Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Kura zote a waislamu keshakosa msukuma mjinga labda akalete wa Kolomije wampigie. Wasukuma Hovyooooo
 
Viongozi wa CCM wengi hawajui siasa, kitendo cha kulazimisha matakwa yake na kudharau wanachama wake kitampa pigo vyama vya siasa vya upinzani walikuwa wanasubiri sana majibu haya waanze kutumia madhaifu yake.
 
Pambaneni na hali zenu, kitendo cha kuanza kutumia udini hizo ni dalili za kushindwa haitasaidia watanzania ni waelewa.
Hakuna mdini kama Gwajima, waislam tunaakili zetu hatuwezi mchagua Gwajima.
 
Gwaji aanze kushona suti tu mapema aachane na hivyo vizibao bungeni.

Kama kampeni yenyewe mnategemea clips zake akitia,kibongobongo hiyo siyo habari labda ingekuwa kainamishwa.
Kwa taarifa yako hilo ni tusi kubwa sana kwa wanawake wenye kujiheshimu, yaani huyo Gwajima sijui kwanini kasukumiwa huo msalaba.
 
Kura zote a waislamu keshakosa msukuma mjinga labda akalete wa Kolomije wampigie. Wasukuma Hovyooooo
Unapoleta udini na ukabila hautaisaidia Chadema hata kidogo siyo lazima Mdee awe mbunge miaka yote.
 
gwajima nahisi alikukosea kitu kikubwa rafiki yangu polee sana msamehee mbuge wa kawe.
Gwajima ana kashfa yenye ushahidi na makandokando mengi, Mdee ana kashfa za kusemwa tu zisizo hata na chembe ya ushahidi.

Gwajima angeweza kushinda jimbo la Mbagala au Ubungo huko, sio jimbo la Kawe ambalo lina wasomi wengi na watu wengi wenye uwezo wa kifedha!!!!
 
Baada ya msukuma mmoja kukatwa na wana Kigamboni tunamleta msukuma mwingine ila walete na Ile video sasa tuone yote. Wasukuma jinga sana.
Ukabila hautawasaidia jengeni hoja si kuleta ukabila.
 
Salary Slip,

Hapa unajidanganya mwenyewe, Gwajima ndio mgombea hatari kuliko mgombea yeyote wa ccm.

Kama mnataka kushinda kawe pangeni mikakati ya ziada kupambana naye, CCM si wajinga kumkata aliyeshinda kura za maoni na kumchukuwa mshindi wa tatu.

Kwanza hatari ya kwanza Gwajima analimudu jukwaa kuliko mtu yeyote yule Tanzania hii, take my word Chadema iwekeze nguvu ya ziada kulichukuwa jimbo la kawe this time, huu ni ukweli mtupu.

Cha mwisho ufahamu Gwajima ni taasisi si mtu wa kawaida yule.
 
Back
Top Bottom