Mpaka sasa chaguo ni moja tu 2025

Mpaka sasa chaguo ni moja tu 2025

MAPINDUZI PEKEE INAYOWEZA CCM NI KUTOKA KUWA CHAMA CHA MACHAWA, NA KUWA CHAMA CHA MAKUPE.
ndio,
hata ukiwaita wananchi na waTanzania wote machawa au makupe, wala hata hawatakusemesha kitu,

watakusubiri kwenye uchaguzi, na watakueleza kwa vitendo kwenye sanduku la kura kwamba wao na CCM ni dam dam ili upate mihemko na ghadhabu zaidi 🐒
 
Hivi wewe Tlaatlaah ukiwa na akili zako timamu, hujalewa Wala hujavuta chochote. Nitajie watu wa CCM walio serious na maendeleo ya nchi hii, watu wasio wezi, wanaoishi kwa jasho lao, walio kwenye vyeo vyao kihalali, yaani kifupi WAADILIFU.
CCM haitegemei mtu wa kikundi cha watu, CCM ni taasisi pana yenye mfumo na utaratibu maalumu wa kuwapata viongozi wa kuongoza chama na serikali...

suala la kua serious sio la mtu binafsi, bali kilicho very serious ni chama organs na unit zake zote...

Serikali ya CCM siku zote ni halali, ndio maana inaaminika zaidi kwa wananchi na kushinda kwa kishindo karibu kila uchaguzi....

masuala ya kutaja majina labda ukacheki kwenye tuvyama tudogotudogo kama chadema coz viongozi wake wanahesabika lakini sio CCM 🐒
 
ni Chama Cha Mapinduzi CCM...

sera zake za kusisimua na kuimarisha uchumi bado zinahitajika na kuaminika zaidi ndani na nje ya nchi, kwani kwa kiasi kikubwa zimebadili hali ya vipato na kuongeza hali za viwango vya maisha ya waTanzania kwa kiwango cha kuridhisha na kutia moyo sana...

sera zake za kuchochea demokrasia usawa, uhuru, haki na uwazi zimefanya siasa kua jukwaa muhimu sana kwa wananchi na wadau wa maendeleo kutoa maoni yanayoongeza uwajibikaji kwa wenye dhamana na mamlaka kwenye jamii...

sera zake kwenye upatikanaji wa huduma za kijamii kwa mfano maji, elimu, afya, miundombinu, mazingira bora ya biashara, uwekezaji, kilimo, ufugaji, usafirishaji, viwanda, ulinzi na usalama, amani na utulivu, vimefanya wananchi na waTanzania kukosa chaguo mbadala wa CCM, na kwa hivyo Imani na matumaini yao yapo katika uongozi madhubuti wa chama cha Mapinduzi...

sera zake za mambo ya nje zimekua rafiki na kivutio cha kipekee sana kwa mataifa ya dunia. ni sera ambazo zinazozingatia sana kwa kiasi kikubwa maslahi mapana ya waTanzania kwanza kiuchumi, kisiasa na kijamii, na zimekua kichocheo kikubwa sana kinachokuza biashara za nje, usafiri wa anga, utalii na uwekezaji nchini..

zaidi sana,
uongozi makini na madhubuti wa chama na serikali ya CCM ndio pekee chama cha kizalendo kinachojitegemea chenyewe, ukilinganisha na vyama vingine ambavyo kwa kiasi kikubwa vinategemea usaidizi wa hali na mali wa mataifa ya ng'ambo..

hayo ni kwa uchache tu, tena kwa lugha rahisi sana kwa sisi sote kuelewa....

hivyo basi,
chaguo pekee la waTanzania katika umoja na mshikamano wao mpaka sasa ni CCM pekee. ndiyo pekee amani na uhakika wa usalama na utulivu wao kiuchumi, kijamii na kisiasa:pulpTRAVOLTA::pulpTRAVOLTA:
Mkuu kwani kuna upinzani ndani ya CCM, mbona nguvu kubwa inatumika kuongelea kuhusu mgombea kuwa mmoja ili hali utamaduni wa CCM unafahamika ulivyo kwa muhula wa pili wa urais!!! Kulikoni???
 
Mkuu kwani kuna upinzani ndani ya CCM, mbona nguvu kubwa inatumika kuongelea kuhusu mgombea kuwa mmoja ili hali utamaduni wa CCM unafahamika ulivyo kwa muhula wa pili wa urais!!! Kulikoni???
mgombea?

kwani kuna mahali lipo jambo la mgombea nimezungumza kwenye hoja yangu? nadhani nimezungumzia taasisi pekee....

ama unataka kufahamu au unapendelea nielezee kuhusu mgombea?🐒
 
mgombea?

kwani kuna mahali lipo jambo la mgombea nimezungumza kwenye hoja yangu? nadhani nimezungumzia taasisi pekee....

ama unataka kufahamu au unapendelea nielezee kuhusu mgombea?🐒
Ni kweli hujaongelea mgombea ila nilitaka kufahamu maana Mwenyekiti ndiye msimamizi wa ilani ya chama. 🙏
 
Kwa moyo wa dhati kabisa natamani sana kuona CCM inaondolewa madarakani. Na hili litatokea VERY SOON. #TUMECHOKA
 
