Moyo wangu unaugua kwa ajili ya raia wa Afghanistan

Moyo wangu unaugua kwa ajili ya raia wa Afghanistan

Nenda hatua moja nyuma utagundua nini alikisema. Kusema ukweli mchungu siyo kupanik. Na kama ni tusi, basi wanaofanya hayo matusi waache ili yasiwe kwenye macho ya watu maana huo ndio ukweli. Hawa watu ni mashetani. Unaona hapa?
Anayefanya haya ni muislam safi kwa kubaka, kuoa vitoto n.k , lakini anayetahadharisha watu kuhusu hii version ya uislam anatukana!. Hakuna ACHENI KULAZMISHA BINADAMU WAFUATE USHETWANI AMBAO MWISHO WAKO NI HUKUMU YA MUNGU YENYE KUTISHA. SHETANI NA WAFUASI WAKE WAMEANDALIWA ADHABU KATIKA ZIWA LIWAKALO MOTO WA KIBERITI AMBAO FUNZA WAKE HAWAFI.


TALIBANI WANAFANYA NGONO NA MAITI, AFICHUA MWANAMKE WA FGHANISTANI ALIYEKO INDIA

Taliban has sex with dead bodies, reveals Afghan woman who came over to India


Her life was threatened by the Jihadist group as a consequence of which she had to leave her job and flee the country.


22 August, 2021
OpIndia Staff
Taliban has sex with dead bodies, reveals Afghan woman who came over to India


TALIBANI WANABAKA WATOTO WA MIAKA 12


Hizi tabia mnazipata wapi?


Muhammad Married A Six Year Old Child. Aisha, daughter of Abu-Bakr was a beautiful little girl. Muhammad married her when he was fifty three years old and she was only six years old.

Muhammad Married A Six Year Old Child

View attachment 1904304
https://luk.staff.ugm.ac.id › XIslam › USA › chap0302


INAHITAJI KUMVAA SHETANI MZIMA MZIMA ILI KUTETEA UCAHFU WOTE HUU. JIANGALIENI SANA. JEHANUM NI HALISI KAMA VILE MBINGU ILILVYO HALISI

Wewe siwezi kutukana Wala kukudhalilisha mitandaoni... Nikujibie kwa upole sbb uislam Ni amani.... Ukitaka elewa usipotaka usielewe.... Kuna tofauti ya uislam na muislam... Hapo juu umeandika mwenyewe kuwa Taliban wanabaka watoto... Sasa nikupe kazi Kama hutojali, tafuta sheikh yoyote muhonge hata helA Mana najua Quran huijui... Mwambie akupe kifungu au Aya yoyote ile kutoka katika Quran inayotaka watu kulala na maiti za Aunt zao au kubaka watoto... Usije na propaganda za mitandaoni kwa kupanic... Kwani Kuna waislamu wangapi huko mtaani wanakula nguruwe??? Kwani uislam umeamrisha Nini kuhusu nguruwe??? Kwahio ukimkuta muislam bar ameagiza kitimoto na pombe utasema huo ndo uislam kwakuwa umemkuta muislam anafanya hivyo???....
HUKO KUTAKUWA NI MATUMIZI MABAYA YA AKILI NA KUTUKOSEA ADABU...
Hio video ya pili kuhusu Muhammad amepost Nani? Mana sisi mtume wetu Muhammad (saww) haku have sex na a six year old girl... Utakuwa wanamzungumzia Muhammad mwingine... Sie huyu niliemsoma na kumtafiti... Sasa kwa sababu una bando la kutafuta vitu negative km hivyo mitandaoni embu jaribu kusoma zaidi kuhusu uislam kutoka kwa waislam wanaopractice uislam wenyewe... Sio unaingia kwenye page za haters Kama wewe halafu unakuja kutema nyongo hapa kwa ufinyu wa maarifa... SIJAKUAMBIA UWE MUISLAM.... HAPANA... NIMEKUAMBIA JARIBU KUTAFITI YALIYO YA KWELI KUHUSU UISLAM... Mimi mwenyewe naweza nikaja na video za kukukera kuhusu mapadri na wachungaji huko makanisani wengine wakiwabusu midomoni waumini wao... Wengine wakiambiwa wavue nguo ndo waombewe, Yani Mambo Ni mengi....
Lakini ili nijitofautishe na wewe wacha nikustahi... Haina msingi Mimi kuweka video hizo hapa sababu sijaona kifungu kwenye biblia kinachoamrisha hayo wanayoyafanya... Hivyo naonaga Ni upotevu tu km upotevu mwingine... Au unataka kuniambia we hizo video hujawahi kuziona??? Unaonaga za waislam tu???... Ukitaka msaada wa mafundisho mbalimbali kuhusu uislam Ni pm tu nikupe namba nijaribu kukuweka sawa. Mana kuingia humu na kujibu jibu hoja naona nachelewa.
JITAFAKARI BASI KAMA MTU MWENYE AKILI... UNLESS KM HUNA AKILI SITOHANGAIKA KUKUJIBU TENA.
 
