Mpaka muda huu ni wazi kuwa Wasafi Festival ni Joka la kibisa kwa Tigo Fiesta.

Mpaka muda huu ni wazi kuwa Wasafi Festival ni Joka la kibisa kwa Tigo Fiesta.

Tatizo la wasafi nao mwaka huu wameanza ubaguzi wa kupeana madili kiushkaji hali iliyopelekea hata niki mbishi kulalamika hakuna sababu ya kuwaacha wasanii kama hawa mashabiki walitegemea wasanii waliokuwa wanabaniwa clouds basi wasafi ndo jukwaa lao la kujimwambafai tamasha lakini nako watu wanaanza kubaniwa limeonesha kukosa mvuto
 
Fiesta ilikuwa zamani sasa hivi haina tofauti na kigodoro
[emoji124][emoji124][emoji124]
 
Mkubwa ni Mkubwa tu Chalii..Experience ndo ina'matter zaidi,Clouds wako vizuri sana kwenye ubunifu hili liko wazi kabisaa.!!vitu kama kipepeo,Fursa,Afisa wahamasishaji,Usafiri wa treni lakini pia watangazaji wa Power breakfast kupeana majina ya kikabila ya mkoa ambao fiesta inafanyika(Hahaha)
 
Hey Guys,,,,

okay,,,fresh

Hakuna asiye jua jinsi Wasafi festival ilivyo kuja kwa nguvu mpaka kupelekea kuwatia mashaka clouds na Fiesta yao.

Ile hali kwa hali ya kawaida ilikuwa ni tishio kubwa kwa clouds,Hata mtu aliye kuwa anashuhudia ile vita ni wazi kabisa kulikuwa na asilimia 80 ya clouds kudondoka hasa ukizingatia Ruge alikuwa hayupo tena(alikuwa ICU),

Baada ya Ruge kufariki ndo kabisaa watu tuka amini huu ndo mwisho wa utawala wa clouds.

Mwaka huu nimezifuatilia hizi show mbili pinzani (wasafi na Fiesta),nilicho gundua ni kuwa,Clouds hajapata mpinzani bado,Wasafi festival licha ya kuwa ndo show yenye wasanii wakubwa ikiongozwa na Diamond Lakini kila mkoa inapo enda haishitui kama ilivyo kwa Tigo fiesta,Sijui tatizo ni nini,

Wasafi imeanzisha tamasha hili kutegemea nguvu aliyo nayo Diamond na kila kitu kumwachia yeye mpaka promo,Wamesahau kuwa lile ni tamasha so lazima liwe na watu nyuma yake wanao deal na vitu vingine ili Diamond abaki kama performer tu

Kwa maana hiyo hilo tamasha siyo la kudumu Bali nila muda tu cz halina Hata kitu cha ziada ndani yake,

Kama kuna watu nyuma ya tamasha la Wasafi basi ni wazi kuwa tayari wameshafeli,

Nataman nimjue yule aliye kuwa nyuma ya ile show ya Diamond iliyo fanyika Kahama,Ni show iliyo kuwa na mvuto kuanzia promo mpaka stejini pale,Nilitegemea show zote za mwaka huu watakapo pita Wasafi itakuwa zaidi ya pale,Lakini imekuwa tofauti kabisa.

Clouds haijapata mpinzani bado, ila sema wamepata mpinzani wa kuwafanya wazidi kujiimarisha,Imagne weekend hii Tigo fiesta inafanyika Dodoma ila kuna mashabiki kama uki penda utanunua tiketi hapa Dar na uta ondoka na Treni,humo ndani kutakuwa na bata zote,kuanzia wasanii wote,DJ's wote wa clouds pamoja na Presenters wote,humo ni mwendo wa bata tu mpaka Dom,kwa ubunifu huu ni nani wa kushindana na hawa jamaa? Najua hapa kuna watu watasema kuwa eti clouds wanatafuta watu wa kujaza show😀😀😀.

