rashidiiddi
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 224
- 117
Mbosso ni Bonge la mwandishi ndio maana WCB wakamchukuaUkiachana na yule muimba kaswida mwenye aibu aibu nyingi pindi akiwa jukwaani ambaye pia inasemekana ni nyoka wa kibisa Mr Lavalava , mpaka leo sielewi kigezo alichotumia diamond kumsajili huyu mluga luga kutoka yamoto Maromboso.
Huyu jamaa kwanza hana swaga, mshamba sana mpaka sura yake imekaa kishamba shamba, hajui kuimba na hana nyimbo za amsha amsha
Sasa sijui alijazwa ujinga na akina Tale mpaka akamchukua huyu dogo kishikaji yaani hata sielewi elewi kwa kifupi anaboa .
Natamani leo kesho mkataba wake na wasafi uvunjwe atuondolee kiwingu tu maana tangu aje pale wasafi ametuletea nuksi tupu.
Kama ni mwandishi mzuri aende kwa Shigongo akaandike Riwaya, WCB ni kwa wanamuziki tuMbosso ni Bonge la mwandishi ndio maana WCB wakamchukua
Ingekuwa ni riwaya ushauri wako ingekuwa mazuri sana bt si mwandishi wa riwayaKama ni mwandishi mzuri aende kwa Shigongo akaandike Riwaya, WCB ni kwa wanamuziki tu
Lakini uwa anachangia akiona kichwa cha habari kinawahusu?Mwanaume aliyekamilika asikilizagi nyimbo za wabana pua wote akiwemo diamond na Alikiba.
hahahahahahahNchi hii, khaa! Wacha polisi watutandike risasi tu .
Kwani wewe nani, mpaka ufurahishwe ndio wengine wafanikiwe? Acha wivu, imba wewe basi kama unaona ni kazi lahisi.Ukiachana na yule muimba kaswida mwenye aibu aibu nyingi pindi akiwa jukwaani ambaye pia inasemekana ni nyoka wa kibisa Mr Lavalava , mpaka leo sielewi kigezo alichotumia diamond kumsajili huyu mluga luga kutoka yamoto Maromboso.
Huyu jamaa kwanza hana swaga, mshamba sana mpaka sura yake imekaa kishamba shamba, hajui kuimba na hana nyimbo za amsha amsha
Sasa sijui alijazwa ujinga na akina Tale mpaka akamchukua huyu dogo kishikaji yaani hata sielewi elewi kwa kifupi anaboa .
Natamani leo kesho mkataba wake na wasafi uvunjwe atuondolee kiwingu tu maana tangu aje pale wasafi ametuletea nuksi tupu.
Na bado kapauka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kabisa yaani.
Sasa hivi eti anajiita Mboso khan,yaani bado uluga luga ule ule
na ndio maana Mungu yupo makini kuchagua wa kuwapa rizki..imagine huyu tikiti angepewa ata ukatibu kataPenye riziki hapakosi fitina!
Hata baada ya kuachia Ngoma ya Leo, bado humuelewi Mbosso?At least namuelewa lava lava buana,ila huyo mbosso mmmmh. Hapana,au sijui atabadilika baadae lakini sijawahi kumuelewa