Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Sio kwa jimbo la Kawe la wasomi na watu wenye uwezo wa kifedha kwa wingi!

Gwajima ana makandokando mengi sana, hawezi kupita jimbo la Kawe, labda ingekuwa jimbo lingine!

Watu wa Kawe ninaowajua mie sio wa kwenda kumchagua mtu anayejirekodi akifanya mapenzi na mwanamke. Hapana!!! Sio Kawe hii!!! Bora wangempitisha yule Mkurugenzi wa Mwananchi, Francis Nanai
Hahahaaa! Unamuongelea yule mwenye mkono wa baunsa? Gwajima acha kabisa.
 
Mnajidanganya. Hamjui kinachoendelea, Gwajima anaibeba Kawe kabla misa ya kwanza kuisha! Yaani ile toa ndugu toa ndugu huku mambo yameisha...
Mtazamo kama hauweza kuwashawishi wajumbe wa CCM ndo aweze kuwashawishi wasomi na watu wenye uwezo wa kifedha wa jimbo la Kawe? Nadhani huijui Kawe wewe!

Na mavideo yake yale ya kujirekodi akizini na wanawake? Labda sio Kawe ile ninayoijua mie.
 
Mzee Yusuf Makamba 2016 - : Gwajima ana laana kubwa mbili, ya kumdanganya Magufuli na ile ya Mwadhama Polycarp Pengo hivyo CCM tumlaani kwa pamoja kwa nguvu zote (dakika ya 7:24 ya video)



23 Jul 2016
Hotuba ya Mzee Yusuf Makamba akizungumzia imani yake kwa mwenyekiti mtarajiwa wa CCM Mhe. Rais John Magufuli, suala la Askofu Gwajima kusema CCM haitaki kumpa Magufuli uenyekiti
 
Salary Slip,

Mtapata taabu sana aisee, hiyo mitandao unayoizungumzia ya multiple accounts za kuandika na kujijibu mwenyewe wadhani ndo zitapiga kura? watumiaji wa mitandao hawafiki hata 20% ya watanzania, aibu ya mwaka huu sijui mtaificha wapi.
 
Samahani Mdee,Gwajiboy humwezi
Watanzania hawashabikii udini hata kidogo na nchi yetu imepata amani kwa hilo. Ila kwa suala la Gwajima yeye amejipambanua kabisa kwamba ana chuki za waziwazi kwa Waislam. Ametangaza mara nyingi sana kudhoofisha juhudi za Waislam kwa kudhamiria kuzibadilisha madrasa zetu kuwa Sunday School. Sisi Waislam wote wa Dar es Salaam tutahamia Kawe. Nyumba hadi nyumba msikiti hadi msikiti madrasa hadi madrasa kuwaambia Waislam kuwa huyu Gwajima hafai kuongoza Kawe. Ninaamini kawe ina waislam wengi sana wakutosha kumfanya huyu Askofu Mbaguzi asipite. Tutaungana na watu wengine wenye fikra na busara za kujua athari za kumchagua Gwajima. Mungu tusaidie tusiwe miongoni mwa wanafiki. Death to Gwajima
 
Uchaguzi sio kitu rahisi. Halima must over prepare. Dharau, kibri na kudhani kwamba ushindi upo mezani tayari ni kosa kubwa. Makonda just learnt that.
 
Sio kwa jimbo la Kawe la wasomi na watu wenye uwezo wa kifedha kwa wingi!!

Gwajima ana makandokando mengi sana, hawezi kupita jimbo la Kawe, labda ingekuwa jimbo lingine!!!
Watu wa Kawe ninaowajua mie sio wa kwenda kumchagua mtu anayejirekodi akifanya mapenzi na mwanamke. Hapana!!! Sio Kawe hii!!! Bora wangempitisha yule Mkurugenzi wa Mwananchi, Francis Nanai
kashfa za Gwajiboy kisiasa zinambeba katika uafrika wetu!

Gwajiboy ni mwanaume,akiwagonga wanawake hata kama ni mtumishi wa Mungu kisiasa hasa kwa hapa bongo hazimpunguzii chochote!
Ila kumbuka Mdee ana kashfa ya usagaji,hyo kibongobongo siyo sifa nzuri,kisiasa hata kimaadil!
Gwajiboy mfume dume unambeba!
 
Back
Top Bottom