NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Ukimya huu ina maana kuwa viongozi wa Simba SC pamoja na kocha wameridhishwa na viwango walivyovionesha msimu uliopita?
Kila nikikumbuka nyimbo za mashabiki kumuhusu Bocco naona kabisa kuna unafiki au wanasubiri asajiliwe na msimu uanze akosee ndiyo wakumbuke na waanze kuwalaumu wazee (John Bocco na Erasto Nyoni)?
Nawasilisha hoja.
Kila nikikumbuka nyimbo za mashabiki kumuhusu Bocco naona kabisa kuna unafiki au wanasubiri asajiliwe na msimu uanze akosee ndiyo wakumbuke na waanze kuwalaumu wazee (John Bocco na Erasto Nyoni)?
Nawasilisha hoja.