Mpaka kufikia Umri huu nimeishi kwa shida sana ndugu zangu, moyo wa mtu umebeba mengi sana

Mpaka kufikia Umri huu nimeishi kwa shida sana ndugu zangu, moyo wa mtu umebeba mengi sana

Nakumbuka jinsi ambavyo mama alikuwa anatulazimisha kula vyakula mbalimbali na matunda kila wakati. Nilikuwa naona kero sana. asubuhi tu unaangalia menu ya breakfast imejaa hujui ule nini uache nini, ni buffet. Mimi kwa kweli nilikuwa naona kero. natamani kuishi maisha ya watu wengine unakuta labda bfast anakunywa maziwa, cake/mkate,mayai na matunda. Sisi ilikuwa issue home.

tunakereka meza imejaa ma vyakula mengi hatujui tuache nini tule nini. Basi kwa kulazimishwa sana tunasogea mezani na wadogo zangu. Sasa tunamwambia mama tule nini maana kuna kipindi kuna vyakula hata majina tumevisahau. wale watoto wa kizungu wa kitajiri walikuwa wakija home wanauliza "dya have a party today? "nawaambia hapana ndo maisha ya kila siku wanashangaa sometimes mpaka unawashtua akili yao irudi sawa maana ni kama wanapigwa ganzi hivi.

Hapo mama anamwita mpishi na daktari waje watuelezee. mpishi anaelezea jina la chakula na jinsi alivyo pika na daktari anatuelezea faida ya kula hivyo vyakula mwilini na kwenye akili, basi hapo ndo kwa shingo upande tunaenda kula, yaani tumeishi katika mazingira magumu sana.

Shuleni unatamani uende upande school bus kama wenzio yeye mzee anawatuma madereva watupeleke na kutusubiria, kila mtu na dereva wake, mimi nilikuwa naona kero kusubiriwa na dereva so nampa usd 500 akatembee tembee huko then arudi muda wa kutoka. maana mtu unasoma kwa wasiwasi ukijua kuna dereva anakusubiri. sikuwa napenda maisha hayo.

Mzee alikuwa na tabia kila mwezi anamwambia daktari atupime magonjwa yote mwilini. na daktari wa familia alikuwa anakaa hapo hapo kwenye compound ya home maana mzee alifanikiwa kupata kakiwanjaka hekari 200 akajenga humo na nyumba za wafanyakazi wake. nlishawahi waambia hili huko nyuma kipindi kile mnasema eti nyumba aliyojenga Mengi ilikuwa nzuri.nliwashangaa sana.

Ile nyumba ilikuwa ya kawaida kabisa haikuwa na jambo lolote la ajabu ni kama nyumba aliyokuwa anaishi msimamizi wetu wa mifugo dr. lobstain. huyu ni mtalaamu wa mifugo anayeheshimika sana netherlands na nchi nyingi za scandanavia.

Basi maisha yetu yalikuwa magumu sana. mtu unaambiwa kwa siku angalau ule si chini ya mara 6 vyakula na matunda mbalimbali upendayo. Halafu jioni unaambiwa ukakae bustanini uvute harufu ya maua na kusikiliza sauti za ndege. tena hivyo vyakula kwanza mpaka viangaliwe faida zake mwilini ni nini, nikawa natamani watoto wengine wanakula chochote tu watakacho tena wala hawajali wamekula mara 4 au ngapi.

Sisi tumelelewa katika mazingira ambayo ilikuwa inakwaza sana. yaani ukitaka chochote kile unapewa, nikawa nawaza lini nami ntaomba kitu kwa mzee kama wengine kwa wazazi wao akanambia sina. Inaumiza sana unatamani uishi maisha ya wengi lakini maisha yenyewe yanakukatalia. yanataka uishi kama mtu special. mimi nimehangaika sana katika hii dunia kutafuta shida/taabu. Nimeshindwa. kila mara nikawa nawauliza wenzangu au haya maisha ninayoishi ndo shida zenyewe. wakawa wananikatalia kwa kunitia moyo kuwa siyo.

