Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Hata Manara anamiliki ndinga, Ila alishawatukana yanga wote kuwa hawanaga akili isipokuwa dingi yake na kikwete.Kama haumiliki Gari jiangalie mara mbili mbili we unaweza kuwa chizi au akili zako
Huyu ni wewe kabisajiangalie mara mbili mbili we unaweza kuwa chizi au akili zako haziko vizuri!
Afya ya akili izingatiwe wakati wa kutoa leseni.
Asante, ngoja nimtibuBipolar Disorder & PTSD is real wakulungwa tushakupoteza kwenye hizo corridor za hapo milembe umeiba simu ya daktari ngoja aje Intelligent businessman umempoteza mgonjwa wako huku uje umchukue
Leta lile bango huku akiwa na cheti chake cha Crazy For LifeAsante, ngoja nimtibu
Nishaweka angalia vizuriLeta lile bango huku
Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.
Ndugu Mwana mzizima , alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu za ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.
tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni.
Naambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital
View attachment 2476239