Mahaba yasikufanye usione ukweli. Costa ni level za akina Andrew VincentUtakuwa unasikiliza sana radio mbao! Basilika mkuu hizi sio nyakati za kumsikikiza Sued Mwinyi akikudanganya redioni.
Huyo Cannavaro anamzidi nini Costa?
Victor Costa ni wa kumfananisha na Franco Baresi au Franz Backenbeur "the kaiser"
We jamaa nimekushangaa kweli! Kwahiyo kupiga chenga moja kwenye boksi ndo kuwa beki bora? Nadhani kazi ya beki ni kuhakikisha lango linakuwa salama wakisaidiana na mlinda mlango.... sasa ilikuwaje nne zote zikaingia?Kama kumbukumbu zako ziko sawa, kuna mechi moja na Senegal tushalambwa 4-0 ugenini, Victor Costa Nampoka Nyumba katika utulivu wa hali ya juu kabisaa, alimgeuza El Hadji Diouf ndani ya Box letu bila papara yoyote huku Marcio Maximo akifumba macho.
Baada ya mchezo nusu ya wachezajibwa Senegal walimfuata Costa kumpa mkono kwa mchezo wake huku Papa Bouba Diop akiomba jezi ya Costa baada ya kukunwa na uwezo wa jamaa.
Ila wachezaji wale wa Senegal walifadhaika baada ya kusikia Costa anacheza mpira Tanzania na sio Ulaya wala South Africa.
Hahaa, una mahaba tu... nyie ndo akina daudaYule nguvu nyingi pamoja na ubabe kwa kifupi he was an old fashion defender
We si umesema Kizota alikuwa old fashion? Sasa unaungaje mkono hoja?Naunga mkono hoja yako mkuu.
Umeona! Alikuwa wa kawaida mno sema jamaa kaamua kumpamba tuBeki hasifiwi kwa chenga. Beki Kazi yake ni kuharibu mipango ya washambuliaji.
Victor alikua taratibusana na alikua anapenda kuchezea sana mpira, kituambacho kilimyima sifa ya kucheza nje.
Alikua anapenda mpira waa madoido ambao unachezwa apakwetu ila sio kwenye soka lililo endelea.
Nikama umuonavyo Haruna,Wengiwetu tunapenda Mpira wa majukwaaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo hao sikuwaona ila Costa alikuwa wa kawaidaKwa enzi zangu niseme tu George Magere na Frank Kasanga ambao nadiriki kasema Costa hadiriki kubeba hata Viatu vya akiba
Ndo maana tulikula nne, beki hovyo kupiga piga chenga kwenye boksiAlitakaga kumpiga chenga Mahmadou Niang akanyang'anywa nusura tupigwe goli ila ni beki ambae alitulia sana yaan!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Drogba mwenyewe anauelewa mziki wa CannavaroYawezekana UKAWA uko sahihi lkn kutompa heshima yake Nadir Haroub Cannavaro ni kuukosea heshima mchezo wa soka kwa kiwango cha Tanzania.
Samwel E'too alitoa heshima yake kwa Nadir licha ya kufunga goli mbili Mpira ulivyoisha Etoo akiwa karibu katikati ya uwanja tulimuona kupitia luninga akienda kwa kasi mpaka kwa Nadir na kuomba jezi yake.
Hata kama humpendi Nadir kaitendea haki no 5 kwa Yanga na T,Stars.
Kwenda kucheza nje si washauri ni kupata nafasi sio ukurupuke utaenda nje wala uwanja hutauona.
Umeamua kuwadhalilisha akina Rio Ferdinand kwa kuwafananisha na vitu vya kijingatumpe costa sifa zake mpira wake ni kama rio fedinand stone,beki wa tottenham zanchez,beki chrestensen wa chelsea
kila mtu anawazo lake hapa jf sikulazimishi muller ni mjerumani wewe ni mkaguruUmeamua kuwadhalilisha akina Rio Ferdinand kwa kuwafananisha na vitu vya kijinga