Mpaka leo, wapo wanaoamini Tundu Lissu alishambuliwa na vikosi vya Serikali awamu ya tano, na wapo wanaoamini ni mchezo wa CHADEMA kufitinisha utawala

Mpaka leo, wapo wanaoamini Tundu Lissu alishambuliwa na vikosi vya Serikali awamu ya tano, na wapo wanaoamini ni mchezo wa CHADEMA kufitinisha utawala

Akiwa Singida katika mikutano yake hivi Juzi, Mh. Tundu Lissu alidai tena kwamba, anawindwa na watu wasiojulikana kama ilivyokuwa kipindi cha miaka ya 2016, 2017 pindi akiwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya watu wa TANZANIA

Ilikuwa ni kama mchezo hivi, mara masikio ya Watanzania na duniani kote, ikasikiaka habari mbaya za kushambuliwa kwa risasi nyingi mh.Tundu lissu na hatimaye kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu

Ni miaka kadhaa sasa imepita tangu tukio hilo baya kabisa na la kihistoria katika nchi yetu tangu kuwepo kwa vyama vingi nchini mtu maarufu na kiongozi katika nchi kushambuliwa kwa risasi tena ni mchana kweupe!

Mungu asaudie isijirudie tena ili tuendelee kuishi kwa amani, upendo na mshikamano

Kwa kuwa wapo Watanzani wengi ambao walioamini kwamba, mashambulizi hayo pengine yalitokana na amri ya Rais wa aliyekuwepo kipindi hiko hayati John Pombe Magufuli na wengine walitofautiana na uvumi huo huku wao wakiamini kuwa, huo ni mchezo tu wa Ndani kwa ndani wa wana Chadema, huku wakirejelea mambo ambayo yamewahi kujitokeza katika chama hiko na kutolea mfano wa wengi waliowahi kukumbwa na kadhia hizo ndani ya Chadema, mfano, Chacha Wangwe, kina Zitto, Sumaye na wengine wengi na hao wato wakitoa shutuma kwa kiongozi wao mkuu wa chama

Na sasa kuna kinachoendelea ndani ya Chama hiki kikubwa kabisa cha upinzani nchini, Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA)

Kuna makundi mawili sasa yakivutana na kutwishana lawama za upande mmoja wamepokea mlungula wa pesa za CCM ili kuvuruga uchaguzi wa ndani na kiongozi mmoja kwenda mbali zaidi kuhoji dhidi ya ujio wa Mh.Samia katika maadhimisho ya siku ya wanawake kichama

Mambo haya yameendelea na kuibua hisia kali ndani ya Chama, ni ukweli ulio bayana kwamba, Chadema hawako pamoja, yapo makundi mawili, moja likiwa upande wa mwenyekiti wa Chama (MBOWE) na la pili upande wa makamu Mwenyekiti (TUNDU LISSU)

Kunapotokea madai ya mmoja kuwindwa na watu wasiojylikana, wakati huo huo ndani ya chama hakuna umoja na maelewano hayapo, wale watu waliokuwa wakiamini kwamba, Kushambuliwa kwa lisasi mh Tundu Lissu kulitokana na Chadema, watakoleza habari hizi na kuziamini zaidi

Chonde Chonde, Chadema kaeni myamalize, siku zote adui hutumia mlango wa udhaifu na kushambuliana nyinyi kwa nyinyi ili awamalize na msijue kwa wepesi

UMOJA NI NGUZO YA USHINDI

INAWEZEKANA TENA KWA CHADEMA KUWA WAMOJA!

Pia soma
Nchi Ina wachawi na sifa ya uchawi ni kutoona aibu
 
Hili ni bumunda la Lumumba linadhiidhirisha jinshi serikari yao ilivyodhaifu kama chana kinaweza kupanga uhalifu na kutekeleza
Bila mifumo ya usalama kubaini na kuchukua hatua

Lakini chadema waliomba uchunguzi wa mashirika ya kijasusi ya kimataifa
Ccm wamegoma

Sijui hili bumunda linasemaje
 
Hili ni bumunda la Lumumba linadhiidhirisha jinshi serikari yao ilivyodhaifu kama chana kinaweza kupanga uhalifu na kutekeleza
Bila mifumo ya usalama kubaini na kuchukua hatua

Lakini chadema waliomba uchunguzi wa mashirika ya kijasusi ya kimataifa
Ccm wamegoma

Sijui hili bumunda linasemaje
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
 
Akiwa Singida katika mikutano yake hivi Juzi, Mh. Tundu Lissu alidai tena kwamba, anawindwa na watu wasiojulikana kama ilivyokuwa kipindi cha miaka ya 2016, 2017 pindi akiwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya watu wa TANZANIA

Ilikuwa ni kama mchezo hivi, mara masikio ya Watanzania na duniani kote, ikasikiaka habari mbaya za kushambuliwa kwa risasi nyingi mh.Tundu lissu na hatimaye kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu

Ni miaka kadhaa sasa imepita tangu tukio hilo baya kabisa na la kihistoria katika nchi yetu tangu kuwepo kwa vyama vingi nchini mtu maarufu na kiongozi katika nchi kushambuliwa kwa risasi tena ni mchana kweupe!

