Naomba maaada kwa tatizo alilonalo binti yangu. Anapofika wakati wa MP anaumwa sana kichwa. Anapata homa kali anatapika na wakati mwingine kupoteza fahamu kwa muda. Nilishampeleka Hospital wakamuwekea drip yenye dawa ya kupunguza maumivu na kuzuia kutapika. Wanasema tatizo litaisha polepole ila kiukweli anateseka na ni mwanafunzi . Nahofia kuwa hali hii itamfanya azorote ktk masomo. Msaada wenu nausubiria...