kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Huku mpinzani wake mkubwa kwa upande wa mziki wa bongo flava mond kawa nominated kwenye tuzo kama tatu iv lakini kwa king kiba hari iko tofauti maana tokea huu mwaka uingie king kiba hajatajwa kabisa kuwania ata tunzo za mbuzi ndo kusema mziki wake umeisha thamani au kuna figisu zinafanyika chini kwa chini ili kumshusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app