Wasafi niwashauri kitu,

Hii Dunia ya sasa kila kitu ni ubunifu,nyie najua jeuri yenu ni kuwa mna wasanii wakubwa hivyo watu watakuja kwenye tamasha lenu,kama jeuri yenu ni hiyo basi mshafeli,Mnahitaji kujichang'anya na watu ili kuleta hamasa kama wafanyavyo CMG,Pia hili la kujiamini kuwa mna kila kitu cha kuwavutia watu mmelipeleka mpaka kwenye TV na Radio yenu,Mkiendelea na hii jeuri yenu basi mjue media yenu itaishia kuwa kama Times FM tu,Kumbukeni Diamond huko mbeleni hatakuwepo au hatakuwa na influence kama aliyonayo sasa ila hilo tamasha na hzo Radio\Tv vitakuwepo,huu ni muda wa walioko chini ya hivyo vitu kufanya promo ya kutosha kupitia brand ya Wasafi ili vijitegemee na siyo kumtegemea Diamond.

#Jimmy-De-Lite
Wasafi yote hata kwenye media hawana jipya. Imekuwa clone tu ya Clouds.

Ukiwa mtu huru unaliona hilo.
 
Mi nasubiri tamasha la WACHAFU nikamwage radhi.
 
Yaani nimeona maelezo megi hapa ni kutaka kuwe na tamasha moja tu either Wasafi au Fiesta, kuwa na matamasha mengi ni faida zaidi
Ulitegemea mafanikio ya wasafi yawe kufeli kwa fiesta?hatuwezi kua na matamasha makubwa mawili?
 
Sioni jipya Kwa clouds, ukweli utabak pale pale , wasafi Wana mapokezi makubwa Sana kwenye Matamasha Yao ukilinganisha na fiesta, na japo fiesta wanatumia nguvu Sana na gharama kubwa lakn naona kama wanapata hasara , changamoto ya wasafi hawana vitu ving bado kama clouds, na ukweli utabak kuwa ukweli tuu, wasafi festival ni serious threat Kwa clouds labda kama tunaongelea ushabiki
 
Hey Guys,,,,

okay,,,fresh

Hakuna asiye jua jinsi Wasafi festival ilivyo kuja kwa nguvu mpaka kupelekea kuwatia mashaka clouds na Fiesta yao.

Ile hali kwa hali ya kawaida ilikuwa ni tishio kubwa kwa clouds,Hata mtu aliye kuwa anashuhudia ile vita ni wazi kabisa kulikuwa na asilimia 80 ya clouds kudondoka hasa ukizingatia Ruge alikuwa hayupo tena(alikuwa ICU),

Baada ya Ruge kufariki ndo kabisaa watu tuka amini huu ndo mwisho wa utawala wa clouds.

Mwaka huu nimezifuatilia hizi show mbili pinzani (wasafi na Fiesta),nilicho gundua ni kuwa,Clouds hajapata mpinzani bado,Wasafi festival licha ya kuwa ndo show yenye wasanii wakubwa ikiongozwa na Diamond Lakini kila mkoa inapo enda haishitui kama ilivyo kwa Tigo fiesta,Sijui tatizo ni nini,

Wasafi imeanzisha tamasha hili kutegemea nguvu aliyo nayo Diamond na kila kitu kumwachia yeye mpaka promo,Wamesahau kuwa lile ni tamasha so lazima liwe na watu nyuma yake wanao deal na vitu vingine ili Diamond abaki kama performer tu

Kwa maana hiyo hilo tamasha siyo la kudumu Bali nila muda tu cz halina Hata kitu cha ziada ndani yake,

Kama kuna watu nyuma ya tamasha la Wasafi basi ni wazi kuwa tayari wameshafeli,

Nataman nimjue yule aliye kuwa nyuma ya ile show ya Diamond iliyo fanyika Kahama,Ni show iliyo kuwa na mvuto kuanzia promo mpaka stejini pale,Nilitegemea show zote za mwaka huu watakapo pita Wasafi itakuwa zaidi ya pale,Lakini imekuwa tofauti kabisa.

Clouds haijapata mpinzani bado, ila sema wamepata mpinzani wa kuwafanya wazidi kujiimarisha,Imagne weekend hii Tigo fiesta inafanyika Dodoma ila kuna mashabiki kama uki penda utanunua tiketi hapa Dar na uta ondoka na Treni,humo ndani kutakuwa na bata zote,kuanzia wasanii wote,DJ's wote wa clouds pamoja na Presenters wote,humo ni mwendo wa bata tu mpaka Dom,kwa ubunifu huu ni nani wa kushindana na hawa jamaa? Najua hapa kuna watu watasema kuwa eti clouds wanatafuta watu wa kujaza show😀😀😀.

