Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Nateseka sasa...
Nafanya nn ili nimpuuze japo kuna huyu mmoja ananikubali ila mimi daah simwelewi kabisa hata nikisema ni focus nae nashindwa...

Serious am gonna to be crazy
Ndivyo ilivyo kadri unavyojipendekeza ndivyo utakavyoumia zaidi, jilazimishe kumpotezea
 
Mkuu ananiendesha sana huyu mtu kwa sasa yupo mkoa...
Na kiukweli sijawahi ku mla ila sasa nina mpango huo nataka nimkamie alafu ndo nianze kuzingua na mimi..

Baada ya hapo nitasambaza upendo wa namba kwa wenzangu wote
Kumbe ujamla ndio maana demi anakuletea maringo demu ukimpiga machine vizuri lazima akuheshimu mimi demu wangu nikimwambia muda wowote aje anakuja hata anaumwa
 
Nakupenda ndio maana nakwambia ukweli.

I am a woman , i know how i act when i am not interested/no longer interested!
Daaah aisee asante sana bint...
Ngoja nisikie sasa aiseeee.

Ila ujue nini nataka nikushirikishe kitu
Hivi ukute anafanya yote haya kwa kuwa bado sija jigijigi nae nini
 
Kumbe ujamla ndio maana demi anakuletea maringo demu ukimpiga machine vizuri lazima akuheshimu mimi demu wangu nikimwambia muda wowote aje anakuja hata anaumwa
Daaah oky oky mkuu sasa hapa ngoja nifanye kweli mana yupo mkoa hukooo daah
 
Back
Top Bottom