Mungu asaudie isijirudie tena ili tuendelee kuishi kwa amani, upendo na mshikamano

Kwa kuwa wapo Watanzani wengi ambao walioamini kwamba, mashambulizi hayo pengine yalitokana na amri ya Rais wa aliyekuwepo kipindi hiko hayati John Pombe Magufuli na wengine walitofautiana na uvumi huo huku wao wakiamini kuwa, huo ni mchezo tu wa Ndani kwa ndani wa wana Chadema, huku wakirejelea mambo ambayo yamewahi kujitokeza katika chama hiko na kutolea mfano wa wengi waliowahi kukumbwa na kadhia hizo ndani ya Chadema, mfano, Chacha Wangwe, kina Zitto, Sumaye na wengine wengi na hao wato wakitoa shutuma kwa kiongozi wao mkuu wa chama

Na sasa kuna kinachoendelea ndani ya Chama hiki kikubwa kabisa cha upinzani nchini, Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA)

Kuna makundi mawili sasa yakivutana na kutwishana lawama za upande mmoja wamepokea mlungula wa pesa za CCM ili kuvuruga uchaguzi wa ndani na kiongozi mmoja kwenda mbali zaidi kuhoji dhidi ya ujio wa Mh.Samia katika maadhimisho ya siku ya wanawake kichama

Mambo haya yameendelea na kuibua hisia kali ndani ya Chama, ni ukweli ulio bayana kwamba, Chadema hawako pamoja, yapo makundi mawili, moja likiwa upande wa mwenyekiti wa Chama (MBOWE) na la pili upande wa makamu Mwenyekiti (TUNDU LISSU)

Kunapotokea madai ya mmoja kuwindwa na watu wasiojylikana, wakati huo huo ndani ya chama hakuna umoja na maelewano hayapo, wale watu waliokuwa wakiamini kwamba, Kushambuliwa kwa lisasi mh Tundu Lissu kulitokana na Chadema, watakoleza habari hizi na kuziamini zaidi

Chonde Chonde, Chadema kaeni myamalize, siku zote adui hutumia mlango wa udhaifu na kushambuliana nyinyi kwa nyinyi ili awamalize na msijue kwa wepesi

UMOJA NI NGUZO YA USHINDI

INAWEZEKANA TENA KWA CHADEMA KUWA WAMOJA!

Pia soma
Sio, swala, LA, kuamini tu, hakuna kitu softicated kwenye ujambazi, wa CCM na vyombo vya dola, jambo lipo wazi, hata, kama, wale operators hawakutoka TISS pale makumbusho, Ila plan yote ilikuwa sanctioned kutoka ikulu ya JPM, na, TISS, walikua wanajua, hii, TISS, ya sasa, hv ni, kama branch, LA, chama, cha, CCM tu, inatumika kuumiza, wapinzani na, wakosoaji wa serikali,kama, wewe umeishawahi, kufika Dom, eneo aliloshambuliwa Lisu,ni, makazi,ya, viongozi, wengi wakubwa hata spika,tukio lote lilirecodiwa na CCTV camera, sasa, nani,aliyeficha hizo, records? Siku,ya, tukio walinzi, walitolewa, wote, nani,mwenye uwezo, huo?
Kama unafikiri mchezo, ulipangwa na insiders, wa, chadema ili wamuue Lisu, harafu iweje? This theory is far fetched,
TISs, imejaa, vijana wajinga wajinga tu, wenye swaga kama vijana walioajiliwa, bank, wakiwa, na Forester na iphone, wanajiona, wameyapatia maisha
 
Akiwa Singida katika mikutano yake hivi Juzi, Mh. Tundu Lissu alidai tena kwamba, anawindwa na watu wasiojulikana kama ilivyokuwa kipindi cha miaka ya 2016, 2017 pindi akiwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya watu wa TANZANIA

Ilikuwa ni kama mchezo hivi, mara masikio ya Watanzania na duniani kote, ikasikiaka habari mbaya za kushambuliwa kwa risasi nyingi mh.Tundu lissu na hatimaye kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu

Ni miaka kadhaa sasa imepita tangu tukio hilo baya kabisa na la kihistoria katika nchi yetu tangu kuwepo kwa vyama vingi nchini mtu maarufu na kiongozi katika nchi kushambuliwa kwa risasi tena ni mchana kweupe!