Wasafi niwashauri kitu,

Hii Dunia ya sasa kila kitu ni ubunifu,nyie najua jeuri yenu ni kuwa mna wasanii wakubwa hivyo watu watakuja kwenye tamasha lenu,kama jeuri yenu ni hiyo basi mshafeli,Mnahitaji kujichang'anya na watu ili kuleta hamasa kama wafanyavyo CMG,Pia hili la kujiamini kuwa mna kila kitu cha kuwavutia watu mmelipeleka mpaka kwenye TV na Radio yenu,Mkiendelea na hii jeuri yenu basi mjue media yenu itaishia kuwa kama Times FM tu,Kumbukeni Diamond huko mbeleni hatakuwepo au hatakuwa na influence kama aliyonayo sasa ila hilo tamasha na hzo Radio\Tv vitakuwepo,huu ni muda wa walioko chini ya hivyo vitu kufanya promo ya kutosha kupitia brand ya Wasafi ili vijitegemee na siyo kumtegemea Diamond.

#Jimmy-De-Lite
Wewe unazungumzia wasafi ipi ? kama ni wasafi festival ata clouds wenyewe mavi yanawatoka huko waliko
 
Tofautisha bei....5000 kwa 10000 na promo kibao...
Hebu jiulize ingekua Wasafi radio inasikika mikoa yote....

Kwenye bei weka mfano wa Tecno na Samsung hapa bongo.... Utapata jibu wspi ni wengi..

Fiesta inabebwa na promo pamoja na kushuka bei....pia imeogopa mikoa yote yenye ushindani....hadi Dar kweli...
 
Tofautisha bei....5000 kwa 10000 na promo kibao...
Hebu jiulize ingekua Wasafi radio inasikika mikoa yote....

Kwenye bei weka mfano wa Tecno na Samsung hapa bongo.... Utapata jibu wspi ni wengi..

Fiesta inabebwa na promo pamoja na kushuka bei....pia imeogopa mikoa yote yenye ushindani....hadi Dar kweli...
Kila mwaka Dar si inakuaga ya mwisho kufanya Fiesta au?
 
Sioni jipya Kwa clouds, ukweli utabak pale pale , wasafi Wana mapokezi makubwa Sana kwenye Matamasha Yao ukilinganisha na fiesta, na japo fiesta wanatumia nguvu Sana na gharama kubwa lakn naona kama wanapata hasara , changamoto ya wasafi hawana vitu ving bado kama clouds, na ukweli utabak kuwa ukweli tuu, wasafi festival ni serious threat Kwa clouds labda kama tunaongelea ushabiki
Wasafk festival inabebwa na uwepo wa diamond,so siku akiwa hayupo on Top maana yake Tamasha litakua limekufa au?
 
Sijajua umeandika nini kwamba unawaponda wasafi au unataka kusema nn,Wasafi ni Tamasha kubwa ambalo lina miaka miwili saivi toka lianze na linajaza kila mkoa,Fiesta ni tamasha kubwa pia lina mda mrefu toka lianze na linajaza pia,Hizi ni biashara za burudani uchaguzi ni wako kuchagua kwenda wasafi au Fiesta.
umeongea sahihi wote ni watanzania na wanaongeza kitu kwenye soko la ajira la burudani si KITU CHA KUFURAHI kwa yeyote kati yao kuanguka bali ni kitu cha kujivunia kuwa na matamasha mawili makubwa nchini
 
Tatizo la wasafi wanasukuma mkokoteni wakiwa juu ya mkokoteni.
Hey Guys,,,,

okay,,,fresh

Hakuna asiye jua jinsi Wasafi festival ilivyo kuja kwa nguvu mpaka kupelekea kuwatia mashaka clouds na Fiesta yao.

