Acha uwongo wewe usidanganye watu pasipokuwa nafaida Mimi nimeishi Mozambique MUEDA.PEMBA.NAMPULA.nahuko mtepweshi kwenye madini ndipo nmeishi sana....hapo moza MTU kama sio RAIA wahapo asikudanganye MTU utapata shida mpaka utajuta sababu polisi wao niwanyama mpaka basi...haijalishi unapassport au haunaaa ila usumbufu utaopataaaa mbona utatamani urudi kufanya biashara bongo tu....