Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,715
- 8,058
Wadau,
Naomba mnisaidie kuelewa, hivi ni nini sababu ya kutoelewana;
1.Diamond na Ali Kiba
2.Fid Q na Joh Makini
3.Kala pina na wasanii wote [emoji23][emoji23]
4.Sister P na Zay B
5.Wanaume TMK na Wanaume halisi
Au kutokuelewana kunawasaidia kimaslahi?
Naomba mnisaidie kuelewa, hivi ni nini sababu ya kutoelewana;
1.Diamond na Ali Kiba
2.Fid Q na Joh Makini
3.Kala pina na wasanii wote [emoji23][emoji23]
4.Sister P na Zay B
5.Wanaume TMK na Wanaume halisi
Au kutokuelewana kunawasaidia kimaslahi?