Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Daaah pengine wanatujua zaidi wanakawe kuliko tunavyojijua
Hilo nakataa wajumbe tu wa CCM Kawe awakumpa ushindi na asilimia kubwa ya wajumbe tunajua elimu yao.

Kawe ni jimbo ambalo liliovutia watia nia wengi wenye exposure na elimu isiyo na mashaka kwenye matokeo wengi awakuambulia ata kura moja, huyo Gwajima mwenyewe alikuwa watatu.

Sasa kama wajumbe walimkata awakuona anafaaa unadhani watu wenye akili zao timamu ambao ni asilimia kubwa ya wakazi wa Kawe watamchagua kweli ‘con artist’.

Ikitokea miujiza Gwajima akashinda eneo ambalo limejaa wasomi na professionals lazima tujiulize kwa pamoja watanzania kama akili zetu zipo sawa.
 
Kama Tume itakuwa huru!

Mimi nachoogopa mpaka leo katika Uchaguzi huu ni ile kauli waliyoambiwa Wakurugenzi,´Nimekupa Nyumba na Gari harafu umtangaze Mpinzani´! Kwa kauli hii ukizingatia Rais anavyoichukia CHADEMA,Mdee akipita ujue Mungu atakuwa ameingilia kati.
Mimi kwa kauli hii,kwenda kupiga kura nitafiki mara mbili kabla ya kwenda kupiga kura.
 
Una ushahidi wa hizo tuhuma za kusagana????

Ukitaka ushahidi wa clip za Gwajima kuhamasisha ukabila utapata, ukitaka ushahidi wa clip ya Gwajima akikata mauno na binti kitandani ipo!!!

Sasa wewe unasema jambo lipi hasa la ajabu????
Sina ushahidi aisee, ila mngemsaidia kupata mume yote haya yangeisha au kupungua. Mbona vidume vipo vingi tu.
 
Gwajima ni tapeli, mhuni, mdini na mkabila hafai kua kiongozi ktk taifa hili..

Tuapenda na jembe kamanda HALIMA MDEE anatitosha sn.
 
Sina ushahidi aisee, ila mngemsaidia kupata mume yote haya yangeisha au kupungua. Mbona vidume vipo vingi tu.
Nyie wanaume wa Dar maboya sn mmeshindwa kumpa mimba hata wema na amber ruty kazi yenu visingizio vya hovyo tu
 
Huyu jamaa kwanza aende akamwombe radhi Mzee Pengo..afu atuombe radhi wakatoriki na watanzania wote.

Maneno yake hayafai narudia tena hayafai kutoka kwenye kunywa cha mtu wa Mungu anayejiita ni Askofu wa kanisa la Kristo Yesu aliye hai.

Akishindwa basi tunakwenda kuwaadhibu mapemaaa!!

Na hata aliomba radhi tunaweza kuwaadhibu vilevile!! Itategemea tumeamkaje siku hiyo!!
 
Faida za kumchagua Gwajima ni nyingi maradufu kuliko Halima!

Halima hivyo vipindi alivyopata vinamtosha!

Kwanza ni ngumu kwake kushirikiana na serikali katika kutatua kero za wananchi .

Kazi yake kukosoa na kushughulikia kesi mahakamani!

Kukosoa siyo vibaya pale inapobidi lakini mivutano na serikali isoisha inapoteza muda na kuweza kushirikiana pamoja kujadili na kuleta ufumbuzi wa mambo inakuwa vigumu.

Wananchi tunataka ufumbuzi wa matatizo na kero mbalimbali na siyo mivutano na serikali isiyoisha!
 
..CCM ingempeleka watu kama Dr.Kimei, Prof.Ndalichako, au Dr.Mpango, Ummy Mwalimu, kugombea jimbo la Kawe. Gwajima ni tapeli ambaye hatakiwi kupewa platform kama ya ubunge.

cc Kilatha
 
Kwahio mkuu nchi nzima tuwachague ccm kwa sababu kwao nirahisi kushirikiana na Serikali?.
 
Kwa uraisi bora Magu ila kwa vyeo vingine chadema ndio watapata wengi
 
..CCM ingempeleka watu kama Dr.Kimei, Prof.Ndalichako, au Dr.Mpango, Ummy Mwalimu, kugombea jimbo la Kawe. Gwajima ni tapeli ambaye hatakiwi kupewa platform kama ya ubunge.

cc Kilatha
Ata wangemuacha huyo huyo alieshinda kura za maoni sawa tu.

Tatizo la washabiki wa Gwajima na baadhi ya CCM sio wote kwenye hii mada awaelewi hoja za wengi wetu humu. Issue sio CCM na CDM kwa sana ni aina ya mgombea CCM iliyompendekeza.

Gwajima is not a ethical brand and that is a fact to an average mind. Anaweza kuwa popular na mtu mwenye followers wake wakutosha but he is not the kind of person, a mainstream political party or any other large organisation want to be associated with.

Majuzi tu nilikuwa nasikiliza interview ya Harmonize kwenye uzinduzi wa sigara akiwa kama brand ambassador alitumia muda mwingi sana kudai ahamisishi uvutaji wa sigara, atarajii watu ambao awavuti sigara waanze kuvuta sigara kisa yeye ambassador na maneno mengineo yenye kuonyesha yeye sio adui wa afya.

Iwapo watoto wadogo tu wanajua social responsibility zao kama kioo cha jamii. Unajiuliza Dr Bashiru msomi wa kiwango cha Phd anaends mnadi vipi Gwajima mtu ambae ni controversial video zake watu wameziona nyingi tu na zipo za kujaribu kufufua maiti, za ngono, kutukana viongozi wenzake wa dini wenye heshima, dharau kwa dini zingine, uongo wake kwa waumini sijui COVID imeletwa na 5G na mambo mengine mengi ya ovyo.

Huyu mtu kweli Dr Bashiru na Kate Kamba wanaweza simama mbele ya watu wakawashawishi ni mtu safi na mzuri kupeperusha brand CCM. Vitu vingine vinaonyesha jinsi gani hawa watu walivyokuwa political amateurs.
 
Kumpa mchungaji kura yangu sio rahisi ila kutambua kazi aliyofanya JPM itabidi nimpe kura
 
Wewe mwenyewe umewahi kumwona gwajima kama ni mtu wa maana sana, kwa hiyo watu wanaweza kumwona wa maana na wasizingatie hizo clips. Sababu kubwa ninayoiona itamkosesha ubunge Gwajima ni aina ya wapiga kura wa jimbo la Kawe. Halima amekuwa akichaguliwa na makundi yote, wakiwemo wanaCCM kutokana na hoja zake kushabihiana na aina ya wapia kura. Gwajima angeenda kugombea jimbo la kiijiini angeshinda kirahisi Gwajima ana swaga za kishamba sana!
 
Aiwaaa hayo maneno matatu ya mwisho ndo hasa msingi wa mshangao wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…