Mimi niliona shida sana. Pale home kila gari la thamani lipo, najiuliza haya maisha mpaka lini? mzee anatumia gari miaka 3 anarudisha kiwandani anasema lime expire. hapo unakuta limetembea kms 2000-5000 tu. anasema basi lirudishwe huko aongezee pesa anunue model mpya. mpaka wakawa wanamfahamu mzee wakitoa model mpya ya gari wanampigia na sometime wakati wanawaza model mpya wanampigia awaelezee angependa hiyo gari iwe na vitu gani. Mzee alikuwa naona usumbufu sana. ndo akawa anawaza kuwa angependa kwenda kuishi mwezini hata miezi miwili tu apumzike na usumbufu wa duniani hapa.

Then arudi kuendelea na maisha mengine. Hapo tukawa tunaona mzee asije akataka familia yake nzima iende huko maana kipindi hicho ndo kuna binti mmoja mzuri sana alikuwa nafanya juhudi ya kuwa na mimi. Baba yake alikuwa Rais wa marekani alinipenda sana yule binti. Nikaona kwanza kabla sijamkubalia nimweleze mzee ili wamchunguze vizuri yule binti akili zake, uelewa wa mambo,afya na sehemu zake nyeti kama zipo salama, zinaendana na mimi kwa size au vipi.

Maana daktari alinambia nisije chukua msichana ambaye ana sehemu kubwa sana nitakosa ku enjoy tendo lenyewe. so mzee alipoanza hizo stories za kuwa amechoka kuishi duniani nikaona asije akasema nimsindikize huko mwezini.na wakati huo nami ni teenager damu inachemka mabinti wananigombania ile mbaya.

Kila napokumbuka maisha haya ya mateso nawaza nasema daaah.. afadhali sasa naishi peke yangu na magari yangu mimi angalau sitaki yafike idadi kama ya mzee mimi napenda kuwa na magari yasiyopungua 5 makali sana na yasiyozidi 10. Ila mzee nachomlaumu kingine alinijengea mentality mbaya sana. kutoyaamini magari na usafiri wa mjapani.

Hivi nawaza nije ninunue angalau V8 moja nione ikoje? Maana naona hata Rais anatumia hayo magari but mzee huwa anasema magari mengi ya mjapan siyo safe sana. Anyway, sijui maybe mwaka huu nami nichunguze hilo maana naona kama bado naishi chini ya mzee ingawa nipo kwangu. sababu ya mawazo yake kwetu, leo hii nipo huru naenda nchi yoyote ninayotaka duniani. nimeshazunguka nchi nyingi sana bad kufika mbinguni tu.natamani nako siku za uzeeni nikatembelee huko.
Pole kwa mateso yote
 
Hivi Kiduku lilo yuko wapi siku hizi...?
 
Bora yako mimi nilijaribu niishi maisha ya kawaida kama ya watu wengine hata gari nikawa natumia za watu wa chini ambayo niliichukua tu kwenye garage nyumbani ilikua haitumiki kabisa nakumbuka ilikua ferrari 250 GTO ambayo niliinunua $60M sawa na Billion 139 za kitanzania ila baba akanizuia nisiwe naiendesha maana haamini usalama wake kwakua niliinunua kupitia pocket money ambayo alinipa kwaajili ya matumizi madogo madogo ya shule

Nilivyoona nanyanyaswa sana nyumbani nikatoroka nikaenda kuomba kazi kwenye kampuni moja ambayo niliwaomba nifanye kazi bure kwa kujitolea walikubali ila wakaniomba basi angalau wawe wananipa posho ya mwezi kama million 50 ili angalau niweke mafuta ya gari basi nikakubali, Badae baba alivyosikia nafanya kazi ya kulipwa posho ya million 50 kwa mwezi akaamua kumpigia simu rafiki yake nakumbuka alikua karibu sana na Obama kipindi bado ni Rais wa USA

kikaandaliwa kikao ikulu white house Washington DC ila siku ya kikao nilikataa kwenda nikazima simu, wakaahirisha kikao wakapanga tarehe nyingine ndo nikaenda, kufika wakanishauri niachane na hiyo kazi ya 50M kwa mwezi maana nauchosha tu ubongo , ila Mimi niliomba waniruhusu waniache niishi maisha ya kawaida, mzee alikasirika sana akamwambia Obama niwekwe kwenye lockup ya ikulu ambayo ni chamber ya kujifichia Rais, nikaingizwa huko hadi nilipokubali kuachana na hiyo kazi
Stori ni ndefu ila ngoja niishie hapa.
Bora wewe unaendesha gari!! mie naruka na helikopita moja juu kwa juu tano ziko sambamba na helikopita yangu natua Hotelini nakula na kucheza disco nikitoka naruka na helikopita hiyohiyo kwenda napotaka sehemu pekee nayo gusa ardhi ni kwenye ZOO Tu basi!

