Yanga ndio timu ya kwanza Ardhi ya Tz kufuzu makundi... Kwahiyo sio Jambo geni.... HAKUNA timu bora ngazi ya 10 akasubiri viti maalum na pira gimbiiiiiiiUmesahau we miaka 25 hujapita hata kwa upendeleo kama CUF ya Lipumba
Makundi ya vyura au?Yanga ndio timu ya kwanza Ardhi ya Tz kufuzu makundi... Kwahiyo sio Jambo geni.... HAKUNA timu bora ngazi ya 10 akasubiri viti maalum na pira gimbiiiiiii
Lakini huwa wanapangaje,unakuta miaka nenda rudi timu za kusini mwa Africa na Africa ya kati hazikutani wenyewe kwenye kundi moja,ni mara chacheTeam zinapangwa kwa pots katika haya mashindano.
Na kuna team haziwezi kukutana pia katika makundi labda mbeleni uko.
Makundi kwa Simba ni kitu cha kawaida10 bora bado unapita kwenda makundi kwa viti maalum Kama kina Halima mdee?...
kabla Mzinze hajazaliwa ingawa alikuwa ameshaanza shuleYanga ndio timu ya kwanza Ardhi ya Tz kufuzu makundi...
Hawa ndio wanaomba kupangiwa na Simba[emoji1]𝗧𝗜𝗠𝗨 𝗭𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗖𝗟𝗘𝗔𝗡𝗦𝗛𝗘𝗘𝗧𝗦
Timu zilizoondoka na Clean sheets kwenye hatua Ya Kwanza ya kutinga Makundi Caf Champions League
[emoji3502]Al Ahly [emoji1093]
[emoji3502]Yanga Sc [emoji1241]
[emoji3502]TP Mazembe [emoji1078]
[emoji3502]ES Tunis [emoji1249]
[emoji3502]Mamelodi Sundowns [emoji1221]
[emoji3502]Wydad [emoji1173]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Unaona ulivyo kiazi?Makundi ya vyura au?
Hujui hata Future inashiriki michuano gani. Ndio tatizo la kukosa makundi ya CL kwa muda mrefu sawa na umri wa Mzinzekuna kitimu fulani kinaitwa ki future kimeifunga singida, kile hata hakitafika mbali, then itafuata simba.
No matter what yanga ndio timu ya kwanza...kabla Mzinze hajazaliwa ingawa alikuwa ameshaanza shule
Mzee wa tigo vipi?[emoji23][emoji23]
Sawa viti maalum wa CAFMakundi kwa Simba ni kitu cha kawaida
We ya mbatataUnaona ulivyo kiazi?