X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,605
- 1,843
Hivi hii tafsir ya Mozambique ilitoka wapi na kuwa Msumbiji?
Sasa Kenya itakuwa nini kwa kidhungu?
Au neno Zanzibar ni kiswahili kweli?
Mozambique: Modern day Mozambique, itself a derivative of the name of the Arab Shiekh who ruled the area at the time when the Portuguese arrived, Musa bin Ba'ik.
Zanzibar inasemekana ilianza kukaliwa na watu tangia enzi ya Paleolithic (750,000 to 500,000 years BC).
Lakini ni Wairan (Persian) haswa wa Shiraz ndio waliotoa jina Zangibār: ikimaanisha bār "coast" na Zangi: "bruin" (iron after rust) tafasiri nyingine inasema ni Pwani ya watu Weusi (coast of the black people).
Wengine wanasema jina lilikuwa ni Zingiber.... (derives from the spice ginger) na kujulikana kama spice islands.