Ile hali kwa hali ya kawaida ilikuwa ni tishio kubwa kwa clouds,Hata mtu aliye kuwa anashuhudia ile vita ni wazi kabisa kulikuwa na asilimia 80 ya clouds kudondoka hasa ukizingatia Ruge alikuwa hayupo tena(alikuwa ICU),

Baada ya Ruge kufariki ndo kabisaa watu tuka amini huu ndo mwisho wa utawala wa clouds.

Mwaka huu nimezifuatilia hizi show mbili pinzani (wasafi na Fiesta),nilicho gundua ni kuwa,Clouds hajapata mpinzani bado,Wasafi festival licha ya kuwa ndo show yenye wasanii wakubwa ikiongozwa na Diamond Lakini kila mkoa inapo enda haishitui kama ilivyo kwa Tigo fiesta,Sijui tatizo ni nini,

Wasafi imeanzisha tamasha hili kutegemea nguvu aliyo nayo Diamond na kila kitu kumwachia yeye mpaka promo,Wamesahau kuwa lile ni tamasha so lazima liwe na watu nyuma yake wanao deal na vitu vingine ili Diamond abaki kama performer tu

Kwa maana hiyo hilo tamasha siyo la kudumu Bali nila muda tu cz halina Hata kitu cha ziada ndani yake,

Kama kuna watu nyuma ya tamasha la Wasafi basi ni wazi kuwa tayari wameshafeli,

Nataman nimjue yule aliye kuwa nyuma ya ile show ya Diamond iliyo fanyika Kahama,Ni show iliyo kuwa na mvuto kuanzia promo mpaka stejini pale,Nilitegemea show zote za mwaka huu watakapo pita Wasafi itakuwa zaidi ya pale,Lakini imekuwa tofauti kabisa.

Clouds haijapata mpinzani bado, ila sema wamepata mpinzani wa kuwafanya wazidi kujiimarisha,Imagne weekend hii Tigo fiesta inafanyika Dodoma ila kuna mashabiki kama uki penda utanunua tiketi hapa Dar na uta ondoka na Treni,humo ndani kutakuwa na bata zote,kuanzia wasanii wote,DJ's wote wa clouds pamoja na Presenters wote,humo ni mwendo wa bata tu mpaka Dom,kwa ubunifu huu ni nani wa kushindana na hawa jamaa? Najua hapa kuna watu watasema kuwa eti clouds wanatafuta watu wa kujaza show[emoji3][emoji3][emoji3].

Wasafi niwashauri kitu,

Hii Dunia ya sasa kila kitu ni ubunifu,nyie najua jeuri yenu ni kuwa mna wasanii wakubwa hivyo watu watakuja kwenye tamasha lenu,kama jeuri yenu ni hiyo basi mshafeli,Mnahitaji kujichang'anya na watu ili kuleta hamasa kama wafanyavyo CMG,Pia hili la kujiamini kuwa mna kila kitu cha kuwavutia watu mmelipeleka mpaka kwenye TV na Radio yenu,Mkiendelea na hii jeuri yenu basi mjue media yenu itaishia kuwa kama Times FM tu,Kumbukeni Diamond huko mbeleni hatakuwepo au hatakuwa na influence kama aliyonayo sasa ila hilo tamasha na hzo Radio\Tv vitakuwepo,huu ni muda wa walioko chini ya hivyo vitu kufanya promo ya kutosha kupitia brand ya Wasafi ili vijitegemee na siyo kumtegemea Diamond.

#Jimmy-De-Lite
 
Tofautisha bei....5000 kwa 10000 na promo kibao...
Hebu jiulize ingekua Wasafi radio inasikika mikoa yote....

Kwenye bei weka mfano wa Tecno na Samsung hapa bongo.... Utapata jibu wspi ni wengi..

Fiesta inabebwa na promo pamoja na kushuka bei....pia imeogopa mikoa yote yenye ushindani....hadi Dar kweli...
Haya matamasha huwa hayana faida zaidi ya kujiongezea brand kwa makampuni husika,wanao faidi haya matamasha ni wasanii tu ila makampuni huwa dhumuni lao ni kujiongezea brand tu,kama kuna mtu yuko karibu na watu walio karibu na waandaaji wa matamasha haya kaa nae umwulize ata kwambia.
 
Back
Top Bottom