Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga mtupu google uangalie waswahili waliomo kisiwa cha Andaman waitwao jarawa wanavyotenzwa na wabaguzi hao.Kwangu m imi binadamu anayeonewa ni wa thamani kuliko mahala wala kitu chochote. Wewe je?
Kwa hiyo wewe unafurahia hao wanavyobaguliwa na kuteshwa ukiwa mwerevu? Kweli uhuha ni adui wa maendeleo.Ujinga mtupu google uangalie waswahili waliomo kisiwa cha Andaman waitwao jarawa wanavyotenzwa na wabaguzi hao.
Tumia akili yako au nawe gabacholiKwa hiyo wewe unafurahia hao wanavyobaguliwa na kuteshwa ukiwa mwerevu? Kweli uhuha ni adui wa maendeleo.
Hivi wewe punguani unataka nini? Leave me alone mwendawazimu wewe!. Ungelikuwa na akli japo kidogo usingekuwa pumba kiasi hiki.Tumia akili yako au nawe gabacholi
Ndugu wasomaji, ni nini tunajifunza katika hali hii iliyoko Afghanistan?
Siku zote sijawahi kuwa na imani na unafiki wa watu wanaosema wanatetea dini lakini wakitoa watu kuwa sadaka kwa miungu. Wanalazimishsa kutawala kwa jina lolote lakini si kwa ajli ya watawaliwa.
Hivi utawala wa mabavu, siasa za kuangamiza watu kwa misingi ya dini isiyokubalika, ndio utawala wa shetani?
Moyo wangu unaugua sana kwa ajili ya raia wa Afghanstan. Ninaugua sana. Mungu nakuomba uwakumbuke hawa watoto wako unaowapenda katika nchi ya Afghan. Dunia imeshindwa kuwatetea lakini wewe unaweza. Dunia imeshindwa kuwalinda lakini wewe unaweza. Wametekwa ndani ya eneo ulilowapa na kwa mkono wa adui wa ndani sasa ni mateka. Maisha yao yamejaa mashaka bila tumaini.
MUNGU, KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYEHAI MILELE, KWA AGANO LA DAMU YA YESU, NAINAOMBA UWAKUMBUKE TAIFA LA AFGHANSTANI. NINAOMBA MUNGU UWAONYESHE UWEPO NA UPENDO WAKO. AHSANTE BABA KWA KUWA UNANISIKIA SIKU ZOTE. KWA JINA LA YESU NIMEOMBA - AMEN
Umeanza kuchemka mbona sijakufikisha mie nikufate nakujua? Inawezekana ima wewe gaidi au gabacholi. Pole sana nungununguHivi wewe punguani unataka nini? Leave me alone mwendawazimu wewe!. Ungelikuwa na akli japo kidogo usingekuwa pumba kiasi hiki.
Nasubiria upasuke ni nipige ndulu ya kukuzikaFortunately, it is not your business. Isitoshe wewe si binadamu wa kawaida, inawezekana na wewe ni gaidi.
Duh!...Huko kote mbali! Mbona hujasikitikia Tozo za ajabu ajabu za yule Mr.Tozo anayesomesha watoto wake Feza Schools wakati wewe wa karibu yako wanasoma kidumu na mfagio primary schools
Yale yale. Na viongozi wa Iraq Libya na Palestine tena! Kumbe ni potato na potatoes!Acha unafiki ww, hukuugua walipouwawa Raia wa Iraq, Libya, Palestine na viongozi wa upinzani Tanzania unakuja kuugua leo ???
Atalaaniwa bayako na mama yako kwanza waliokuzaa, Muulize shetani wako firauni atakuelezea kilichomfikaNdiyo sababu nakuambia, aliyeanzsisha hii imani na alaaniwe!.
Kwahio dini inayoruhusu ndoa za jinsia moja unaona ni dini ?? Mmezoea kufirana ndio mnatetea ujinga sioWale km urus na USA kuingilia kati yangeshachinja watu wote
Hii dini gani inayoruhusu watu wauawe?
Mnalazimisha watu wawe na imani potofu wasipofata mnawaripua, maji yakishawafika shingoni mnaaza upuuzi wa kulalamika, watu wapo kwenye nchi zao acheni upuuziWaarabu ni matahira hayana tofauti na Waafrika yanatumika kama toilet paper,mbona kuna Nchi nyingi za ulaya zina resources nyingi lakini hazina vikundi vya ugaidi.
Zwazwa ni ww unaekaa kimya kiongozi wako mboe yuko ndani hata kupinga unaogopa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]imewauma sana kwakweliHayo mkawaambie hao mabwana zenu wamarekani na wa Israel wanaotaka kuingilia maisha ya watu.......They should mind their own business
Huyu kilaza na bado ataumia sana maana marekani anakunja virago Iraki nowAfghanistan mbali sana, shugulika na ya kwako hapa.
Hukuumia Lisu na mboe walivyoteswa unaumia leo [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeumia sana
Ndio ujue kuwa uongo haudumuSerikali yao ilipewa kila kitu,mafunzo ya kijeshi,vifaa,kitu pekee ambacho USA haikuweza kuwapa ni moyo na Hari ya kupambana,Biden amelitolea maelezo vzr sana.
Kwamba kama USA ilikaa Afghastan zaidi ya miaka 10,ikiisaidia serikali kupambana na Taliban,kama Hilo jeshi lao lililopewa kila silaha ya kisasa halikuweza kupambana na Taliban kwa miaka 10,nini kitalifanya liweze kupambana sasa hv hata kama USA ikilipa msaada kwa mwaka mwingine zaidi?
Biden kasema hawezi kutuma wamarekani kupambana kwenye vita ambayo wa Afghastan wenyewe hawataki kupambana.
Raisi kakimbia,jeshi Richa ya kuwa na siraha kali mpaka Ndege za kivita,waliweka silaha chini wakakimbia.
Hiyo civil war ni ya kwao,na USA haiwezi kuendelea kuwa kwenye vita isiyo na mwisho.
Nchi zote hizi hazina uwezo wa kupeleka jeshi kule kwa sababu zimeruhusu nchi za ulaya na marekani kuweka military base kwenye nchi zao.Saudi Arabia, UAE, Qatar, Oman, Kuwait na Bahrain wanapiga kimyaa Kama haiwahusu vile.