Moyo wangu unagoma kuamini kwamba Ben Saanane na Azory Gwanda sitawaona milele

Moyo wangu unagoma kuamini kwamba Ben Saanane na Azory Gwanda sitawaona milele

Kimsingi akili mwili na roho yangu vinagoma kuamini Ben sanane na Azory gwanda sitawaona milele Yani siamini kabisaaaa.

Mpaka kesho nitajiuliza kwanini Mungu amewatwaa watu Hawa Kama nabii eliya?

Kitendawili hiki Cha Ben na Azory ipo siku kitateguliwa !!

Mambo yote haya yatakuja kulipuka Kama mlima Vesuvius kule pompeii Italia!!
Vipi sasa umeamini?
P
 
Back
Top Bottom