Mpaka leo sielewi kigezo alichotumia Diamond kuvutiwa na Maromboso hatimaye kumsajili kwenye lebo yake

Mpaka leo sielewi kigezo alichotumia Diamond kuvutiwa na Maromboso hatimaye kumsajili kwenye lebo yake

Ukiachana na yule muimba kaswida mwenye aibu aibu nyingi pindi akiwa jukwaani ambaye pia inasemekana ni nyoka wa kibisa Mr Lavalava , mpaka leo sielewi kigezo alichotumia diamond kumsajili huyu mluga luga kutoka yamoto Maromboso.

Huyu jamaa kwanza hana swaga, mshamba sana mpaka sura yake imekaa kishamba shamba, hajui kuimba na hana nyimbo za amsha amsha

Sasa sijui alijazwa ujinga na akina Tale mpaka akamchukua huyu dogo kishikaji yaani hata sielewi elewi kwa kifupi anaboa .

Natamani leo kesho mkataba wake na wasafi uvunjwe atuondolee kiwingu tu maana tangu aje pale wasafi ametuletea nuksi tupu.
Mbosso ni Bonge la mwandishi ndio maana WCB wakamchukua
 
Nchi ina watu 48 milioni wote hatuwezi kuwa na fikra sawa hizi tabia za kuchukia watu ni za jinsia ya 3 usichokipenda achana nacho kapende unachopenda itakusaidia sana itaokoa mda wako utarumbana na mtu...
 
Leo nimekuelewa hance mkubwa fella kawaingiza wenzie chaka bora wangemchukua baker
 
huyu dogo hata mm simuelewi anakisauti kama kibeberu hivi. anatakiwa kubadilika
 
Ukiachana na yule muimba kaswida mwenye aibu aibu nyingi pindi akiwa jukwaani ambaye pia inasemekana ni nyoka wa kibisa Mr Lavalava , mpaka leo sielewi kigezo alichotumia diamond kumsajili huyu mluga luga kutoka yamoto Maromboso.

Huyu jamaa kwanza hana swaga, mshamba sana mpaka sura yake imekaa kishamba shamba, hajui kuimba na hana nyimbo za amsha amsha

Sasa sijui alijazwa ujinga na akina Tale mpaka akamchukua huyu dogo kishikaji yaani hata sielewi elewi kwa kifupi anaboa .

Natamani leo kesho mkataba wake na wasafi uvunjwe atuondolee kiwingu tu maana tangu aje pale wasafi ametuletea nuksi tupu.
Kwani wewe nani, mpaka ufurahishwe ndio wengine wafanikiwe? Acha wivu, imba wewe basi kama unaona ni kazi lahisi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ati mluga luga
 
At least namuelewa lava lava buana,ila huyo mbosso mmmmh. Hapana,au sijui atabadilika baadae lakini sijawahi kumuelewa
Hata baada ya kuachia Ngoma ya Leo, bado humuelewi Mbosso?
 
Back
Top Bottom