Mpaka sasa CHADEMA wameshatimiza lengo kuu la maandamano ni akili kubwa imetumika, polisi wanahaha.

Mpaka sasa CHADEMA wameshatimiza lengo kuu la maandamano ni akili kubwa imetumika, polisi wanahaha.

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kuna njia nyingi za kuandamana au kufanya shinikizo kwa serikali yoyote. Mojwapo ya njia hizo ni maandamano tunayoyajua.

Njia nyingine ni kufanya mzunguko wa taarifa zitakazoifanya serikali ione kuna tatizo flani na wananchi hawafurahii hali hiyo.

Mpaka sasa zipo taarifa za polisi kutoka mikoa mbali mbali kusafiri kwenda Dar. Zipo habari hapa JF za magari ya polisi yakionekana kusafiri kutoka Moshi siku ya jana kwenda Dar.https://www.jamiiforums.com/threads/update-maandamano-sept-23-tayari-moshi-huu-unafuka.2259013/unread

Huko Dar polisi wameonekana wakifanya doria ama mazoezi. Hayo ndio maandamano!

Huku serkali ikisubiri kuzuia maandamano ujumbe ulishafika siku nyingi na CHADEMA mpaka sasa wamefanikiwa kupeleka ujumbe kunakotakiwa. Hii tactic ni kubwa.
 
Kuna njia nyingi za kuandamana au kufanya shinikizo kwa serikali yoyote. Mojwapo ya njia hizo ni maandamano tunayoyajua.

Njia nyingine ni kufanya mzunguko wa taarifa zitakazoifanya serikali ione kuna tatizo flani na wananchi hawafurahii hali hiyo.

Mpaka sasa zipo taarifa za polisi kutoka mikoa mbali mbali kusafiri kwenda Dar. Zipo habari hapa JF za magari ya polisi yakionekana kusafiri kutoka Moshi siku ya jana kwenda Dar.https://www.jamiiforums.com/threads/update-maandamano-sept-23-tayari-moshi-huu-unafuka.2259013/unread

Huko Dar polisi wameonekana wakifanya doria ama mazoezi. Hayo ndio maandamano!

Huku serkali ikisubiri kuzuia maandamano ujumbe ulishafika siku nyingi na CHADEMA mpaka sasa wamefanikiwa kupeleka ujumbe kunakotakiwa. Hii tactic ni kubwa.
👍🤝
 
Mbona kama unataka kuhairisha kuandamana? Kwa uoga huu tutakuona kweli barabarani au ndo nitaenda peke yangu?
Bado lengo ni pale pale tutakuwepo.
 
Kuna njia nyingi za kuandamana au kufanya shinikizo kwa serikali yoyote. Mojwapo ya njia hizo ni maandamano tunayoyajua.

Njia nyingine ni kufanya mzunguko wa taarifa zitakazoifanya serikali ione kuna tatizo flani na wananchi hawafurahii hali hiyo.

Mpaka sasa zipo taarifa za polisi kutoka mikoa mbali mbali kusafiri kwenda Dar. Zipo habari hapa JF za magari ya polisi yakionekana kusafiri kutoka Moshi siku ya jana kwenda Dar.https://www.jamiiforums.com/threads/update-maandamano-sept-23-tayari-moshi-huu-unafuka.2259013/unread

Huko Dar polisi wameonekana wakifanya doria ama mazoezi. Hayo ndio maandamano!

Huku serkali ikisubiri kuzuia maandamano ujumbe ulishafika siku nyingi na CHADEMA mpaka sasa wamefanikiwa kupeleka ujumbe kunakotakiwa. Hii tactic ni kubwa.
Polisi kufanya doria si ndio kazi yao kipi cha ajabu na juzi kati walikua mosho kwenye kurudi makwao ni kesi tujiongeze na propaganda mfu za ufipa!
 
Miaka nenda rudi huu ndio uwa dalili ya kufeli kwa maandamano uchwara, mwisho kabisa mtasema maandamano yapo kwenye fikra 😅😂😂😂😂😂
Wewe ni mtazamaji zaidi
 
Hivi hawa polisi hawana kazi za kufanya?.
Kama kazi ni bora muwapeleke mashambani wakalime.kuliko kuzunguks na magari na kuchezea mafuta
Najaribu kupiga mahesabu gharama za mafuta ya hayo magari na ukarabati wa hayo ama nyenzo na posho zao kama zitakuwepo, na matumizi mabaya ya muda na nguvu kazi (unnecessary expenses and time factor)
 
Kuna njia nyingi za kuandamana au kufanya shinikizo kwa serikali yoyote. Mojwapo ya njia hizo ni maandamano tunayoyajua.

Njia nyingine ni kufanya mzunguko wa taarifa zitakazoifanya serikali ione kuna tatizo flani na wananchi hawafurahii hali hiyo.

Mpaka sasa zipo taarifa za polisi kutoka mikoa mbali mbali kusafiri kwenda Dar. Zipo habari hapa JF za magari ya polisi yakionekana kusafiri kutoka Moshi siku ya jana kwenda Dar.https://www.jamiiforums.com/threads/update-maandamano-sept-23-tayari-moshi-huu-unafuka.2259013/unread

Huko Dar polisi wameonekana wakifanya doria ama mazoezi. Hayo ndio maandamano!

Huku serkali ikisubiri kuzuia maandamano ujumbe ulishafika siku nyingi na CHADEMA mpaka sasa wamefanikiwa kupeleka ujumbe kunakotakiwa. Hii tactic ni kubwa.
IMG-20240921-WA0009.jpg
 
Nimepita njia ya Arusha Segera kuna Beria za polisi kama zote kila coaster inasimamishwa
 
Kuna njia nyingi za kuandamana au kufanya shinikizo kwa serikali yoyote. Mojwapo ya njia hizo ni maandamano tunayoyajua.

Njia nyingine ni kufanya mzunguko wa taarifa zitakazoifanya serikali ione kuna tatizo flani na wananchi hawafurahii hali hiyo.

Mpaka sasa zipo taarifa za polisi kutoka mikoa mbali mbali kusafiri kwenda Dar. Zipo habari hapa JF za magari ya polisi yakionekana kusafiri kutoka Moshi siku ya jana kwenda Dar.https://www.jamiiforums.com/threads/update-maandamano-sept-23-tayari-moshi-huu-unafuka.2259013/unread

Huko Dar polisi wameonekana wakifanya doria ama mazoezi. Hayo ndio maandamano!

Huku serkali ikisubiri kuzuia maandamano ujumbe ulishafika siku nyingi na CHADEMA mpaka sasa wamefanikiwa kupeleka ujumbe kunakotakiwa. Hii tactic ni kubwa.
kama hii ndio akili kubwa,
Basi sehemu ya uchaguzi wa uongozi wa juu wa Chadema iliyobaki, inaweza kutokea matatizo makubwa zaidi dah 🐒

kama hii ndio akili kubwa 🐒
 
Back
Top Bottom