Mpaka leo sielewi kigezo alichotumia Diamond kuvutiwa na Maromboso hatimaye kumsajili kwenye lebo yake

Mpaka leo sielewi kigezo alichotumia Diamond kuvutiwa na Maromboso hatimaye kumsajili kwenye lebo yake

Usipokua mchawi utakua mshirikina au mfuga majini mana sio kwa chuki hiyo.

Ukizungumzia muziki wewe itakua hujui lolote kuhusu mziki labda ngoma za kienyeji.
Kweli unasema mboso hajui kitu??sifa kubwa ktka muziki ni kusound uniquely ili kujitengenezea identity na brand,,katika hilo bwana mdogo mboso amejitahidi japo inabidi akaze buti kujitengenezea brand yake.

Acha chuki binafsi na roho Mbaya,, , sapoti mziki wa kwenu. Bila shaka we ni mwana fisiemu ndo wenye vipaji vya chuki na uuaji
Huna lolote..pale hakuna kitu kabisa
 
Mimi namshauri dangote aka simba awatumbue mbosso na lavalava na vilevile harmonize kabebwa sana na simba kiasi kwamba anaboa kila siku ni collabo tu na simba sasa atabebwa na simba mpaka lini?
 
muwecmnasema atoke nani aingie nani sio mnaishia kusema tu pale alichemka

wewe umeifanyia nini jamii inayokuzunguka?
unawategemezi wangapi?
umeinua vijana wenzako wangapi kimaisha?


au ni bando la chuo linakutia kiburi kuandika andika tu humu?
 
Bro cjui nkuite ivooo..... Lkn iyo so point

Point n kwamba hata harmonize alivoanza watu waliongea sana mshamba cjui kakomaa sana.. Anaiga kwa mondi
Yakwapi hayo maneno sasa Hiv...

Unaona management inamchukua mtuuu washafikiri mbali zaidi kuliko
Ili WCB iendelee na kusiwe na migogoro inahitaj wasanii tofauti tofauti ambao inakua vugumu kushindanishwa kimziki..
Alaf mbona mbosso anaeleweka sema wewe ndo hujui mziki huwezi mwelewa. .
 
Huyu jamaa kwanza hana swaga, mshamba sana mpaka sura yake imekaa kishamba shamba, hajui kuimba na hana nyimbo za amsha amsha
wewe na diamond nani yupo kwenye nafasi nzuri ya kujua fursa na vipaji vya muziki?
 
Back
Top Bottom