Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #121
Ahahaha daah"She don't care!" badala ya "she doesn't care!"
Kuendekeza tu ngono kwenda shule aaah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha daah"She don't care!" badala ya "she doesn't care!"
Kuendekeza tu ngono kwenda shule aaah!
We kuwezaAchaneni na mapenzi.
Hapana ni mnyakyusaPole sana Mkuu, hali ni tete...Ni kabila gani huyo? Kama Mpare basi kama hulka vile
Baada ya muda kabadilika na mda amebadilika baada ya mm kuwa bize na masomoTangu unaingia nae kwenye mahusiano alikuwa hivyo hivyo au ameonesha baada ya muda fulani? Ni jibu hili swali kwanza
Au sioKwa kingereza hiki lazima upigwe chini
She don't care= she doesn't care
She turn me into play boy soon as possible... = She turned me into a....
Najaribu kumuacha ila najikuta naumua sasaKiasili mwanaume humtawala mwanamke kama hatawaliki,. Hakujali, hakuheshimu achana nae unless otherwise ni mkeo tayari
Sasa hata nikiwa kipofu si ndo tapotea kabisa...Mapenz jifanye kipofu ila ukiyafatilia utakufa
Mkuu mbona unatukana...Wanaume vilio always. Mateso na kulizwa kama vibinti vya zamani vilivyotolewa bikira na kukimbiwa.
Uja ingia kwenye mfumo weweHivi hizi hela wanawake ni za kupewa tu ili wao wafurahie halafu watupe stress...kwa nini asitafute zake na mimi za kwangu halfu tukikutana tuzitumie wote tufurahi....! Au wao ndio wanatakiwa kufurahi peke yao.
Nampenda sasaKama ushamgonga mkaushie
Huenda ayupo moyon mwako tafuta pumnziko jipyaSasa hata nikiwa kipofu si ndo tapotea kabisa...
Ebu nishauri hapa nafanya nn maana naona nina vurugwa
Asante sana ndgu yanguPole sana mkuu
We ulisikia wapiHebu mlete nyumbani hapa,nimkanye
Natafuta pumziko jipya sawq lakini ishu inakuja...Huenda ayupo moyon mwako tafuta pumnziko jipya
Hali tete mkuuWe
We ulisikia wapi
Na hiyo andika Kingereza chako uchwara, au huelewi nikufundishe?Na wewe una mimavi kichwani..
Achana na mimi...
KashesheHali tete mkuu
Nifundishe ndio...Na hiyo andika Kingereza chako uchwara, au huelewi nikufundishe?
Mimvi = kunyaring.
Mkuu hali sio poa imagine anaweza aka mute tuu kati kati ya conservation etKasheshe