Ndugu wasomaji, ni nini tunajifunza katika hali hii iliyoko Afghanistan?

Siku zote sijawahi kuwa na imani na unafiki wa watu wanaosema wanatetea dini lakini wakitoa watu kuwa sadaka kwa miungu. Wanalazimishsa kutawala kwa jina lolote lakini si kwa ajli ya watawaliwa.

Hivi utawala wa mabavu, siasa za kuangamiza watu kwa misingi ya dini isiyokubalika, ndio utawala wa shetani?

Moyo wangu unaugua sana kwa ajili ya raia wa Afghanstan. Ninaugua sana. Mungu nakuomba uwakumbuke hawa watoto wako unaowapenda katika nchi ya Afghan. Dunia imeshindwa kuwatetea lakini wewe unaweza. Dunia imeshindwa kuwalinda lakini wewe unaweza. Wametekwa ndani ya eneo ulilowapa na kwa mkono wa adui wa ndani sasa ni mateka. Maisha yao yamejaa mashaka bila tumaini.

MUNGU, KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYEHAI MILELE, KWA AGANO LA DAMU YA YESU, NAINAOMBA UWAKUMBUKE TAIFA LA AFGHANSTANI. NINAOMBA MUNGU UWAONYESHE UWEPO NA UPENDO WAKO. AHSANTE BABA KWA KUWA UNANISIKIA SIKU ZOTE. KWA JINA LA YESU NIMEOMBA - AMEN



Hope Serikali ya Taleban wataiweka na kuirudisha nchi katika hali yake. Kuwa na amani mzee. Wale wapumbafu wazungu ndiyo wamesababisha machafuko kwenye ardhi ya wa2, na kusababisha kuuawa kwao.
 
Nenda hatua moja nyuma utagundua nini alikisema. Kusema ukweli mchungu siyo kupanik. Na kama ni tusi, basi wanaofanya hayo matusi waache ili yasiwe kwenye macho ya watu maana huo ndio ukweli. Hawa watu ni mashetani. Unaona hapa?
Anayefanya haya ni muislam safi kwa kubaka, kuoa vitoto n.k , lakini anayetahadharisha watu kuhusu hii version ya uislam anatukana!. Hakuna ACHENI KULAZMISHA BINADAMU WAFUATE USHETWANI AMBAO MWISHO WAKO NI HUKUMU YA MUNGU YENYE KUTISHA. SHETANI NA WAFUASI WAKE WAMEANDALIWA ADHABU KATIKA ZIWA LIWAKALO MOTO WA KIBERITI AMBAO FUNZA WAKE HAWAFI.


TALIBANI WANAFANYA NGONO NA MAITI, AFICHUA MWANAMKE WA FGHANISTANI ALIYEKO INDIA

Taliban has sex with dead bodies, reveals Afghan woman who came over to India


Her life was threatened by the Jihadist group as a consequence of which she had to leave her job and flee the country.


22 August, 2021
OpIndia Staff
Taliban has sex with dead bodies, reveals Afghan woman who came over to India


TALIBANI WANABAKA WATOTO WA MIAKA 12


Hizi tabia mnazipata wapi?


Muhammad Married A Six Year Old Child. Aisha, daughter of Abu-Bakr was a beautiful little girl. Muhammad married her when he was fifty three years old and she was only six years old.

Muhammad Married A Six Year Old Child

View attachment 1904304
https://luk.staff.ugm.ac.id › XIslam › USA › chap0302


INAHITAJI KUMVAA SHETANI MZIMA MZIMA ILI KUTETEA UCAHFU WOTE HUU. JIANGALIENI SANA. JEHANUM NI HALISI KAMA VILE MBINGU ILILVYO HALISI


Huna hoja za maana,,,ingependesa ukakaa kimya.
 
Hope Serikali ya Taleban wataiweka na kuirudisha nchi katika hali yake. Kuwa na amani mzee. Wale wapumbafu wazungu ndiyo wamesababisha machafuko kwenye ardhi ya wa2, na kusababisha kuuawa kwao.
Mkuum hawa wapumbavu ndio wamesababisha matatizo Afghan,? Kwa namna gani? V
 
Uzuzu na ujinga kabisa, wale wana maisha yao, ghafla US kaingia na kuleta zao za demokrasia kumbe wana yao, huwezi ingia boma ya mtu na kulazimisha mila, desturi na utamaduni wa mtu, safi Taliban, Afghanistan imerudi kwa wenyewe.

sasa kwanini raia wanakimbia nchi
 
Back
Top Bottom