Mpaka leo sielewi kigezo alichotumia Diamond kuvutiwa na Maromboso hatimaye kumsajili kwenye lebo yake

Mpaka leo sielewi kigezo alichotumia Diamond kuvutiwa na Maromboso hatimaye kumsajili kwenye lebo yake

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Ukiachana na yule muimba kaswida mwenye aibu aibu nyingi pindi akiwa jukwaani ambaye pia inasemekana ni nyoka wa kibisa Mr Lavalava , mpaka leo sielewi kigezo alichotumia diamond kumsajili huyu mluga luga kutoka yamoto Maromboso.

Huyu jamaa kwanza hana swaga, mshamba sana mpaka sura yake imekaa kishamba shamba, hajui kuimba na hana nyimbo za amsha amsha

Sasa sijui alijazwa ujinga na akina Tale mpaka akamchukua huyu dogo kishikaji yaani hata sielewi elewi kwa kifupi anaboa .

Natamani leo kesho mkataba wake na wasafi uvunjwe atuondolee kiwingu tu maana tangu aje pale wasafi ametuletea nuksi tupu.
 
At least namuelewa lava lava buana,ila huyo mbosso mmmmh. Hapana,au sijui atabadilika baadae lakini sijawahi kumuelewa
jamaa sijui alitumia kizizi kusajiliwa wasafi maana duh , hana sifa hata moja ya kumfanya awe msanii wa wasafi.

Nyimbo za queen darlin ni kali kuliko za huyo mluga luga
 
WEWE INAKUUMA NINI?ACHA WATU WASAJILI WATU WANAOWATAKA.NADHANI KAMA HAWAJASAJILI MTU KUNA VIGEZO WANAANGALIA KAMA TAASISI YAN WATU WANAKAA CHINI NA KUCHUKUA MTU.
SIO MAAMUZI YA PAPARA KAMA ULOCHUKUA WEWE KUANDIKA HUU UZI.KWA TAARIFA YAKO MBOSSO ALIKUWA NA MONDI WAKATI ANA SHOOT VIDEO YA ENEKA.
 
WEWE INAKUUMA NINI?ACHA WATU WASAJILI WATU WANAOWATA.NADHANI KAMA HAWAJASAJILI MTU KUNA VIGEZO WANAANGALIA LA TAASISI YAN WATU WANAKAA CHINI NA KUCHUKUA MTU.
SIO MAAMUZI YA PAPARA KAMA ULOCHUKUA WEWE KUANDIKA HUU UZI.KWA TAARIFA YAKO MBOSSO ALIKUWA NA MONDI WAKATI ANA SHOOT VIDEO YA ENEKA.
Hujielewi
 
Ukiachana na yule muimba kaswida mwenye aibu aibu nyingi pindi akiwa jukwaani ambaye pia inasemekana ni nyoka wa kibisa Mr Lavalava , mpaka leo sielewi kigezo alichotumia diamond kumsajili huyu mluga luga kutoka yamoto Maromboso.

Huyu jamaa kwanza hana swaga, mshamba sana mpaka sura yake imekaa kishamba shamba, hajui kuimba na hana nyimbo za amsha amsha

Sasa sijui alijazwa ujinga na akina Tale mpaka akamchukua huyu dogo kishikaji yaani hata sielewi elewi kwa kifupi anaboa .

Natamani leo kesho mkataba wake na wasafi uvunjwe atuondolee kiwingu tu maana tangu aje pale wasafi ametuletea nuksi tupu.


Mlugaluga hadi jina lake, jina halina swaga kabisa "Maromboso" kiasi wakajaribu kuliita "Mboso"
 
Mlugaluga hadi jina lake, jina halina swaga kabisa "Maromboso" kiasi wakajaribu kuliita "Mboso"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kabisa yaani.

Sasa hivi eti anajiita Mboso khan,yaani bado uluga luga ule ule
 
Back
Top Bottom