Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatua hii tunapita wote na hizo timu hii ni mara ya 6 mfululizo hata Esperance walisherekea siyo kama mara mbili mfululizo miaka hii basi mara 3,Je Yanga mara ya ngapi?
FactMkuu wachezaji tunao wazuri.
1.Kibu
2.Manula/Salum
3.Inonga
4.Miquison
5.Chama
6.Saido
7.Kapombe
8.Shabalala
9.Ngoma
10.Mzamiru
11.Baleke
12.Onana
13.Ukuta wa Yeriko
Kweli unashinda kupata first 11? Wachezaji wazuri halafu mpira ndo ule?hatuna kocha aisee
Watu hawa fananisha bali identity ya Simba tokea ni mpira kuwekwa chini (Lunyasi),kinacho watesa mashabiki standard mliyo iweka nyie miaka yote ndio inayo watesa mashabiki.Kama mpaka leo Kuna shabiki wa Simba hajaridhika na timu yake inavyocheza atakua anajiumiza bure.
Simba tangu watoke uturuki wameshacheza mechi za kutosha kuonyesha namna timu yao ilivyo.
Kwasababu ki ufundi hakuna kitakacho ongezeka wanachotakiwa kufurahia ni matokeo tu.
Kutaka kuifananisha timu yao na Yanga ni makosa makubwa sana, ki ufundi ni timu zilizo tofautiana sana na hazina uwiano ata kidogo.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
MBUMBUMBU BORA WAJITOE TUSawa mpo kwenye kumi bora hebu zitizame timu zilizo kwenye kimi bora na ww na mechi ulizocheza hivi karibuni.Haya kaka mwezi huu unamechi na Al Ahly kwa mpira wahuu wa msimu huu,utatia aibu hapo kwa Mkapa.
hizo cleensheet zimewasaidia nini kwenda group stage𝗧𝗜𝗠𝗨 𝗭𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗖𝗟𝗘𝗔𝗡𝗦𝗛𝗘𝗘𝗧𝗦
Timu zilizoondoka na Clean sheets kwenye hatua Ya Kwanza ya kutinga Makundi Caf Champions League
▪️Al Ahly 🇪🇬
▪️Yanga Sc 🇹🇿
▪️TP Mazembe 🇨🇩
▪️ES Tunis 🇹🇳
▪️Mamelodi Sundowns 🇿🇦
▪️Wydad 🇲🇦
😆😆😆😆😆😆
Wenyewe CAF hawa kufahamu kabisa,yaani kwa mujibu wa CAF wewe hata nusu ya michuano yoyote ya CAF hujawahi kufika au labda CAF ya Lipumba.Tulishafika club bingwa na Stella Abdjan,ambayo hata kwenye mafaili ya ndoto zenu hamfiki
mmepata medali au mabati?😅🤣🤣Kwanini nyie hamjapata medali ya CAF?
utopolo ni utopolo tuYanga ndio timu ya kwanza Ardhi ya Tz kufuzu makundi... Kwahiyo sio Jambo geni.... HAKUNA timu bora ngazi ya 10 akasubiri viti maalum na pira gimbiiiiiii
hahaha mpira ni mkakati sio kucheza tu mkuu acha kubwabwaja tu fuatilia soka kwa makini sio unaenda vibanda umiza bure fanya uchambuzi vizuri🤔Kwa mpira huu kolo anaweza kula hata 10 Kwa mamelods ___0
😂😂🤣🤣Duuuh
Kwanini nyie hamjapata hayo mabati?mmepata medali au mabati?😅🤣🤣
🤣😅🤣🤣 sikatai hatujapata ila tunachotaka ni kunyanyua kwapa sio kuvaa mabatiKwanini nyie hamjapata hayo mabati?
Kwanini nyie hamjanyanyua kwapa sasa?[emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji1787] sikatai hatujapata ila tunachotaka ni kunyanyua kwapa sio kuvaa mabati
success take time don't rushKwanini nyie hamjanyanyua kwapa sasa?
Hapa sawa sasa tunaelewana, yanga na simba wote bado tunajitafutasuccess take time don't rush
experience mkuu tofauti kabisa so msijilinganishe na Simba bali jifunzeni kutoka kwetuHapa sawa sasa tunaelewana, yanga na simba wote bado tunajitafuta
Ulisema pale juu, tunataka kunyanyua makwapaexperience mkuu tofauti kabisa so msijilinganishe na Simba bali jifunzeni kutoka kwetu