Mpaka sasa Makolo hawajaweka Uzi kuelekea match ya saa 10

Afu haina kombe la.ligi.miaka 4 na CAF kule imepigwa nje ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hembu kashabikie gormahia za huko.kisumu kwenu
Nipe idadi kamili ya makombe yote iliyochukua
 
Kama tulivyozoea msimu uliopita,ilikuwa Simba wakicheza siku basi utafunguliwa Uzi wa update kuelekea match hiyo asubuhi na mapema. Cha kushangaza mpaka sasa saa saba mchana hakuna Uzi wala dalili ya Uzi.
Mulibwanji
 
Kama tulivyozoea msimu uliopita,ilikuwa Simba wakicheza siku basi utafunguliwa Uzi wa update kuelekea match hiyo asubuhi na mapema. Cha kushangaza mpaka sasa saa saba mchana hakuna Uzi wala dalili ya Uzi.
Mnawashwa ???
Muda bado tulieni, msijifariji mkasahau matatizo yenu

Furaha yenu haidumu
NAWASALIMU KAKA ZANGU.
 
Afu na utopolo inacheza pira hewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi.ile timu iliyokua inacheza na kagera ndio.mnayo ipigia kelele kuwa ni nzuri inatisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile timu iliyocheza na makolo fc tarehe 25
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…