Anatudharau sisi tusionaloDharau hizi yaan gari ya 2M unatusimanga kama tumejikojolea
Unakosaje gari boss wangu pekee yanguπAnatudharau sisi tusionalo
πUnakosaje gari boss wangu pekee yanguπ
Utanipa lift? Au utanipita na vumbi?ππ
ona kwenye avatar umemuweka mumeo Karim mandongaHakuna tajiri mpuuzi ivi
Mshamba umepata smart phoneYaani inakera hivi kweli mtu mpaka leo Hamiliki magari au Gari? Kwa miaka hii magari yalivyo bei rahisi yaani milioni mbili tu mtu unapata ndinga kali? Halafu la kinyama kinoma yaani kutomili Gari miaka hii huo ni ukora na uchizi kupitiliza.
Yaani mimi sihangaiki kupiga stories na mtu ambaye hamiliki nikuona wewe humility Gari nakufukuza mimi kampani yangu ni ya watu wanaomiliki magari.
Kama haumiliki Gari jiangalie mara mbili mbili we unaweza kuwa chizi au akili zako haziko vizuri! Badilika miliki ndinga kali na miliki mtoto mkali bikes.
This thread posted by someone who drive Mark X, Jeep, and many many cars.
Tunaendelea kusubr zishuke BeiYaani inakera hivi kweli mtu mpaka leo Hamiliki magari au Gari? Kwa miaka hii magari yalivyo bei rahisi yaani milioni mbili tu mtu unapata ndinga kali? Halafu la kinyama kinoma yaani kutomili Gari miaka hii huo ni ukora na uchizi kupitiliza.
Yaani mimi sihangaiki kupiga stories na mtu ambaye hamiliki nikuona wewe humility Gari nakufukuza mimi kampani yangu ni ya watu wanaomiliki magari.
Kama haumiliki Gari jiangalie mara mbili mbili we unaweza kuwa chizi au akili zako haziko vizuri! Badilika miliki ndinga kali na miliki mtoto mkali bikes.
This thread posted by someone who drive Mark X, Jeep, and many many cars.
Kama
Mama yko mzazi?