The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
Mind your own business brother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wewe apo jna napenda kukuitaAsee ndio nani
🤣🤣🤣 Samahani haturudii tena
njoo nkuazime moyo wangu kwa mda,aseee kufka kesho umemsahauKipaji kweli hata nikisema nikaze ila nakuta nashundwa kabisa an
kwani mnalazimishwa kuandika kiingereza? she don't care is grammatically wrong. it should be she doesn't care. kama hamjui kingereza tumieni lugha mnayoifahamu.Pole sana Mkuu
Ipo ivi mwanzo alikuwa anakujali sana na kukupa kipaombele Yani ulikuwa kama green light kwake kwa Kila jambo ambalo alitegemea kufanya au kukufanyia lakini baada ya kufanya yote ayo bado ukujali Wala kuthamini ivyo akajitaid sana kukuelewesha na kukusamehe ukuweza kutega sikio na kukubari makosa Yako ivyo ikafika wakati ukatengeneza usugu wa kutokujali ndani ya moyo wake ndio maana Kila kitu ukifanya yeye anaona ni sawa tuu ata kama ukikosea au ukipatia mbaya zaidi umebadirika kwenye kipindi ambacho mwenzako ayupo tayari kukupa attention kama zamani lakini sio kama akupendi hapana anakupenda sema tuu ameamua ajiweke pembeni maana alijitoa kama Sargent akiwe mstari wa mbele vitani lkn Amna alicho kipata
Sasa Mimi nakushauri Fanya ivi
1. Una sababu ya kuwa play boy maana utajiumiza mwenyewe tuu na kupata Magonjwa ambayo ya tagharimu maisha Yako
2. Mwanamke huwa anasamehe lkn asahau ivyo anza kumpenda kana kwamba unamuona Leo ukifanya ivyo ndani ya mwezi Kila kitu kitakuwa poa
3. Usiache kumtafuta na kumjulia hali tena ongeza Kasi kama internet ya Star Link
4. Usiwe na mawazo hasi juu yake maana unaweza ukazani anachepuka kumbe mwenzio yupo clean kabisa
5. Kaa nae chini Kisha muombe msamaha kama Kuna sehemu ulimkosea
Jina la watu wa hovyo hiloNdo wewe apo jna napenda kukuita
Kuna nini kwani
tukimbie huku aseeeeJina la watu wa hovyo hilo
Vp lakini chezo la kutosheleza unampa 🤔Hii kitu niko mbioni kwenda kuifanya,🥲 nimeongea hadi kuchoka wacha nmpe actions sasa.
Nmemwambia hadi anioeVp lakini chezo la kutosheleza unampa 🤔
😁😁😁😁😁 vp lakini bolt yako trade zake bado zipo 🤔Nmemwambia hadi anioe
Zmetolewa na watu sita before him🥲🥲😁😁😁😁😁 vp lakini bolt yako trade zake bado zipo 🤔
Sasa hapo anasubiri nini mpaka ndoaZmetolewa na watu sita before him🥲🥲
Niliweka utepe bandiaSasa hapo anasubiri nini mpaka ndoa
Ndiwooo adi unatamani akutangaze ITV😂Raha mno hasa ukitafutwa na yule unaemuelewa sana.
😂Usiogope, endelea kupambania kombe mpaka damu ikutoke.
Aljazeera au CNNNdiwooo adi unatamani akutangaze ITV😂