Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Hiyo ndo demokrasia mnayoiimba kila uchao, majority rules and minority rights..na hakuna haki isokuwa na wajibu, nenda field kajionee khali ilivyo usidanganywe na multiple accounts za mitandaoni ambapo tunaandika na kujijibu wenyewe, accounts hizo hazipigi kura, hivi kweli hata kama ni wewe unasikia kijijini kwako unakuja muujiza unaoishi hutoenda kuushangaa? mtastuka kushapambazuka, kumchukia kwako mtu sio justification ya kutopendwa na wengine.
You are entitled to air your opinion.
 
Salary Slip,

Sidhani kama CCM imekosa watu wenye maarifa.Nalitizama swali kama a "calculated move".Nahisi kuna machinery ya kushughulika na majimbo kama ya Mdee,Mbowe,Sugu,Lema na Msigwa.Pia nahisi kuna kikosi kazi kwa majimbo ya wale waliounga mkono juhudi (Sidhani kama wamerudishwa kirahisi tu).Kwa mara ya kwanza hakuna mtu aliyekatwa mwenye jeuri ya kuhama CCM,kama mmesikia vigezo vya kuwakata ni pamoja na taarifa kutoka different sources (unafunguliwa ukurasa wako mmoja na mwenyewe unaomba poo kama Lowasa,Sumaye na wengine).

Namuomba Mwenyezi Mungu litokee jambo na uchaguzi huu uwe kama wa serikali za mitaa then Taifa kwa ujumla tutaweza kufanya tathmini na kuamua hatma yetu 2025.
 
Huu uzi sijataka nijibizane nao kabisaa maana mimi ni mwanakawe na siri y ushindi wa Chadema kwa Kawe ni nzito sana! Mwaka 2015 tulikuwepo na sasa tupo
 
You are entitled to air your opinion.
Miakaunti yenyewe ya propaganda hizo tumeyafungua wenyewe kusemea yale kweli kwa kipindi kile kulihitajika changes tena kwa haraka sana, tunashindwa vita akapita ambaye kwa mshangao mkubwa kafanya zaidi ya yale tulokuwa tukiyasemea.

Ni mwendawazimu pekee ndo anaweza kesha mitandaoni kumnanga mtu alopambana tena kwa kujinyima sana kutusimamisha tena kwenye mstari sahihi, mambo ya maamuzi magumu na kufunga mikanda tuliyasemea sana, leo kutekeleza imekuwa kasahau watumishi, au hatukujua maana ya kufunga mikanda? Nani kawadanganya nchi ni ya watumishi pekee, kaza mkanda tu mkuu ukiona ngumu binya hata chini hasira zitapungua.
 
Yaani ile toa ndugu toa ndugu misa ya kwanza Gwajima ashabeba jimbo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza umekariri, uchaguzi haufanyiki siku ya misa. Pili mimi ni mtu wa Kawe na kuna siri nzito tunayo tangia mwaka 2015. Ushindi wa Halima Kawe ni beyond majukwaa ya kisiasa. Tulia uone ila jua kuna siri kubwa sana na inafanywa na watu nikikwambia hutoamini.
 
Halima keshaondoka hapo ingawaje nampenda sana yule dada. Haogopi na anajiamini ila kwa huyu mtu aliyeweka, kazi anayo. Pesa , kuongea na ushawishi.
Mdee ameshashindwa tayari. Toka achaguliwe hajawahi itisha mkutano hata mmoja pia bungeni sijawahi muona anatetea jimbo lake. Atabaki kuwa Mwenyekiti wa Bavicha.
 
Miakaunti yenyewe ya propaganda hizo tumeyafungua wenyewe kusemea yale kweli kwa kipindi kile kulihitajika changes tena kwa haraka sana, tunashindwa vita akapita ambaye kwa mshangao mkubwa kafanya zaidi ya yale tulokuwa tukiyasemea.

Ni mwendawazimu pekee ndo anaweza kesha mitandaoni kumnanga mtu alopambana tena kwa kujinyima sana kutusimamisha tena kwenye mstari sahihi, mambo ya maamuzi magumu na kufunga mikanda tuliyasemea sana, leo kutekeleza imekuwa kasahau watumishi, au hatukujua maana ya kufunga mikanda? Nani kawadanganya nchi ni ya watumishi pekee, kaza mkanda tu mkuu ukiona ngumu binya hata chini hasira zitapungua.
Sijui unaongea vitu gani mada inahusu Kawe.

Na kwa watu wengi uteuzi wa Gwajima is bitter pill to swallow sio kwa sababu ya vyama vyao bali what Gwajima represents.

