martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 735
- 1,552
jimbo la Kawe lile mpaka linafanana na halima sasa huyo gwaji boy anaanzia WaPI kuligeti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ukweli ndio huo siwezi kuanza kukudanganya. Natamani nikuambie dada yako atashinda lakini ndio hivyo ajikite kwenye shughuli za chama zaidi hasa BAWACHA.msumari ukuchome
Kwani kura zinapigwa na waumini? waumini wenyewe wanatoka kila kona ya DSM, amini mjomba, Gwajima anapigwa mapema sana.Unataka kuniambia lile nyomi analojaza kila jumapili hakuna mwenye smartphone pale? Inamaana Hizo clip hawazioni? Hoja mufilisi kabisa hiyo.
Gwajiboy is untouchable.
Gwajima huyu aliyeshindwa kutoboa ndani ya CCM tena mbele ya mtoto mdogo asiye na kanisa?Kufuatia kupitishwa rasmi kwa Askofu Dr. Josephat Gwajima kugombea jimbo la Kawe, namshauri Halima Mdee na CHADEMA wawekeze zaidi huko BAWACHA. Kwa Gwaj hawatoboi ng'ooo.
Tukutane Oktoba
Mataga mtataga mpaka mayai viza mwaka huu. Wewe uishauri Chadema kama nani?Kufuatia kupitishwa rasmi kwa Askofu Dr. Josephat Gwajima kugombea jimbo la Kawe, namshauri Halima Mdee na CHADEMA wawekeze zaidi huko BAWACHA. Kwa Gwaj hawatoboi ng'ooo.
Tukutane Oktoba
Gwajima ana kashfa yenye ushahidi na makandokando mengi, Mdee ana kashfa za kusemwa tu zisizo hata na chembe ya ushahidi.kashfa za Gwajiboy kisiasa zinambeba katika uafrika wetu!
Gwajiboy ni mwanaume,akiwagonga wanawake hata kama ni mtumishi wa Mungu kisiasa hasa kwa hapa bongo hazimpunguzii chochote!
Ila kumbuka Mdee ana kashfa ya usagaji, hyo kibongobongo siyo sifa nzuri, kisiasa hata kimaadil!
Gwajiboy mfume dume unambeba!
Yani mcheza porn amshinde mdee kabda ashinde njaaKufuatia kupitishwa rasmi kwa Askofu Dr. Josephat Gwajima kugombea jimbo la Kawe, namshauri Halima Mdee na CHADEMA wawekeze zaidi huko BAWACHA. Kwa Gwaj hawatoboi ng'ooo.
Tukutane Oktoba
Kama mtanzania wa kawaida ambaye sipendi dada apoteze muda na rasilimali pesa. Keshashindwa tayariMataga mtataga mpaka mayai viza mwaka huu. Wewe uishauri Chadema kama nani?
Uzuri jamii forum ipo so mda utaongea ila KAWE mbunge wao kwa nyingine ni MDEE.Mkuu, nakuhakikishia kuwa Mdee byby
achana nae mkuu..atakusumbua huyoMataga mtataga mpaka mayai viza mwaka huu. Wewe uishauri Chadema kama nani?
Gwajima huyu aliyeshindwa kutoboa ndani ya CCM tena mbele ya mtoto mdogo asiye na kanisa?
Ataachana vipi na mm wakati tayari hofu imeshatanda huko?achana nae mkuu..atakusumbua huyo
Umechangia fair fair kabisa, bila ushabiki, japo kuna mtu wa kawe aliniambia eti wana kawe wanadai Mdee hajawahi fanya mkutano , wala kuongelea maslahi ya wana kawe ,wala hajaqafanyia kitu.Gwajima inabidi ajipange Sana na hoja kawe Kuna watu timamu wanaojielewa Sana kiakili na uwezo.so asijiamini Sana, chance Ni 50 kwa 50 asijiaminishe Kama makonda
Ushauri hapa uko wapi?Kufuatia kupitishwa rasmi kwa Askofu Dr. Josephat Gwajima kugombea jimbo la Kawe, namshauri Halima Mdee na CHADEMA wawekeze zaidi huko BAWACHA. Kwa Gwaj hawatoboi ng'ooo.
Tukutane Oktoba
Ukweli mchunguKufuatia kupitishwa rasmi kwa Askofu Dr. Josephat Gwajima kugombea jimbo la Kawe, namshauri Halima Mdee na CHADEMA wawekeze zaidi huko BAWACHA. Kwa Gwaj hawatoboi ng'ooo.
Tukutane Oktoba