Mpaka leo tarehe 23.02.2025 huyu mama hajapeleka watoto shule kisa hana ada, ukimwambia shule za serikali zipo anasema hawezi kufanya huo ujinga

Mpaka leo tarehe 23.02.2025 huyu mama hajapeleka watoto shule kisa hana ada, ukimwambia shule za serikali zipo anasema hawezi kufanya huo ujinga

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Leo ndio nimehitimisha kuwa wazazi wengi wanaopeleka watoto EMS ni wale washamba, mostly ni watu ambao wameishia shule za msingi. Wanadhani elimu ni KIINGEREZA.

Mtoto makubwa yuko darasa la nne na mdogo darasa la pili. Lakini hawajaanza bado. Huyu mama anafanya kazi za kuhudumia mifugo ya mtu, ni single Maza lakini kitendo cha kusomesha watoto shule za serikali anasema ni upumbavu.

Anayesoma EMS, government shool na international school wote wanafika chuo kikuu. Sasa kwanini mtu ujitese kufanya vitu kwa sifa?

Yes, unaweza kusomesha popote kwa gharama zozote ila kitendo cha kuishi kwa shida , msosi wa shida , unavaa mitambara ili kubana ada binafsi naona ni utahira fulani hivi. Samahani
 
Kusoma ni kujifunza kitu , so hapa ni Ile njaa ama kiu ya ndani kabisa ya nafsi ya mtu, Kuna watu wanajifunza kitu wao wenyewe mpaka wanakuwa wabobezi wa fani iyo , hakuna mtu atakufanya uwe na kiu ya maarifa uwe unajisomea wakati ambao mtu hakuoni, ni sawa na mtu kutafuta umbeya, kuangalia porrno mtu anatafuta mwenyewe anajua ni wapi atakapoweza kidhi haja ya moyo wake
 
Akisema LIKUD anaambiwa eti atafute hela.

Mtoa mada utakuwa umenikosea heshima sana kama utakuwa hujamtandika " KELBU" huyo mwanamke mjinga asie jielewa.

Anawapa watoto wake psychological torture ya hali ya juu sana.

Watoto wanaona wenzao wanaenda shule kusoma halafu wao wapo tu nyumbani
 
Kusoma ni kujifunza kitu , so hapa ni Ile njaa ama kiu ya ndani kabisa ya nafsi ya mtu, Kuna watu wanajifunza kitu wao wenyewe mpaka wanakuwa wabobezi wa fani iyo , hakuna mtu atakufanya uwe na kiu ya maarifa uwe unajisomea wakati ambao mtu hakuoni, ni sawa na mtu kutafuta umbeya, kuangalia porrno mtu anatafuta mwenyewe anajua ni wapi atakapoweza kidhi haja ya moyo wake
Fact. Kikubwa ni kusomesha kulingana na uwezo wako pamoja na kujenga ari ya kupenda kusoma ndani ya nafsi za watoto wako
 
Akisema LIKUD anaambiwa eti atafute hela.

Mtoa mada utakuwa umenikosea heshima sana kama utakuwa hujamtandika " KELBU" huyo mwanamke mjinga asie jielewa.

Anawapa watoto wake psychological torture ya hali ya juu sana.

Watoto wanaona wenzao wanaenda shule kusoma halafu wao wapo tu nyumbani
Inaumiza sana.
 
huyo mama yupo sahihi.. sisi wa kayumba tulikuwa tunaishia vichakani.. hatupo nyumbani hatupo shuleni..

wenzangu wa Magari ya njano wanakichapa kingereza swafi mimi nimesha kariri what is physics nikiletewa define physics nafeli.. WTF
 
Leo ndio nimehitimisha kuwa wazazi wengi wanaopeleka watoto EMS ni wale washamba, mostly ni watu ambao wameishia shule za msingi. Wanadhani elimu ni KIINGEREZA.

Mtoto makubwa yuko darasa la nne na mdogo darasa la pili. Lakini hawajaanza bado. Huyu mama anafanya kazi za kuhudumia mifugo ya mtu, ni single Maza lakini kitendo cha kusomesha watoto shule za serikali anasema ni upumbavu.

Anayesoma EMS, government shool na international school wote wanafika chuo kikuu. Sasa kwanini mtu ujitese kufanya vitu kwa sifa?

Yes, unaweza kusomesha popote kwa gharama zozote ila kitendo cha kuishi kwa shida , msosi wa shida , unavaa mitambara ili kubana ada binafsi naona ni utahira fulani hivi. Samahani
Kila kitu unachokiona mbele yako ndivyo ulivyo. Mimi japo ckubalian na watoto kuwa nyumban lakin nakubaliana na huyo mama kuwa kaona kuna utofauti wa chochote cha serikali na cha binafsi na vile tu uwezo han ila angalau ameona kunahitajika mabadiliko na yupo tayar kulipa gharama kuyakabili. Huyo ni mama shujaa
Mungu ambariki apate anachokitaman. Kiukweli ningekuwa namjua live namlipia ada miaka 2. Ni vile matapeli wengi kila mahali. Hakuna watu nawapenda kama ambao wameshaamua kuchukua hatua kuondokana na kile kile bila kutoka kwa wale wale. Huyo ni shujaa wangu.
 
Leo ndio nimehitimisha kuwa wazazi wengi wanaopeleka watoto EMS ni wale washamba, mostly ni watu ambao wameishia shule za msingi. Wanadhani elimu ni KIINGEREZA.

Mtoto makubwa yuko darasa la nne na mdogo darasa la pili. Lakini hawajaanza bado. Huyu mama anafanya kazi za kuhudumia mifugo ya mtu, ni single Maza lakini kitendo cha kusomesha watoto shule za serikali anasema ni upumbavu.

Anayesoma EMS, government shool na international school wote wanafika chuo kikuu. Sasa kwanini mtu ujitese kufanya vitu kwa sifa?

Yes, unaweza kusomesha popote kwa gharama zozote ila kitendo cha kuishi kwa shida , msosi wa shida , unavaa mitambara ili kubana ada binafsi naona ni utahira fulani hivi. Samahani
Ana hoja asikilizwe!
 
Leo ndio nimehitimisha kuwa wazazi wengi wanaopeleka watoto EMS ni wale washamba, mostly ni watu ambao wameishia shule za msingi. Wanadhani elimu ni KIINGEREZA.

Mtoto makubwa yuko darasa la nne na mdogo darasa la pili. Lakini hawajaanza bado. Huyu mama anafanya kazi za kuhudumia mifugo ya mtu, ni single Maza lakini kitendo cha kusomesha watoto shule za serikali anasema ni upumbavu.

Anayesoma EMS, government shool na international school wote wanafika chuo kikuu. Sasa kwanini mtu ujitese kufanya vitu kwa sifa?

Yes, unaweza kusomesha popote kwa gharama zozote ila kitendo cha kuishi kwa shida , msosi wa shida , unavaa mitambara ili kubana ada binafsi naona ni utahira fulani hivi. Samahani
Huu mwaka single mother mpaka tukome.
Anyway, amafanya makosa.
Angekubali tu yaishe na watoto awapeleke St. Kayumba
 
Back
Top Bottom