Moyoni Naumia...

Moyoni Naumia...

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294


Babaa...

Tambua kuwa moyoni naumia...

Nimepata maradhi, na tiba unayo wewe babaaa...

Fanya hima, naumia eeeh...

Kila nikilala taswira yalo naiona, vivyo hivyo suati yako...

Huku akili yangu ikipapasa ndevu zako..... aaah...!๐Ÿ˜ž๐Ÿ˜ž๐Ÿ˜žmoyoni naumia eeehhhh...

A14E2FF8-FFE6-4AA9-BBBF-FEFE6F74B104.jpeg


Wajua nalikosa huba lako mpenzi, basi sema nami lau kidogo eeeh babaaa....

ED5CF487-1689-448D-B7B5-AC0118EECB63.jpeg


Moyoni naumia eeehh

Pamoja na yote hayo hayo ila msosi unashuka kama kawaida ๐Ÿ˜…, ila bado naumia eeehhh ๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”.

B7B99545-5884-4AC4-8298-56258C78D78C.jpeg


A27DE29E-6825-4F47-928D-524037AF8483.jpeg


E5692BBF-F41B-4D35-A9D7-1B7C1D20F2E8.jpeg

Bibi Foodie ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹

Njoo hima tabibu wangu mpenzi, uniponye roho yangu ipate kupoa eeeh... kwakweli naugua eeeh..๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”.





Ilhali nakupenda pasi kifani, na kuumwa juu ya huba lako...(yakuwa naumia moyoni....) kamwe sikuachi... Hadi utaponiacha wewee....

Leo na kesho peponi, I Love You babaaa ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿฅฐ.

Kasinde Mahaba Matata.
 
Kumekuchwa na mahabati


Babaa.....

Tambua kuwa moyoni naumia.....

Nimepata maradhi, na tiba unayo wewe babaaa...

Fanya hima, naumia eeeh....

Kila nikilala taswira yalo naiona, vivyo hivyo suati yako...

Huku akili yangu ikipapasa ndevu zako..... aaah...!๐Ÿ˜ž๐Ÿ˜ž๐Ÿ˜žmoyoni naumia eeehhhh.....

View attachment 2096739

Wajua nalikosa huba lako mpenzi, basi sema nami lau kidogo eeeh babaaa....

View attachment 2096740

Moyoni naumia eeehh

Pamoja na yote hayo hayo ila msosi unashuka kama kawaida ๐Ÿ˜…, ila bado naumia eeehhh ๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”.



Njoo hima tabibu wangu mpenzi, uniponye roho yangu ipate kupoa eeeh... kwakweli naugua eeeh..๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”.





Ilhali nakupenda pasi kifani, na kuumwa juu ya huba lako...(yakuwa naumia moyoni....) kamwe sikuachi... Hadi utaponiacha wewee....

Leo na kesho peponi, I Love You babaaa ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿฅฐ.

Kasinde Mahaba Matata.
 


Babaa...

Tambua kuwa moyoni naumia...

Nimepata maradhi, na tiba unayo wewe babaaa...

Fanya hima, naumia eeeh...

Kila nikilala taswira yalo naiona, vivyo hivyo suati yako...

Huku akili yangu ikipapasa ndevu zako..... aaah...![emoji20][emoji20][emoji20]moyoni naumia eeehhhh...

View attachment 2096739

Wajua nalikosa huba lako mpenzi, basi sema nami lau kidogo eeeh babaaa....

View attachment 2096740

Moyoni naumia eeehh

Pamoja na yote hayo hayo ila msosi unashuka kama kawaida [emoji28], ila bado naumia eeehhh [emoji17][emoji17][emoji17].

View attachment 2096777

View attachment 2096778

View attachment 2096779
Bibi Foodie [emoji39][emoji39]

Njoo hima tabibu wangu mpenzi, uniponye roho yangu ipate kupoa eeeh... kwakweli naugua eeeh..[emoji17][emoji17][emoji17].





Ilhali nakupenda pasi kifani, na kuumwa juu ya huba lako...(yakuwa naumia moyoni....) kamwe sikuachi... Hadi utaponiacha wewee....

Leo na kesho peponi, I Love You babaaa [emoji8][emoji8][emoji3059].

Kasinde Mahaba Matata.
Moyoni naumia eeehh

Pamoja na yote hayo hayo ila msosi unashuka kama kawaida [emoji28], ila bado naumia eeehhh [emoji17][emoji17][emoji17].[emoji23]
 


Babaa...

Tambua kuwa moyoni naumia...

Nimepata maradhi, na tiba unayo wewe babaaa...

Fanya hima, naumia eeeh...

Kila nikilala taswira yalo naiona, vivyo hivyo suati yako...

Huku akili yangu ikipapasa ndevu zako..... aaah...![emoji20][emoji20][emoji20]moyoni naumia eeehhhh...

View attachment 2096739

Wajua nalikosa huba lako mpenzi, basi sema nami lau kidogo eeeh babaaa....

View attachment 2096740

Moyoni naumia eeehh

Pamoja na yote hayo hayo ila msosi unashuka kama kawaida [emoji28], ila bado naumia eeehhh [emoji17][emoji17][emoji17].

View attachment 2096777

View attachment 2096778

View attachment 2096779
Bibi Foodie [emoji39][emoji39]

Njoo hima tabibu wangu mpenzi, uniponye roho yangu ipate kupoa eeeh... kwakweli naugua eeeh..[emoji17][emoji17][emoji17].





Ilhali nakupenda pasi kifani, na kuumwa juu ya huba lako...(yakuwa naumia moyoni....) kamwe sikuachi... Hadi utaponiacha wewee....

Leo na kesho peponi, I Love You babaaa [emoji8][emoji8][emoji3059].

Kasinde Mahaba Matata.
JamiiForums-9929495.gif
 
Back
Top Bottom