Mpaka leo tarehe 23.02.2025 huyu mama hajapeleka watoto shule kisa hana ada, ukimwambia shule za serikali zipo anasema hawezi kufanya huo ujinga

Mpaka leo tarehe 23.02.2025 huyu mama hajapeleka watoto shule kisa hana ada, ukimwambia shule za serikali zipo anasema hawezi kufanya huo ujinga

Leo ndio nimehitimisha kuwa wazazi wengi wanaopeleka watoto EMS ni wale washamba, mostly ni watu ambao wameishia shule za msingi. Wanadhani elimu ni KIINGEREZA.

Mtoto makubwa yuko darasa la nne na mdogo darasa la pili. Lakini hawajaanza bado. Huyu mama anafanya kazi za kuhudumia mifugo ya mtu, ni single Maza lakini kitendo cha kusomesha watoto shule za serikali anasema ni upumbavu.

Anayesoma EMS, government shool na international school wote wanafika chuo kikuu. Sasa kwanini mtu ujitese kufanya vitu kwa sifa?

Yes, unaweza kusomesha popote kwa gharama zozote ila kitendo cha kuishi kwa shida , msosi wa shida , unavaa mitambara ili kubana ada binafsi naona ni utahira fulani hivi. Samahani
Kwenye maoni ya wadau wa elimu ilpendekezwa shule zote zifanane ziwe EMs lakini kwasababu ya divide and rule watawala walikwepa
 
hakuna uhusiano wowote, wewe ni kilaza tu, ems zimekuja juzi na watu tumetusua huku tukichunga ng'ombe
Zimekuja juzi huko kijijini kwenu ila huku kwetu zipo kitambo sana..

Kila mtu ana target yake ya kutusua kama unaona hapo ulipo ndo umetusua.. dunia imechange Bro sikuhz Watu wana pambana watoto wasome vzur Walale pazur
 
Mzazi muhusika mwenye mtoto.ndie ansjua zaidi taifa lake la kesho liweje asiingiliwe kwenye mwelekeo wake mzuri
Ni kwel mkuu usemalo, ila taifa linaandaliwa na yey, yule, wale, mim na wew pia tunahusika kuliandaa taifa la kesho
 
Back
Top Bottom