Binafsi isingekuwa ili la Gwajima sasa ningekuwa nishatafuta ata kachupa cha 1/2 Smirnoff nasherehekea kukatwa kwa Andrew Chenge but he is the lesser devil compared to Gwajima.

Na kama nilivyokwambia kama kwako ni jambo la shangwe sawa ni utashi wako. Ila Gwajima mwenyewe alikuwa watatu kwenye kura za maoni ina maana ata hao wajumbe wa Kawe CCM hawakuona kama ni mtu sahihi kwao.
 
Gwajima hafai kuwa kiongozi kwa kipimo cha namna yoyote ile.

Gwajima ndiye aliyehamasisha ukabila akisema kuwa huu ni wakati wa wasukuma, na kwamba kuwe na program ya wasukuma kusaidiana.

Lakini amewahi kutoa kauli za kuubeza uislam. Tanzania ni ya watu wa dini mbalimbali. Lakini sote tunaheshimiana na kila mmoja anaheshimu dini ya mwenzake. Hivi mimi ni nani eti kwa vile ni Mkristo, nimwone Kikwete si chochote kwa sababu siyo wa dini yangu? Yaani nimwone tajiri Bakhresa si chochote kwa sababu yeye siyo wa dini yangu? Hivi kweli tunaamini kuwa Mungu anashindwa kuwaadhibu au kuwaangamiza wasio wake? Kama kila asiye mkristo hafai mbele za Mungu, kwa nini watu hao hao tunaodhani hawafai mbele za Mungu, wakawe na mafanikio mengi katika mengi, na wakati mwingine kutuzidi tunaoamini ni wana wa Mungu kuliko wao?

Hivi kweli unaweza kuamini kuwa Mkristo Magufuli ni mwana wa Mungu zaidi kuliko Kikwete au Mzee Mwinyi? Hivi wakristo na wengine hawajafaidika katika mambo mengi kutokana na juhudi za watu wa dini tofauti na yetu?

Ukitafakari haya yote, ukimsikia mtu anawabagua watu kwa dini zao, makabila yao au maeneo yale wanayotoka au kuishi, unajua kabisa kwamba kuna mahali kichwani na rohoni hakujakaa vizuri. Kauli ya Gwajima juu ya ubaguzi wa dini na kabila haina tofauti na ile kauli ya Rais Maguguli kuwa watu wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao kwa sababu ndio waliomchagua (ila wa Kimara Dar, tena kukiwa na order ya mahakama ya kuzuia ubomoaji, wabomolewe tu kwa vile wao siyo watu wa Mwanza)

Uchaguzi huu, tuwakatae kwa kila hali wabaguzi wote, tuwakatae wafanya upendeleo wote, tuwakatae wanaoonea watu, tuwakatae wanaoteka na kuua au kupoteza watu, tuwakatae wanaogawa vyeo kikanda, tuwakatae wanaotaka kudumisha utawala wa hofu na kuphopwa.

Tunamtaka kiongozi wa kuwaunganisha watamzania wote ili kila mmoja afurahie uwepo wake kwenye nchi yake ya Tanzania. Ambapo Mungu alimtaka aishi, afurahie maisha, amtumikie, na mwishowe amrudie.

WABAGUZI NA WENYE KUFANYA UPENDELEO HATUWATAKI, HATUWATAKI KABISA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We nae mlevi tuu..ni kwel gwajima hafai kutokana na kauli zake hapo mwanzo..ila kuanza kupiga campaign ya nyumba kwa nyumba ni upuuzi tuu na kukosa kazi..siku ya kura we nenda kapige kura yako kwa huyoo uliemkubali..na sio kuanza kuhubiri ubaya wa mtu.
Ubaya wamtu utahubiriwa tu mkuu, yawezekana ndio kazi yangu.
 
Miakaunti yenyewe ya propaganda hizo tumeyafungua wenyewe kusemea yale kweli kwa kipindi kile kulihitajika changes tena kwa haraka sana, tunashindwa vita akapita ambaye kwa mshangao mkubwa kafanya zaidi ya yale tulokuwa tukiyasemea.

Ni mwendawazimu pekee ndo anaweza kesha mitandaoni kumnanga mtu alopambana tena kwa kujinyima sana kutusimamisha tena kwenye mstari sahihi, mambo ya maamuzi magumu na kufunga mikanda tuliyasemea sana, leo kutekeleza imekuwa kasahau watumishi, au hatukujua maana ya kufunga mikanda? Nani kawadanganya nchi ni ya watumishi pekee, kaza mkanda tu mkuu ukiona ngumu binya hata chini hasira zitapungua.
Maamuzi magumu ya kufunga mkanda ndo kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato bila kupitishwa na Bunge?????

