TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Wale jamaa sura zao zilionekana vizuri,na namba ya gari,lakini mpaka dk hii kweli polisi wameshindwa kuwaweka kati ,ama ni ndugu zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!Wale wa Mzee Kibao mpaka Rais alisema na hawajakamatwa.... hakuna kitu hapo
Duu!Hivyo umetulia unatarajia policcm kujikamata wemyewe, fool
Unamkamataje mtu ambaye yupo kituoni polisi anafanya kazi?Wale jamaa sura zao zilionekana vizuri,na namba ya gari,lakini mpaka dk hii kweli polisi wameshindwa kuwaweka kati ,ama ni ndugu zao?