Chawa kwa kuwaona watanzania vipofu mnaweza
waTanzania hata uwabeze na uwaite jina lolote hata liwe baya kiasi gani, watakutizama tu na kukuhurumia...

but wanayo kazi kubwa na muhimu sana kukuprove wrong, kwa kukichagua Chama Cha Mapinduzi kwenye sandaku la kura, na kukipa ushindi wa kishindo, ili kishike dollar, kuunda serikali na kuongoza nchi 🐒
 
Kwa moyo wa dhati kabisa natamani sana kuona CCM inaondolewa madarakani. Na hili litatokea VERY SOON. #TUMECHOKA
ndoto za usingizi wa baada ya kunywa chai 🐒
 
Ni kweli hujaongelea mgombea ila nilitaka kufahamu maana Mwenyekiti ndiye msimamizi wa ilani ya chama. 🙏
ni muhimu kua na subra,
na ni vema kufahamu kwamba kuna serikali kazini, ambayo inawajibika kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, ambayo pia ndio mkataba wa chama na waTanzania walio ipa dhamana CCM kuwaongoza na kutekeleza mkataba huu....

na kwa wakati muafaka, mkataba huo utakapokamilika mapema mwaka ujao kabla ya uchaguzi mkuu, yatafanyika majumuiyo na tathmini ya kina juu ya mafanikio na changamoto katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi....

na hiyo ndio itakua ama turufu au kizingiti cha nani anastahili kupewa fursa ya kupepreusha bendera ya CCM katika Urais na kukabidhiwa jukumu la kuinadi na hatimae kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, kama Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania....

hata hivyo mpaka sasa mambo ni bayana, na ni rahisi mno kusense na kubaini kwa macho na maskio upepo unamuendea nani zaidi ya wengine 🐒
 
kwa uchovu na uvivu huo, eti baadae ndio unakua first class brain upinzani [emoji1787]
Yote nisawa maana kila mtu ameumbwa kulinda hoja zake kuona nibora kuliko zingine. Ila wakati mwingine watu hujali maslah kuliko haki na hili ndo wimbi kubwa hutesa Africa hadi leo toka enz za uchifu had na leo. So nimwendelezo tu swali ni je lini haya yataisha tujitambue ili taifa liinuke kweli ila sio hiz porojo za kushadadia uongo kukuza hewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi hatufundishwi kuwa critical thinkers hivyo uwezo wa wengi ni kutumia akili za kukaririshwa ambazo ni chini ya common sense!!

Pamoja na umaskini woote huu jinga linaridhika na uongozi tulionao, kwa mali tulizonazo ingekuwa ni nchi ya wazungu hii au muisraeli tungechuana na mataifa ya ulaya.

Tufunge na kusali LAANA ya ujinga ituishe!!
Nikiwa kiongozi ntatoa free pass Kwa raia wa Israel kuja kuishi nchini at least watu lakimoja wasomi kilamwaka kwa miaka kumi ntayoongoza na walevichwa ndonawapa bandari,utalii,UDART, ATCL,ttcl,wizara zote zakiuchumi nk.
Liwaziri limeshindwa kuongoza UDART Leo litaongoza sgr Kwa mafaniko kweli? Chyaaa!!!
 
Yote nisawa maana kila mtu ameumbwa kulinda hoja zake kuona nibora kuliko zingine. Ila wakati mwingine watu hujali maslah kuliko haki na hili ndo wimbi kubwa hutesa Africa hadi leo toka enz za uchifu had na leo. So nimwendelezo tu swali ni je lini haya yataisha tujitambue ili taifa liinuke kweli ila sio hiz porojo za kushadadia uongo kukuza hewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
kijitambua ni kutoka huko unakorubuniwa, na kujiunga na timu ambayo ni bayana ya ushindi wa wazi kabisa :pulpTRAVOLTA:
 
Hii nchi hatufundishwi kuwa critical thinkers hivyo uwezo wa wengi ni kutumia akili za kukaririshwa ambazo ni chini ya common sense!!

Pamoja na umaskini woote huu jinga linaridhika na uongozi tulionao, kwa mali tulizonazo ingekuwa ni nchi ya wazungu hii au muisraeli tungechuana na mataifa ya ulaya.

Tufunge na kusali LAANA ya ujinga ituishe!!
kwamba hapo,
mtu mzima timamu, mwenye hekima na busara zake akuunge mkono, right? :pedroP:
 
Mkiona watu wanakufa midomo wazi , jua nyuma ipo laana kuu, mfano aliekua rais wa Iran, chukua hatua
 
Ni kweli !lakini katiba ya warioba itasaidia kutatua Keri za muungano na kuwafunga speed Havana viongozinwanaokichafua chama kwa rushwa na uchawa plus ubadhirifu!
 
Miaka zaidi ya 60 ya uhuru mpo ccm hata maji tu yamewashinda tena kwenye mikoa iliyojirani na ziwa kabisa.
Mashirika yote ya umma mmeyamaliza
Viwanda vyote alivyoacha mwl hakuna hata kimoja
Mwendokasi tu imewashinda kuiendesha
CAG kila mwaka anaweka wazi madudu ya majizi yaliyoko ccm huko
Mnajiamini mna sera nzuri wakati mnaogopa tume huru ya uchaguzi mnataka tume yenye wateule wa mwenyekiti wa ccm
 
Back
Top Bottom