Tena kwa makubaliano ambayo hayaeleweki yalipitia mchakato gani???? Umepotea sana!
 
Gwajima hafai kuwa kiongozi kwa kipimo cha namna yoyote ile.

Gwajima ndiye aliyehamasisha ukabila akisema kuwa huu ni wakati wa wasukuma, na kwamba kuwe na program ya wasukuma kusaidiana.

Lakini amewahi kutoa kauli za kuubeza uislam. Tanzania ni ya watu wa dini mbalimbali. Lakini sote tunaheshimiana na kila mmoja anaheshimu dini ya mwenzake. Hivi mimi ni nani eti kwa vile ni Mkristo, nimwone Kikwete si chochote kwa sababu siyo wa dini yangu? Yaani nimwone tajiri Bakhresa si chochote kwa sababu yeye siyo wa dini yangu? Hivi kweli tunaamini kuwa Mungu anashindwa kuwaadhibu au kuwaangamiza wasio wake? Kama kila asiye mkristo hafai mbele za Mungu, kwa nini watu hao hao tunaodhani hawafai mbele za Mungu, wakawe na mafanikio mengi katika mengi, na wakati mwingine kutuzidi tunaoamini ni wana wa Mungu kuliko wao?

Hivi kweli unaweza kuamini kuwa Mkristo Magufuli ni mwana wa Mungu zaidi kuliko Kikwete au Mzee Mwinyi? Hivi wakristo na wengine hawajafaidika katika mambo mengi kutokana na juhudi za watu wa dini tofauti na yetu?

Ukitafakari haya yote, ukimsikia mtu anawabagua watu kwa dini zao, makabila yao au maeneo yale wanayotoka au kuishi, unajua kabisa kwamba kuna mahali kichwani na rohoni hakujakaa vizuri. Kauli ya Gwajima juu ya ubaguzi wa dini na kabila haina tofauti na ile kauli ya Rais Maguguli kuwa watu wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao kwa sababu ndio waliomchagua (ila wa Kimara Dar, tena kukiwa na order ya mahakama ya kuzuia ubomoaji, wabomolewe tu kwa vile wao siyo watu wa Mwanza)

Uchaguzi huu, tuwakatae kwa kila hali wabaguzi wote, tuwakatae wafanya upendeleo wote, tuwakatae wanaoonea watu, tuwakatae wanaoteka na kuua au kupoteza watu, tuwakatae wanaogawa vyeo kikanda, tuwakatae wanaotaka kudumisha utawala wa hofu na kuphopwa.

Tunamtaka kiongozi wa kuwaunganisha watamzania wote ili kila mmoja afurahie uwepo wake kwenye nchi yake ya Tanzania. Ambapo Mungu alimtaka aishi, afurahie maisha, amtumikie, na mwishowe amrudie.

WABAGUZI NA WENYE KUFANYA UPENDELEO HATUWATAKI, HATUWATAKI KABISA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu. Siongezi neno!
 
Maamuzi magumu ya kufunga mkanda ndo kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato bila kupitishwa na Bunge?????

Tena kwa makubaliano ambayo hayaeleweki yalipitia mchakato gani???? Umepotea sana!
Msiangalie tu economic viability, angalia pia security issues mambo ambayo hata upige vuvuzela vipi huwezi elezwa na huenda Rais mwenyewe hawezi hoji wala kuongelea zaidi ya viability kiuchumi kitu ambacho ni positive pia.

Kwangu na kwa wengi tumeelewa, mala mia kuliko walokuwa wakipitisha kwa kujulikana na wanaenda kuzitumbua overseas.
 
Msiangalie tu economic viability, angalia pia security issues mambo ambayo hata upige vuvuzela vipi huwezi elezwa na huenda Rais mwenyewe hawezi hoji wala kuongelea zaidi ya viability kiuchumi kitu ambacho ni positive pia.
Security issues ndo kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato? Tena bila kufuata taratibu???Acha upuuzi wako hapa
 
Mzee Yusuf Makamba 2016 - : Gwajima ana laana ya kumdanganya Magufuli, CCM tumlaani kwa pamoja kwa nguvu zote (dakika ya 7: 24 ya video)



23 Jul 2016
Hotuba ya Mzee Yusuf Makamba akizungumzia imani yake kwa mwenyekiti mtarajiwa wa CCM Mhe. Rais John Magufuli, suala la Askofu Gwajima kusema CCM haitaki kumpa Magufuli uenyekiti

Aliongea yeye Kama yeye. Haikuwa kauli ya chama
 
Back
Top Bottom