Mpaka sasa Makolo hawajaweka Uzi kuelekea match ya saa 10

Mpaka sasa Makolo hawajaweka Uzi kuelekea match ya saa 10

Afu haina kombe la.ligi.miaka 4 na CAF kule imepigwa nje ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hembu kashabikie gormahia za huko.kisumu kwenu
Nipe idadi kamili ya makombe yote iliyochukua
 
Kama tulivyozoea msimu uliopita,ilikuwa Simba wakicheza siku basi utafunguliwa Uzi wa update kuelekea match hiyo asubuhi na mapema. Cha kushangaza mpaka sasa saa saba mchana hakuna Uzi wala dalili ya Uzi.
Mnawashwa ???
Dodoma mji ni katimu kadogo sn,hatuwezi kuacha mambo yetu kukimbilia kufungua uzi saa 3 asubuhi ..tusubiri saa 10

Utopolo subirini mechi za ligi ya mabingwa wanaume tutakapoanza kukiwasha tutafungua threads mapema sn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Muda bado tulieni, msijifariji mkasahau matatizo yenu

Furaha yenu haidumu
NAWASALIMU KAKA ZANGU.
 
Afu na utopolo inacheza pira hewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi.ile timu iliyokua inacheza na kagera ndio.mnayo ipigia kelele kuwa ni nzuri inatisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile timu iliyocheza na makolo fc tarehe 25
 
Back
Top Bottom