Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni baada ya kipigo kitakatifu kwenye base ya Hezbollah huko Beirut.
Je yawezekana anakuja kutangaza kifo cha Hassan Nasrallah ??
View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1839722100702982244?t=0mmRsy0oWk4EgcWuFS5Qew&s=19
Ripoti zinadai kuwa kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, alijeruhiwa vibaya katika shambulio la anga la Israeli ambalo lilibomoa majengo sita katika kitongoji cha kusini mwa Beirut, Haret Hreik.Nilijuwa tu Nasralah ndo target kuanzia ile issue ya pagers hadi bombardments.
Wametumia bunker busters za mmarekani. Maalum kwenye kuchimbua sehemu zenye mahandaki na tunnel networks.
🤣🤣🤣🤣🤣🤝Sasa Bwana waweza kumruhusu Mtumishi wako aende kwa amaniHuyu kwa alivyompambania allah! Akipewa bikira mara mbili ya wengine ni sawasawa kabisa
Duuh noma sanaView attachment 3108600
Kwenye ule mlipuko aliyetoka salama yupo kwenye hali hii na anaweza asitoboe.
Sahau kabsa kuna Osama bin Laden kule hawezi akukubali upendeleo wa kipuuzi vile la sivyo watauwana huko peponi halafu Allah atakiwe kutoa bikira juu ya bikira.Huyu kwa alivyompambania allah! Akipewa bikira mara mbili ya wengine ni sawasawa kabisa
Ripoti ya ujasusi wa Marekani inatoa tamko lisilo na shaka: kama kweli Hassan Nasrallah alikuwa ndani ya handaki hilo, chini ya barabara zilizoharibiwa za Beirut, haiwezekani kwa yeye kupona. Huu sio uvumi, bali ni tathmini ya kina na makini kutoka kwa wataalamu wa ulimwengu wa ujasusi. Mabomu yaliyotumika na Israeli hayakutengenezwa kukosa shabaha au kuacha njia za kutoroka zikiwa salama—yalitengenezwa kuangamiza chochote kilichoko chini.View attachment 3108600
Kwenye ule mlipuko aliyetoka salama yupo kwenye hali hii na anaweza asitoboe.
Dah!Israel oyeeeeeeeeeerrre. Watu wa maana kabisa. Najivunia kuwa Muisrael🤣🤣🤣🤣🤝🤣🤣🤣🤣
Kuwa shabiki mkubwa na mfuasi wa IsraelDah!
Sawa mkuu,hongera.
Kabisa mkuu!Kuwa shabiki mkubwa na mfuasi wa Israel
Uislam raha sana....Yuko zake uchi peponiiiiii akijibebisha na watoto watamu waki MasaiRipoti ya ujasusi wa Marekani inatoa tamko lisilo na shaka: kama kweli Hassan Nasrallah alikuwa ndani ya handaki hilo, chini ya barabara zilizoharibiwa za Beirut, haiwezekani kwa yeye kupona. Huu sio uvumi, bali ni tathmini ya kina na makini kutoka kwa wataalamu wa ulimwengu wa ujasusi. Mabomu yaliyotumika na Israeli hayakutengenezwa kukosa shabaha au kuacha njia za kutoroka zikiwa salama—yalitengenezwa kuangamiza chochote kilichoko chini.
💣 Kauli ya afisa huyo inabeba uzito wa uzoefu na usahihi. Ikiwa Nasrallah alikuwa pale, basi amekufa. Ngome za chini ya ardhi ambazo Hezbollah inategemea zinaweza kuwa zimejengwa kwa kina, lakini hazishindikani. Mabomu haya hupenya tabaka za zege, chuma, na ardhi kwa kusudi moja: kuhakikisha kwamba hakuna kitu—hakuna kituo cha amri, hakuna kiongozi, hakuna mpiganaji—kitakachonusurika.
Mpaka Netanyahu aache mkutano na kufunga safari siku ya Sabato, ujuwe siyo jambo la mzahaView attachment 3108600
Kwenye ule mlipuko aliyetoka salama yupo kwenye hali hii na anaweza asitoboe.