Mpaka leo tarehe 23.02.2025 huyu mama hajapeleka watoto shule kisa hana ada, ukimwambia shule za serikali zipo anasema hawezi kufanya huo ujinga

Nitashangaa mtualiyefika Chuo kikuu na anakipato cha kawaida kujitesa kusomesha watoto shule za gharama kubwa Nje wa uwezo wake mpka kufikia anakopa.

Mimi mkionyesha waliosomea International au EMS ambao ni wagunduzi au wanasayansi Wakubwa nitauona huo umuhimu wa kujibana na kukopa Kisa Elimu

Lakini kama ni hawa ninaokutana nao huku kwa kweli ule ni uwekezaji wa aibu.

Zingatia: Kila mtu asomeshe kulingana na hadhi na uwezo wake kiuchumi.

Sio unauwezo wa kusomesha shule ya Milioni Moja alafu upeleke mtoto shule ya bure au Laki mbili. Hiyo sio HAKI.
Ni kumuonea mtoto

Na sio uwezo wako ni Ada ya Laki tano alafu unapeleka mtoto shule ya Milioni Mbili. Hiyo sio HAKI Wala sio AKILI na Wala Sio UPENDO
Ni kujidhulumu, ukosefu wa AKILI
 
huyo mama yupo sahihi.. sisi wa kayumba tulikuwa tunaishia vichakani.. hatupo nyumbani hatupo shuleni..

wenzangu wa Magari ya njano wanakichapa kingereza swafi mimi nimesha kariri what is physics nikiletewa define physics nafeli.. WTF
hakuna uhusiano wowote, wewe ni kilaza tu, ems zimekuja juzi na watu tumetusua huku tukichunga ng'ombe
 
Soma vizuri,hajaingilia!
Umbeya unamsumbua anaacha kuangalia mambo yake anakodolea ya wengine

Angekuwa mzungu angemwambia mind ypur own business na angempiromoshea matusi ya nguoni
Huyu mleta mada mumbeya sana ana roho ya kike ya umbeys kutwa kuongelea ys watoto wa watu sijui ni tasa huyu mleta mada.

Mwenye watoto huwezi shinda kutwa kuongelea watoto wa watu utakuwa busy na wa kwako
 
Sijajua dhumuni la huyu mama ni lipi ila ninavyoona ana fikra hasi juu ya shule za serikali
 
Maisha ya mtu muachie muhusika atajijua na watoto wake

Sijui kwa nini mtu kama wewe huna hata mtoto unajitia mshauri wa wenye watoto

Kazae kwanza
 
Huyo mama angeweka hata kibubu kwaajili ya wanawe au angewafungulia account kwaajili ya kuwawekea hela. Mambo ya kusema January imefika ndo niwatafutie ada yatamfelisha.
 
Huyo mama alisoma serikalini ndiyo maana kaishia kuhudumia mifugo ya watu. Kwahiyo kajifunza kwa makosa wazazi wake walifanya hivyo hataki mwanaye awe mfuga ng'ombe, mwache apambame huko huko EM
 
Inawezekana ile story ya kwamba watoto wa shule za msingi za serikali wanafaulu mitihani ya kuingia kidacho cha kwanza ila kule wanabainika hawazijui KKK. kusoma kuandika kuhesabu
 
HAPANA MKUU, NI KAWAIDA ASEME KWAN HILO NI TAIFA LA KESHO, TUNALIANDAA KWA PAMOJA. What u doing today, hav impact tomorrow
 
Wewe Ndio mshamba,acha kuhangaika na Mambo ya watu,dunia ina Mambo mengi huwezi yote fanya ya kwako kaa kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…