siri kwa kutumia mikono! ni mirija maalum inawekwa kwenye mitungi maalum!! soo! navuta tu rojo ya, matunda, nguruwe,wadudu maalum km senene, kuku nk yaani inakuwa hivi myeeee! mpaka nashiba! halafu wananibeba haooo! mpaka kwa kiti ya helikopota!!!

control tower anasimamisha anga lote mpaka nipite mie kwanza! .......wkt nasafiri naweza lala lkn helikopita ikatua yenyewe sasa nakuuliza nani zaidi?
 
Sijasoma uzi ila nahisi kuna shida hapa....
 
Nakumbuka jinsi ambavyo mama alikuwa anatulazimisha kula vyakula mbalimbali na matunda kila wakati. Nilikuwa naona kero sana. asubuhi tu unaangalia menu ya breakfast imejaa hujui ule nini uache nini, ni buffet. Mimi kwa kweli nilikuwa naona kero. natamani kuishi maisha ya watu wengine unakuta labda bfast anakunywa maziwa, cake/mkate,mayai na matunda. Sisi ilikuwa issue home.

tunakereka meza imejaa ma vyakula mengi hatujui tuache nini tule nini. Basi kwa kulazimishwa sana tunasogea mezani na wadogo zangu. Sasa tunamwambia mama tule nini maana kuna kipindi kuna vyakula hata majina tumevisahau. wale watoto wa kizungu wa kitajiri walikuwa wakija home wanauliza "dya have a party today? "nawaambia hapana ndo maisha ya kila siku wanashangaa sometimes mpaka unawashtua akili yao irudi sawa maana ni kama wanapigwa ganzi hivi.

Hapo mama anamwita mpishi na daktari waje watuelezee. mpishi anaelezea jina la chakula na jinsi alivyo pika na daktari anatuelezea faida ya kula hivyo vyakula mwilini na kwenye akili, basi hapo ndo kwa shingo upande tunaenda kula, yaani tumeishi katika mazingira magumu sana.

Shuleni unatamani uende upande school bus kama wenzio yeye mzee anawatuma madereva watupeleke na kutusubiria, kila mtu na dereva wake, mimi nilikuwa naona kero kusubiriwa na dereva so nampa usd 500 akatembee tembee huko then arudi muda wa kutoka. maana mtu unasoma kwa wasiwasi ukijua kuna dereva anakusubiri. sikuwa napenda maisha hayo.

Mzee alikuwa na tabia kila mwezi anamwambia daktari atupime magonjwa yote mwilini. na daktari wa familia alikuwa anakaa hapo hapo kwenye compound ya home maana mzee alifanikiwa kupata kakiwanjaka hekari 200 akajenga humo na nyumba za wafanyakazi wake. nlishawahi waambia hili huko nyuma kipindi kile mnasema eti nyumba aliyojenga Mengi ilikuwa nzuri.nliwashangaa sana.

Ile nyumba ilikuwa ya kawaida kabisa haikuwa na jambo lolote la ajabu ni kama nyumba aliyokuwa anaishi msimamizi wetu wa mifugo dr. lobstain. huyu ni mtalaamu wa mifugo anayeheshimika sana netherlands na nchi nyingi za scandanavia.

Basi maisha yetu yalikuwa magumu sana. mtu unaambiwa kwa siku angalau ule si chini ya mara 6 vyakula na matunda mbalimbali upendayo. Halafu jioni unaambiwa ukakae bustanini uvute harufu ya maua na kusikiliza sauti za ndege. tena hivyo vyakula kwanza mpaka viangaliwe faida zake mwilini ni nini, nikawa natamani watoto wengine wanakula chochote tu watakacho tena wala hawajali wamekula mara 4 au ngapi.

