, Tena Kuna kipindi trillion 1.5 ilikua haijulikani ilipo enzi za JPM mkali, vipi kuhusu mama 😁?

Haya maisha bana usiige mtu kujenga jumba la kifahari ama kanunua gari Kali ukasema " ,na Mimi nifanye kazi Kwa bidii" ,kumbe mwenzio ndege ya bilioni 40 kaandika inatakiwa bilioni 86, hizi bilioni 46 anazipiga kiulaini kabisa wakati wewe na mshahara wako wa laki tatu unaota ndoto za kumiliki Mali kama zake .

" kuanzia leo mie sie mzalendo na nasema sitolipa kodi na niyaharibu kila kitu cha nchi hii"

Kama serikali inashirikiana na wezi wa kodi zetu kwa kuwaachia watuibie kwa ujanja ujanja na wao kucheka Cheka tu basi hakuna uhalali kwa wananchi kulipa kodi!!
Safari za viongozi kwenda ughaibuni zimezidi na wanakuwa wengi mno na yote hiyo ni ghararma kwa walipa kodi!! Jiwe alipiga marufuku safari za nje zisizokuwa na tija na aliweza kupunguza matumizi ya Serikali. Toka mama Samia ameingia tabia iliyojengeka enzi za Kikwete kwa watumishi kusafiri bila mpangilio imejirudia na kulitia Taifa hasara kubwa!! Recurrent expenditure ya serikali ya Samia is astronomical!!
Mama unasema unafungua nchi, sawa lakini ufunguzi wako uwe methodical na sio holela!!
 
😁😁😁
 
Yeyote anayewahujumu watanzania kwa kiwango cha kufa hawezi kubaki salama. Kweli ufisadi umekuwepo miaka yote sasa hii imekuwa kama kuna ukomoaji.

Je, Aliyeleta na kusababisha yote yaliyotokea ni mtanzania Wa kawaida? Na kama aliyesababisha hayupo kwanini waliohai wanaendelea kutaabishwa?

Kwanini Mwl. Nyerere aliona si vyema kuihujumu Tanzania? Unadhani ni uzalendo pekee? Je aliona nini?
 
Back
Top Bottom