Mdee amechokwa, hana hesabu mkononi. Kuna maeneo akienda hana cha kuwaambia maana alishawaahidi mara kadhaa na hakuna kilichofanyika. CCM walishajipanga na hili jimbo kitambo. Kazi si ndogo wa MdeeKwani Mdee hajachokwa?
Angepita Kizigha,Mdee angeshinda saa 4 asubuhi,lakini kwa Gwajima,hata wewe moyoni unajua Mdee ana kazi ngumu
Yan Halima mwenyewe atakuwa haamini jinsi Fisiemu walivohangaika hatimaye wakajimezesha ndoano wenyeweBaada ya CCM kumpitisha Gwajima , nina uhakika Mdee atashinda uchaguzi katika Jimbo hilo tena kwa kura nyingi zaidi safari hii kuliko ilivyokuwa mwaka 2015 unless haki isitendeke.
Ukiacha watu kuichoka CCM, Gwajima bado ataponzwa na kauli zake ambazo pia zinapatikana mitandaoni, na uzuri hapa Dar wenye smartphone ni wengi, hivyo itakuwa rahisi watu ku-share clips zake na kufanya aliyoyasema, hasa yale yenye element za udini, kuwafikia watu wengi zaidi.
Sababu nyingine itayochangia ashindwe ni kutokuwa chaguo la wana-CCM bali amekuwa chaguo la viongozi wa CCM kwani hakushinda katika kura za maoni, hivyo ni wazi wako baadhi ya wana-CCM ambao hawatampigia kura..
Kingine: Waumini wa Gwajima ni sehemu ndogo sana ya wakazi na wapiga kura wa Jimbo la Kawe, hivyo advantage ya yeye kuwa kiongozi wa dini ni ndogo sana kumbeba bila kusahau ukweli kuwa watanzania hawana sana utamaduni wa kuchagua mtu kwasababu tu ni kiongozi wa kidini.
Kuanzia leo nakuendelee, tutarajie kuona clip za Gwajima zikiibuka upya na kwa kasi mitandaoni.
Halima huko aliko bila shaka atakuwa anachekelea kupata mpinzani ambae teyari ameshajiharibia kwa kauli zake mwenyewe.
CCM inaangamia kwa watu wake kusosa maarifa yakiwemo hata maarifa madogo tu ya kusoma alama za nyakati!
Muda utaongea.
Alafu msijefanya kosa na kukomalia hili la video ile! Mtajikuta mnaletewa mapya mnaanza kazi ya kuzima moto mpya yaani! Kwa Gwajima mmeletewa mtego mbaya sanaNdio huyo huyo gwajiboy aliyefanya porn na kondoo wake na ni msukuma mkabila. mapema mno halima ajiandae, kuna kaa la moto anakuja kulikalia.
Usishangae kukuta wote hao walijiandikisha kawe, wafuasi wapo royal kwa Gwajiboy zaidi hata ya Yesu mwenyewe, trust me, huo ndio mwanzo wa ukurasa mpya wa Halima Mdee, ataungana na Mdee music kwenda mafichoni very soon.Ile nyomi ni from the whole of Dar, very few from Kawe
Mchungaji Msigwa anakukata jicho kwa mbaaaali.Gwajima haijui siasa, akumbuke huu mpambano aliouingia sio wa kuwaambia wale waumini wake Corona haitafika Tanzania halafu wanamshangilia, ghafla Corona hiyo, anageuka anasema haitanipata mimi then waumini wake wanamshangilia tena! huku ni tofauti, KAWE haitaki story za kijani, regardless of who you are.
Kawe ni ya Mdee, na Mdee ni mtoto wa Kawe, nothing more. Gwajima rudi madhabahuni ukatubu umepotoka.
Gwajima ataaminiwa na nani, mwanzo aliamua kumtumikia Yesu akamkimbia, je, akipewa ubunge akipata dili jingine lenye pesa zaidi hataukimbia?!
Kawe sio ya majaribio, Mdee atosha.
Mnachosahau ni kuwa gwajima mlishamtengenezea njia akiwemo mdee mwenyewe..sasa halima anaenda kurudi kwenye jinsia yake ya kike.Sio kwa jimbo la Kawe la wasomi na watu wenye uwezo wa kifedha kwa wingi!!
Gwajima ana makandokando mengi sana, hawezi kupita jimbo la Kawe, labda ingekuwa jimbo lingine!!!
