Mpaka leo kuna watu hawamiliki magari? Huo si uchizi?

Mpaka leo kuna watu hawamiliki magari? Huo si uchizi?

 
Hatimaye tumefikiwa tusiokuwa na magari kwani hii dunia ni yetu
 
Ukute tecno pop1 ipo mkononi ikiwa imepigwa rubber band ili mfuniko usianguke, mkono mmoja umeshika bomba la eicher la mbagala lililojaa nyomi, kwapani kuna fungu la dagaa kwenye mfuko kwa ajili ya ugali wa usiku.
Ukienda mbali zaidi vizazi vya babu wa mababu zake hakuna aliemiliki hata punda kiwete halafu mwamba anakandia wasio na magari.

Faraja ya mitandao kila mtu anaweza kuisho ndoto zake kwa nadharia.
 
Yaani inakera hivi kweli mtu mpaka leo Hamiliki magari au Gari? Kwa miaka hii magari yalivyo bei rahisi yaani milioni mbili tu mtu unapata ndinga kali? Halafu la kinyama kinoma yaani kutomili Gari miaka hii huo ni ukora na uchizi kupitiliza.

Yaani mimi sihangaiki kupiga stories na mtu ambaye hamiliki nikuona wewe humility Gari nakufukuza mimi kampani yangu ni ya watu wanaomiliki magari.

Kama haumiliki Gari jiangalie mara mbili mbili we unaweza kuwa chizi au akili zako haziko vizuri! Badilika miliki ndinga kali na miliki mtoto mkali bikes.

This thread posted by someone who drive Mark X, Jeep, and many many cars.
Mshamba umepata smart phone
 
Yaani inakera hivi kweli mtu mpaka leo Hamiliki magari au Gari? Kwa miaka hii magari yalivyo bei rahisi yaani milioni mbili tu mtu unapata ndinga kali? Halafu la kinyama kinoma yaani kutomili Gari miaka hii huo ni ukora na uchizi kupitiliza.

Yaani mimi sihangaiki kupiga stories na mtu ambaye hamiliki nikuona wewe humility Gari nakufukuza mimi kampani yangu ni ya watu wanaomiliki magari.

Kama haumiliki Gari jiangalie mara mbili mbili we unaweza kuwa chizi au akili zako haziko vizuri! Badilika miliki ndinga kali na miliki mtoto mkali bikes.

This thread posted by someone who drive Mark X, Jeep, and many many cars.
Tunaendelea kusubr zishuke Bei
 
Etu 2M jamani tupelekeni polepole imekua ghafla sana na hayo magari zenu bhana
 
yaani milioni mbili tu mtu unapata ndinga kali? Halafu la kinyama.😂😂 😂 maleria ka. kichwani ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom