Dysmenorhea huwapata wanawake wengi wanapokuwa katika siku zao. Wengine hupata maumivu makali sana kiasi cha kushindwa hata kufanya kazi. Wapo wengine huathirika kisaikolojia kwani siku zinapokaribia huanza kufikiria kuhusu maumivu wanayopataga na kuwafanya wawe kama wamewehuka. Kuna primary dysmenorhea ambayo chanzo chake hakieleweki na secondary dysmenorhea ambayo kuna chanzo kinachosababisha mwanamke kupata maumivu mfano uambukizo kwenye via vya uzazi uvimbe nk. Kama mtu ana secondary dysmenorhea anahitaji kutibiwa chanzo ili tatizo lipungue kama sio kuondoka kabisa. Maandishi yanasema wanawake wengi baada ya kuzaa haya maumivu hupungua. Na ni vizuri akawa anatumia dawa za kupunguza maumivu wakati wa hedhi. Mf mefenamic acid husaidia sana kwa watu hawa.
Tatizo km hili analo mpenz wangu,nae aliambiwa hosptali kua akizaa litaisha,anaumia sana kpnd cha mp.
Embu jaribu kwa Dr. Mwaka wa Foreplan Clinic, Ilala
Tatizo hlo linaweza kutibika na asipate maumivu tena wengi wamepona kabsa nikiwepo
Mpo pole mkuu, kinachotakiwa kujulikana lilimuanza toka anavunja ungo(primary) au limemuanzia njiani(secondary)? Hiyo ya pili inahitaji kufanyiwa evaluation ili kupata chanzo chake ikiwezekana na matibabu ya chanzo. Hope my mupenzi mtarajiwa amu hana hili tatizo, teh,teh!
Tatizo km hili analo mpenz wangu,nae aliambiwa hosptali kua akizaa litaisha,anaumia sana kpnd cha mp.
Mpo pole mkuu, kinachotakiwa kujulikana lilimuanza toka anavunja ungo(primary) au limemuanzia njiani(secondary)? Hiyo ya pili inahitaji kufanyiwa evaluation ili kupata chanzo chake ikiwezekana na matibabu ya chanzo. Hope my mupenzi mtarajiwa
Huyu binti alivunja ungo akiwa na 13 yrs na Tatizo hili la maumivu lilianza akiwa na 15 yrs mkuu