Mpaka leo sielewi kigezo alichotumia Diamond kuvutiwa na Maromboso hatimaye kumsajili kwenye lebo yake

Huna lolote..pale hakuna kitu kabisa
 
Mimi namshauri dangote aka simba awatumbue mbosso na lavalava na vilevile harmonize kabebwa sana na simba kiasi kwamba anaboa kila siku ni collabo tu na simba sasa atabebwa na simba mpaka lini?
 
muwecmnasema atoke nani aingie nani sio mnaishia kusema tu pale alichemka

wewe umeifanyia nini jamii inayokuzunguka?
unawategemezi wangapi?
umeinua vijana wenzako wangapi kimaisha?


au ni bando la chuo linakutia kiburi kuandika andika tu humu?
 
Bro cjui nkuite ivooo..... Lkn iyo so point

Point n kwamba hata harmonize alivoanza watu waliongea sana mshamba cjui kakomaa sana.. Anaiga kwa mondi
Yakwapi hayo maneno sasa Hiv...

Unaona management inamchukua mtuuu washafikiri mbali zaidi kuliko
Ili WCB iendelee na kusiwe na migogoro inahitaj wasanii tofauti tofauti ambao inakua vugumu kushindanishwa kimziki..
Alaf mbona mbosso anaeleweka sema wewe ndo hujui mziki huwezi mwelewa. .
 
Huyu jamaa kwanza hana swaga, mshamba sana mpaka sura yake imekaa kishamba shamba, hajui kuimba na hana nyimbo za amsha amsha
wewe na diamond nani yupo kwenye nafasi nzuri ya kujua fursa na vipaji vya muziki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…