Mpaka sasa Israeli imeua nusu ya Makamanda wa Hezbollah huko Kusini mwa Lebanon

Mpaka sasa Israeli imeua nusu ya Makamanda wa Hezbollah huko Kusini mwa Lebanon

Hupendi kuona wenzako wanatangulizwa jongomeo kwenda kurithi bikra 72? ACHA WIVU BHANA 🤔
Hakuna tatizo kufa sote tutakufa, lakini jaribu muwe wa kweli kwenye habari zenu 😄 afu kufa inategemea umekufa vipi, kama umekufa unapigana na adui yako, huo ni uwanaume, tena safi sana.

Kuna watu wanakufa wako wanaiba.
 
Nusu ya makamanda wake wapo mavumbini hadi sasa, vipi kwa hao kuruta? Bado wapo laki? Hebu wahesabu tena!
Mapigano ya Israel na hizbullah mpakani yameua hizbullah 450, Israel hawasemi wamekufa wangapi,makamanda wa hizbullah waliouawa ni WA mpakani,ni nusu ya makamanda wa vikosi vya mpakani siyo jeshi zima,na hiyo nusu wanasema waisrael
 
Hata wakiwa milioni kipigo kiko pale pale…
Waluounda Hilo taifa feki, uingereza,wamewataka Israel kusitisha mapigano Mara moja huko Gaza na kuitambua Palestine Kama taifa huru,ilipofika uingereza ikaitenga south Africa ya kibaguzi,haikupita miaka miwili USA akafuata na kaburu akaporomoka,mwisho wa Israel umefika
 
Wacheni uwongo nyie miezi 9 tunaenda wa kumi Israel kauwa jumla ya ma commander wa Hezbollah 6 tu, hii week ndio kabahatika kuwauwa wa 3, katika hao 6. Leteni dalili zenu na majina yao kama mnacho ongea ni kweli.

We labda unaongelea hawa ma commander kwa hi video hapa chini, kawauwa jana, katoka kwenye step ya kuwauwa wanawake, watoto na vizee kule Gaza, mpaa kwenye mbuzi na kondoo kweli jeshi la Israel wana technology za ajabu ajabu sana.

Hawawaoni wanamgambo wa Hamasi kule gaza, lakini wanaona vitoto,wanawake na vizee.

Huko Lebanon hawawaoni wanamgambo wa Hezbollah, lakini wanaona mbuzi na kondoo 😄

Hili jeshi lazima tulipigie salute, kuwa jeshi jinga duniani kwenye history halijawahi kutokea, watu wanapiga hatua kwenye vita kwa kutumia silaha mpya,wanatarget sehemu za madui walipo wanavunja camp za jeshi na wanasambaritisha askari wote, wako waishie kufa au wakimbizwe kwenye ma hospital

Jeshi la taifa teule kwa technology zao wanaishia kwenye mbuzi na kondoo,Yesu hakukosea kuwaita makondoo walio potea



View: https://youtu.be/mTlC76pgufM?si=r-B8bAC9FjJRaLA6

Usitoke kando ya radio yako
 
Israel has killed 450 Hezbollah terrorists since outbreak of fighting after October 7th, including half of the Lebanese terror group’s officers on the front.
---
IDF has killed half of Hezbollah commanders on Israeli border, says Defense Minister
Israel has killed 450 Hezbollah terrorists since outbreak of fighting after October 7th, including half of the Lebanese terror group’s officers on the front.

Israeli forces have eliminated half of the leadership of the Hezbollah terrorist organization in southern Lebanon over the past nine months, Israel’s defense minister said Sunday.

Defense Minister Yoav Gallant (Likud), visited the northern front Sunday, holding a security assessment at an IDF position in Mount Hermon in the Golan Heights.

During his visit, Gallant met with IDF officers commanding units deployed to the area, including with the commanders of Division 210, Brigade 188 and the commanders of the battalions operating in the areas of the Hermon and Mount Dov.

Gallant was briefed regarding Hezbollah’s aggression in this region and Iranian attempts to entrench its proxies in the Golan Heights. The minister and troops discussed operations in addressing these threats.

Later in the day, Minister Gallant also held a discussion with the troops of Armored Battalion 53, regarding operations in Gaza and readiness to defend Israel against Hezbollah.

Speaking with soldiers from the IDF’s Armored Corps, Gallant revealed that since the outbreak of fighting on the Lebanese front on October 8th, Israel has killed half of Hezbollah’s commanders in southern Lebanon.

“Hezbollah and Palestinian terrorist organizations have lost 450 terrorists – 15 commanders at the level of brigade commanders or above, were eliminated. This includes 3 division commanders and makes up for over 50% of Hezbollah’s total number of commanders in southern Lebanon. This is very significant.”

These are critical days in terms of exercising our power against an enemy [Hezbollah] that only responds to force. Even if we reach an agreement in the southern arena, we will continue fighting here, until we bring Hezbollah to reach an agreement and ensure the safe return of Israel’s northern communities to their homes.”

World Israel News
Kwa udhalimu, uuaji, ukatili, unyama! Hata waje makamanda wote! Bado Hamas watakuwepo na bado Wapalestina watadai nchi yao!
Historia inasema hivyo! Mifano nchi zote zilizotawaliwa na wakoloni! Karibia zote zilipata uhuru na nchi zao!
Solution?
2 States. Period...
 
Israel wakiuwawa husikii habari wanakaa kimya wakati Pale Gaza kaeneo kama Bunju tu wamesota mwaka mzima na bado wanasota wajinga sana
 
Ni jengo lipo beirut.
Leo jioni jeshi la Israel wameshambuliwa vikali sana.

Na kulitokeailipuko mingi sana baada ya shambulio Hilo.
Kitu hicho kimwonyesha kuwa kulikuwa na siraha ndani ya jengo Hilo.


View: https://youtu.be/90Ma4Uu09bA?si=XKfkmcrx86fSAAFn.

Ulitokea moshi mkubwa sana mjini beirut Leo jioni.






Pia kutokana na shambulio Hilo
Imeripotiwa kuwa kiongozi mmoja wa Hezbollah kauwawa.

View: https://x.com/sentdefender/status/1839708000753246297?t=qeRU09CSN2XUkNtG0gd69A&s=19
 
Sasa hivi ni risk kuwa karibu au kusogeleana na kamanda au ofisa wa ngazi za juu wa Hamas na Hezbollah, maana popote walipo wanajulikana kwa Jeshi la Israel
 
Back
Top Bottom