Mungu asaudie isijirudie tena ili tuendelee kuishi kwa amani, upendo na mshikamano

Kwa kuwa wapo Watanzani wengi ambao walioamini kwamba, mashambulizi hayo pengine yalitokana na amri ya Rais wa aliyekuwepo kipindi hiko hayati John Pombe Magufuli na wengine walitofautiana na uvumi huo huku wao wakiamini kuwa, huo ni mchezo tu wa Ndani kwa ndani wa wana Chadema, huku wakirejelea mambo ambayo yamewahi kujitokeza katika chama hiko na kutolea mfano wa wengi waliowahi kukumbwa na kadhia hizo ndani ya Chadema, mfano, Chacha Wangwe, kina Zitto, Sumaye na wengine wengi na hao wato wakitoa shutuma kwa kiongozi wao mkuu wa chama

Na sasa kuna kinachoendelea ndani ya Chama hiki kikubwa kabisa cha upinzani nchini, Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA)

Kuna makundi mawili sasa yakivutana na kutwishana lawama za upande mmoja wamepokea mlungula wa pesa za CCM ili kuvuruga uchaguzi wa ndani na kiongozi mmoja kwenda mbali zaidi kuhoji dhidi ya ujio wa Mh.Samia katika maadhimisho ya siku ya wanawake kichama

Mambo haya yameendelea na kuibua hisia kali ndani ya Chama, ni ukweli ulio bayana kwamba, Chadema hawako pamoja, yapo makundi mawili, moja likiwa upande wa mwenyekiti wa Chama (MBOWE) na la pili upande wa makamu Mwenyekiti (TUNDU LISSU)

Kunapotokea madai ya mmoja kuwindwa na watu wasiojylikana, wakati huo huo ndani ya chama hakuna umoja na maelewano hayapo, wale watu waliokuwa wakiamini kwamba, Kushambuliwa kwa lisasi mh Tundu Lissu kulitokana na Chadema, watakoleza habari hizi na kuziamini zaidi

Chonde Chonde, Chadema kaeni myamalize, siku zote adui hutumia mlango wa udhaifu na kushambuliana nyinyi kwa nyinyi ili awamalize na msijue kwa wepesi

UMOJA NI NGUZO YA USHINDI

INAWEZEKANA TENA KWA CHADEMA KUWA WAMOJA!

Pia soma
Ni juha pekee,tena juha wa kiwango cha SGR anayeweza si kuamini tu, hata kuwa na hisia ya kuwa CHADEMA wanahusika na kupigwa risasi kwa Tundu Lissu.

Narudia tena,ni juha pekee anayeweza kufikiri kuwa CHADEMA walihusika na kumpiga risasi Lissu.
 
Bongo wakati wa JPM ilikuwa ni police state, ulikuwa unaweza kupotezwa anytime, utekaji, kusafishwa bank account/ business bila kesi, kupewa kesi fake, mauaji ya viroba etc yalikuwa maisha ya kawaida chini ya Magufuli ,ushahidi upo na walioumizwa wengi bado wapo, JPM chapa kazi lakini hii mambo mengine ni udwanzi wa hali ya juu na asingepona watu walianza kuchoka uonezi wake
 
Hapana mkuu, tunajaribu kutahadharisha tu, hivii, Tundu Lissu anavyodai anafuatiliwa na watu wasiojulikana katika kipindi hiki ambapo kuna mgogoro ndani ya chama chake, unadhani tuzunguze lipi mkuu
Huo mgogoro unaujua peke yakoo?
Mgogoro huo unaoujua peke yako ni kati ya nani na nani na juu ya nini!!??
 
Nisqhihi kuna afsa mmoja akiwa mkutanoni alitoke na alikuwa kabeba kibegi kama mademu wa buguruni ,lisu anastahili kuvifahamu vymbo vinavyomlinda akiwa kazini kwake
 
Lisu alishambuliwa na serikali ya jiwe tena kwa maelekezo yake kabisa. Ushahidi:-
1. Aliwakataza wanaccm na wabunge watokanao na ccm kwenda kumuona mbunge mwenzao. Kama unakumbuka mpk Nyalandu akaamua kuondoka ccm. Mama Samia alpoenda Nairobi kumuona alitukanwa matusi ya nguoni mpk nusura ajiuzulu uVP.

2. Alipiga marufuku kumchangia damu, kumchangia fedha, na kuvaa t-shirt maalumu za "get well soon Lisu" zilizokuwa zimetengenezwa.
3. Hakuruhusu uchunguzi kufanyika ili kuwabaini waliotenda kosa Hilo kwakuwa alijua atachafuka. Unajua kisa cha IGP Mangu kuondolewa?

4. Alimvua ubunge na akamnyima fedha za matibabu.
5. Alitaka amalizwe na madaktari kabla ya kupelekwa nje kutibiwa. Unajua sababu ya Dr. Ulisubisya kuondolewa wizara ya afya na kutupwa ubalozi?

Mshenzi sana jiwe, bora amekufa
Nurse aliyemsaidia mara baada ya kufikishwa hospital alifukuzwa kazi.
 
Back
Top Bottom