NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Na Daud Balali je?Naomba Uzi huu usiunganishwe na wowote modes.
Kimsingi akili mwili na roho yangu vinagoma kuamini Ben sanane na Azory gwanda sitawaona milele Yani siamini kabisaaaa.
Mpaka kesho nitajiuliza kwanini Mungu amewatwaa watu Hawa Kama nabii eliya?
Au hii inanivutia niamini kwamba hata bibilia iliandikwa kwa misingi hi?
Pengine nabii eliya nayeye alipotea kwenye mazingira haya ya Ben sanane na Azory gwanda ndio maana walioandika biblia waliamua kuweka shotkat?
Kitendawili hiki Cha Ben na Azory ipo siku kitateguliwa !!
Siku hazigandi!! Hata ya lisu bado yako moyoni .
Mambo yote haya yatakuja kulipuka Kama mlima Vesuvius kule pompeii Italia!!
Modes tendeni haki kwa kuacha nyuzi za watu ziishi!!
Hawa tutakutana nao Mbinguni. Kila wakitajwa wakikumbukwa Moyo wangu unakaa Simanzi na Kilio. Kipekee Kijana mdogo tuu mwanafunzi wa Chuo Ben Saanane. I wish ningejaliwa "Divine Power" ya kutengeu kitendawili cha wapi walipo. Anyway kama Ben Ulishakufa Rest In Peace.Naomba Uzi huu usiunganishwe na wowote modes.
Kimsingi akili mwili na roho yangu vinagoma kuamini Ben sanane na Azory gwanda sitawaona milele Yani siamini kabisaaaa.
Mpaka kesho nitajiuliza kwanini Mungu amewatwaa watu Hawa Kama nabii eliya?
Au hii inanivutia niamini kwamba hata bibilia iliandikwa kwa misingi hi?
Pengine nabii eliya nayeye alipotea kwenye mazingira haya ya Ben sanane na Azory gwanda ndio maana walioandika biblia waliamua kuweka shotkat?
Kitendawili hiki Cha Ben na Azory ipo siku kitateguliwa !!
Siku hazigandi!! Hata ya lisu bado yako moyoni .
Mambo yote haya yatakuja kulipuka Kama mlima Vesuvius kule pompeii Italia!!
Modes tendeni haki kwa kuacha nyuzi za watu ziishi!!
Mkuu Tutashinda, kauli huumba, na lisemwalo lipo kama halipo, linakuja!.
Angalia heading ya bandiko lako hili, na tarehe ya bandiko hili, halafu angalia nini kilikuja kutokea kwa Ben Saanane.
Ben Saanane mwisho wake umefika rasmi
Uchaguzi wa Bavicha ndio joto linaanza kupanda.Ni jambo la hatari sana kuwa na mtu kama Ben Saanane kwenye nafasi ya juu ya BAVICHA.Tumeamua kuitendea haki BAVICHA na sasa kanuni za uchaguzi ndizo zitakazozingatiwa tu.Kiongozi ambaye kazi yake ni kufikiria namna ya kulipiza visasi hafai hata...www.jamiiforums.com
Wana jf tuanze kujifunza kuchunga kauli zetu, kauli nyingine zinaumba, ukisema mwisho wa fulani, bila hata wewe kumaanisha ni mwisho kwa kutoweka, kwenye heading ulisema
"ben-saanane-mwisho-wake-umefika-rasmi",
Wewe bila kujua kuwa kauli hii ina powers, baada ya kutolewa bila kuwekewa any caveat ya mwisho wa nini, then powers zimeanza ku act kuutengeneza mwisho wa Ben.
Maadam kwenye bandiko hili, ulidhamiria mwisho wa Ben Saanane ni mwisho kwenye uchaguzi wa Bavicha, then the headline yako should have said so, " Ben Saanane Mwisho Wake Kugombea Bavicha Umefika Rasmi " ili zile powers za kauli yako iwe limited kwa Bavicha tuu, kitendo cha kutoa open ended statements bila kinga, ndicho kimepelekea kuchangia kufika mwisho kwa Ben Saanane.
Kwenye bandiko hili mimi pia nilichangia
From no where, jana nimetokea tuu kumkumbuka Ben Saanane, sikujua kwanini, hivyo nilipoamka nikaanza kupitia baadhi ya mabandiko humu ndipo nikakutana na bandiko hili la 2014, nilipolisoma ndipo nikagundua kumbe jana ndio tarehe ya kuzaliwa ya Ben Saanane.
Happy Birthday Ben Saanane.
P
Hakika wewe ni mhusika mkuu. Aliye kuambia malengo yetu hayajatimia nani? Iko siku tutalipa kisasi IMA kwa wahusika wenyewe au ndugu zao.Kama unagoma so what?? Badala ufikirie mwaka huu sijatimiza malengo nahitaji nitimize
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mvuv, wewe kama binaadam, huna uwezo wa kujua kauli ya nani ina nguvu na kauli ya nani haina nguvu kwasababu nguvu za kauli sio zetu ni zake YEYE Atutiaye nguvu.Mkuu sipingi kuwa kauli huumba na zina nguvu sana lakini napingana na wewe unavyoihusisha hiyo thread na mwisho wa Ben. Huyo aliyetoa hiyo thread hana nguvu kiasi hicho kwamba mamlaka zishindwe kumdaka.
ww mzee umejaa siasa za u ccm wako mpaka uko radhi kutumika kwaajili ya udini na ukabila la usukumaMkuu Mvuv, wewe kama binaadam, huna uwezo wa kujua kauli ya nani ina nguvu na kauli ya nani haina nguvu kwasababu nguvu za kauli sio zetu ni zake YEYE Atutiaye nguvu.
P
Kampangie mama yako malengo unajuaje kwamba kuwaona Ben na Azory sio sehemu ya malengo yangu!?
Mungu ndiye ajuaye, mara nyingi watu hawa wakitajwa huwa najawa hasira sana
Sent using Jamii Forums mobile app
. ๐๐๐ Mpaka wamuuwe unadhani mbowe ni yesu?Mwili wa mtu kupotea katika mazingira ya ajabu Karne ya 21 bila kujulikana popote sio Jambo la kawaida acheni tuhoji mpaka watesi wasikie Kama ni Mungu aliwatwaa watu Hawa kimiujiza tujue ila kamwe hatutaacha kutumia platform huru Kama hizi kuwaulizia watu Hawa Mimi ningekuwa mbowe nisingekaa kimya mpaka waniuwe!
Karma imetenda hakiKimsingi akili mwili na roho yangu vinagoma kuamini Ben sanane na Azory gwanda sitawaona milele Yani siamini kabisaaaa.
Mpaka kesho nitajiuliza kwanini Mungu amewatwaa watu Hawa Kama nabii eliya?
Au hii inanivutia niamini kwamba hata bibilia iliandikwa kwa misingi hi?
Pengine nabii eliya nayeye alipotea kwenye mazingira haya ya Ben sanane na Azory gwanda ndio maana walioandika biblia waliamua kuweka shotkat?
Kitendawili hiki Cha Ben na Azory ipo siku kitateguliwa !!
Siku hazigandi!! Hata ya lisu bado yako moyoni .
Mambo yote haya yatakuja kulipuka Kama mlima Vesuvius kule pompeii Italia!!