Sisi tumelelewa katika mazingira ambayo ilikuwa inakwaza sana. yaani ukitaka chochote kile unapewa, nikawa nawaza lini nami ntaomba kitu kwa mzee kama wengine kwa wazazi wao akanambia sina. Inaumiza sana unatamani uishi maisha ya wengi lakini maisha yenyewe yanakukatalia. yanataka uishi kama mtu special. mimi nimehangaika sana katika hii dunia kutafuta shida/taabu. Nimeshindwa. kila mara nikawa nawauliza wenzangu au haya maisha ninayoishi ndo shida zenyewe. wakawa wananikatalia kwa kunitia moyo kuwa siyo.

Mimi niliona shida sana. Pale home kila gari la thamani lipo, najiuliza haya maisha mpaka lini? mzee anatumia gari miaka 3 anarudisha kiwandani anasema lime expire. hapo unakuta limetembea kms 2000-5000 tu. anasema basi lirudishwe huko aongezee pesa anunue model mpya. mpaka wakawa wanamfahamu mzee wakitoa model mpya ya gari wanampigia na sometime wakati wanawaza model mpya wanampigia awaelezee angependa hiyo gari iwe na vitu gani. Mzee alikuwa naona usumbufu sana. ndo akawa anawaza kuwa angependa kwenda kuishi mwezini hata miezi miwili tu apumzike na usumbufu wa duniani hapa.

Then arudi kuendelea na maisha mengine. Hapo tukawa tunaona mzee asije akataka familia yake nzima iende huko maana kipindi hicho ndo kuna binti mmoja mzuri sana alikuwa nafanya juhudi ya kuwa na mimi. Baba yake alikuwa Rais wa marekani alinipenda sana yule binti. Nikaona kwanza kabla sijamkubalia nimweleze mzee ili wamchunguze vizuri yule binti akili zake, uelewa wa mambo,afya na sehemu zake nyeti kama zipo salama, zinaendana na mimi kwa size au vipi.

Maana daktari alinambia nisije chukua msichana ambaye ana sehemu kubwa sana nitakosa ku enjoy tendo lenyewe. so mzee alipoanza hizo stories za kuwa amechoka kuishi duniani nikaona asije akasema nimsindikize huko mwezini.na wakati huo nami ni teenager damu inachemka mabinti wananigombania ile mbaya.

Kila napokumbuka maisha haya ya mateso nawaza nasema daaah.. afadhali sasa naishi peke yangu na magari yangu mimi angalau sitaki yafike idadi kama ya mzee mimi napenda kuwa na magari yasiyopungua 5 makali sana na yasiyozidi 10. Ila mzee nachomlaumu kingine alinijengea mentality mbaya sana. kutoyaamini magari na usafiri wa mjapani.

Hivi nawaza nije ninunue angalau V8 moja nione ikoje? Maana naona hata Rais anatumia hayo magari but mzee huwa anasema magari mengi ya mjapan siyo safe sana. Anyway, sijui maybe mwaka huu nami nichunguze hilo maana naona kama bado naishi chini ya mzee ingawa nipo kwangu. sababu ya mawazo yake kwetu, leo hii nipo huru naenda nchi yoyote ninayotaka duniani. nimeshazunguka nchi nyingi sana bad kufika mbinguni tu.natamani nako siku za uzeeni nikatembelee huko.
Salute kwako
 
Pole Sana kwa maisha unayopitia uko duniani. Ukija uku mbinguni maisha unayoyataka utayapata. Uku utachomwa Moto daima dumu kwa uongo Wako, unaishi kwa Kula staf za ukoko alafu unatupanga hapa
MBona unakereka sana? Wacha watu waishi maisha Yao ya nyota 9
 
Amka Jamaa wanakuita wanataka Hela ya umeme usisahau zamu Yako kudeki chooni kumeshakucha na mwenye nyumba kasema Leo kakuchoka kama hutomalizia pango lake anakufukuza [emoji28]
 
Back
Top Bottom