Watu wa Kawe ninaowajua mie sio wa kwenda kumchagua mtu anayejirekodi akifanya mapenzi na mwanamke. Hapana!!! Sio Kawe hii!!! Bora wangempitisha yule Mkurugenzi wa Mwananchi, Francis Nanai
Nyie mtangazeni tu kuwa ni mwanamme lijali, alafu akiahidi kumfikisha Halima mawinguni mpaka Bulaya asahaulike mtanuna au?Mwenye ile clip ya mauno ya gwajiboy aweke hapa
Wewe ulipata shs ngapi mkuu?Jamaaa alimwaga pesa mbaya mkuu. Usiandike usichokijua waulize wajumbe
Waumini wa Kanisa Katoliki hawawezi kusahau kwa matusi makubwa aliyomtukana Kiongozi mkuu wa Kanisa Hilo Mwadhama Policarp Kardinal PengoBaada ya CCM kumpitisha Gwajima , nina uhakika Mdee atashinda uchaguzi katika Jimbo hilo tena kwa kura nyingi zaidi safari hii kuliko ilivyokuwa mwaka 2015 unless haki isitendeke.
Ukiacha watu kuichoka CCM, Gwajima bado ataponzwa na kauli zake ambazo pia zinapatikana mitandaoni, na uzuri hapa Dar wenye smartphone ni wengi, hivyo itakuwa rahisi watu ku-share clips zake na kufanya aliyoyasema, hasa yale yenye element za udini, kuwafikia watu wengi zaidi.
Sababu nyingine itayochangia ashindwe ni kutokuwa chaguo la wana-CCM bali amekuwa chaguo la viongozi wa CCM kwani hakushinda katika kura za maoni, hivyo ni wazi wako baadhi ya wana-CCM ambao hawatampigia kura..
Kingine: Waumini wa Gwajima ni sehemu ndogo sana ya wakazi na wapiga kura wa Jimbo la Kawe, hivyo advantage ya yeye kuwa kiongozi wa dini ni ndogo sana kumbeba bila kusahau ukweli kuwa watanzania hawana sana utamaduni wa kuchagua mtu kwasababu tu ni kiongozi wa kidini.
Kuanzia leo nakuendelee, tutarajie kuona clip za Gwajima zikiibuka upya na kwa kasi mitandaoni.
Halima huko aliko bila shaka atakuwa anachekelea kupata mpinzani ambae teyari ameshajiharibia kwa kauli zake mwenyewe.
CCM inaangamia kwa watu wake kusosa maarifa yakiwemo hata maarifa madogo tu ya kusoma alama za nyakati!
Muda utaongea.
Mkuu nikupe facts chache, kabla hata haijulikani CCM watamsimamisha nani watu wa Kawe hasa vijiwe vya vijana hawamtaki tena Mdee.
Mimi nipo Kawe na nimeshiriki chaguzi zote na sijawahi kumuacha Mdee ila joto la mtaani kwa Mdee si zuri. Kama tupo hapa kupiga propaganda sawa ila Mdee hana cha kuwaambia watu wa Kawe! Unajua amekuwa mbunge kwa muda gani, sasa watu hawataki tena kura za huruma, wanataka kazi!
Tatizo kuu la Mdee ni kutoa hesabu ya kazi zake! Haeleweki yaani! Hauziki!
Hahahaaa..kunywa sumu Sirro aliwaambia jana, pasuka au hama nchi mkuu.Kwanza waumini wa Gwajima sio wakazi wa Kawe Kwa ivyo kujaza kanisa lake aina maana kujaza wapiga kura.
Wajumbe wa Kawe CCM wanaweza kuwa watu wa ovyo lakini si wapiga kura wa Kawe.
Gwajima sio tu atashindwa Kawe mchana kweupe ata kumtumia kwenye campaign Dar za CCM ni kuichefua jamii ya waisalamu na kitendo kitakacho wapotezea baadhi ya wapiga kura.
Ata mimi ningekuwa naishi Kawe ningeenda kulinda kura za Mdee.
I can’t lie hate this Gwajima guy with all my zest.
Kila kitu kina mwisho kama ni message kutoka kwa mungu kwangu basi it’s time to find another past time hobby, mambo ya siasa achana nayo.Hahahaaa..kunywa sumu Sirro aliwaambia jana, pasuka au hama nchi mkuu.
Hiyo ndo demokrasia mnayoiimba kila uchao, majority rules and minority rights..na hakuna haki isokuwa na wajibu, nenda field kajionee khali ilivyo usidanganywe na multiple accounts za mitandaoni ambapo tunaandika na kujijibu wenyewe, accounts hizo hazipigi kura, hivi kweli hata kama ni wewe unasikia kijijini kwako unakuja muujiza unaoishi hutoenda kuushangaa? mtastuka kushapambazuka, kumchukia kwako mtu sio justification ya kutopendwa na wengine.Kila kitu kina mwisho kama ni message kutoka kwa mungu kwangu basi it’s time to find another past time hobby, mambo ya siasa achana nayo.
Hila bado naamini watanzania awastahili kuwa na kiongizi kama Gwajima they guy is just debaucherer and all things which are immoral in any society.