Mpaka sasa ni Saudi Arabia pekee iliyocheza mpira wa kuweza kubeba Kombe la Dunia

Mpaka sasa ni Saudi Arabia pekee iliyocheza mpira wa kuweza kubeba Kombe la Dunia

Jamaa wamepiga mpira mkubwa, wa kasi na kukaba kwa nguvu. Mpaka muda fulani nikadhani naiangalia Arsenal ya Arteta.

With Coach Hervé Renard (Former Chipolopolo (zambia) Coach).
 
Kombe la dunia halipo hivyo,Italy kwenye makundi ilianza hovyo akaja kuchukua kombe kwa penati na Ufaransa. Ufaransa wenyewe nao kwenye makundi walipita kwa zali.

Ila muhindi leo kazikusanya hela zake.
Ni kweli mpira unabadilika ila jamaa leo wamecheza kiume hasa. Wamepigana jihad.

Leo muhindi anaenda kupiga party
 
Kombe la dunia halipo hivyo,Italy kwenye makundi ilianza hovyo akaja kuchukua kombe kwa penati na Ufaransa. Ufaransa wenyewe nao kwenye makundi walipita kwa zali.

Ila muhindi leo kazikusanya hela zake.
Mwaka 1990 Argentina alianza kwa kufungwa na Cameroon, ambaye alikuja kuongoza kundi kwa pointi 6.
Argentina alivuka kwa bahati, alimaliza akiwa ni wa tatu na pointi zake nne, wa pili akiwa Romania, naye akiwa na pointi nne.
Mwishowe, alifika fainali.
Mwaka, 2010,Hispania alianza kwa kufungwa na Uswis 1:0. Mwishoni alifika fainali, na kubeba kombe.
 
Mwaka 1990 Argentina alianza kwa kufungwa na Cameroon, ambaye alikuja kuongoza kundi kwa pointi 6.
Argentina alivuka kwa bahati, alimaliza akiwa ni wa tatu na pointi zake nne, wa pili akiwa Romania, naye akiwa na pointi nne.
Mwishowe, alifika fainali.
Mwaka, 2010,Hispania alianza kwa kufungwa na Uswis 1:0. Mwishoni alifika fainali, na kubeba kombe.

Usikariri hivyo wewe... mwaka huu hamna cha zali hapa, timu andunje jipeni moyo tu!
 
Saudi Arabia wamecheza mpira vizuri na kuwashinda Argentina kinyume kabisa na matarajio ya karibu watu wote.

Kumbe hawa watu wangeachana na mambo ya swala tano kwa siku wangekuwa mbali kwa mambo mengi ila kumbe wanajiharibia wenyewe tu.

Ukiangalia vizuri walivyokuwa wakicheza walicheza kwa ufundi mkubwa sana na mpira wa kufundishwa kabisa.

Saudi Arabia were well disciplined throughout the entertaining match and surely they deserved to win, if they can maintain this spirit definitely they can turn out to be a dream team in this tournament.
 
Saudi Arabia wamecheza mpira vizuri na kuwashinda Argentina kinyume kabisa na matarajio ya karibu watu wote.

Kumbe hawa watu wangeachana na mambo ya swala tano kwa siku wangekuwa mbali kwa mambo mengi ila kumbe wanajiharibia wenyewe tu.

Ukiangalia vizuri walivyokuwa wakicheza walicheza kwa ufundi mkubwa sana na mpira wa kufundishwa kabisa.

Saudi Arabia were well disciplined throughout the entertaining match and surely they deserved to win, if they can maintain this spirit definitely they can turn out to be a dream team in this tournament.
Kama unaona swala tano ni kujiharibia hilo baki nalo wewe...! Kwani hizo ni Imani zao kwa raia wa nchi ya Saudi Arabia, kwahivyo hizo fikra zako usitake zibebwe na wengine.

Sijui mpagani wewe..!Maana hata mwenye imani ya Kikristo hawezi kusema hivi.
 
Mwaka 1990 Argentina alianza kwa kufungwa na Cameroon, ambaye alikuja kuongoza kundi kwa pointi 6.
Argentina alivuka kwa bahati, alimaliza akiwa ni wa tatu na pointi zake nne, wa pili akiwa Romania, naye akiwa na pointi nne.
Mwishowe, alifika fainali.
Mwaka, 2010,Hispania alianza kwa kufungwa na Uswis 1:0. Mwishoni alifika fainali, na kubeba kombe.
Sasa hiyo ya kuanza kwa kufungwa then kwenda kuwa bingwa huoni probability yake ni ndogo sana unaweza kuta kwenye mabingwa wote wa worldcup toka kuanzishwa kwake hiyo haijatokea zaidi ya mara 3 katika makombe 21yaliyobebwa
 
Nilichelewa kucheki matokeo. Wakati nafungua dk ya 77 nilitarajia nikute [emoji1033] 5 - 0 [emoji1210] ajabu nakuta 1-2 respectively.
Nimeshangaa sana nikasema hawa wanashinda na ikawa hivyo.

Wananikumbusha Seychelles kwenye AFCON. Ilitolewa lakini ndio timu ilikuwa pendwa sana.
 
With Coach Hervé Renard (Former Chipolopolo (zambia) Coach).
Halafu huwezi kuamini eti huyu kocha alishawahi kuomba kazi ya kuinoa Taifa Stars! Halafu mwisho wa siku viongozi wa TFF wakampa timu Emmanuel Amuneke!!
 
Kama unaona swala tano ni kujiharibia hilo baki nalo wewe...! Kwani hizo ni Imani zao kwa raia wa nchi ya Saudi Arabia, kwahivyo hizo fikra zako usitake zibebwe na wengine.

Sijui mpagani wewe..!Maana hata mwenye imani ya Kikristo hawezi kusema hivi.
Everyone is entitled to his/her own opinion.
 
Sasa hiyo ya kuanza kwa kufungwa then kwenda kuwa bingwa huoni probability yake ni ndogo sana unaweza kuta kwenye mabingwa wote wa worldcup toka kuanzishwa kwake hiyo haijatokea zaidi ya mara 3 katika makombe 21yaliyobebwa
Labda kufungwa kutawafanya wagangamale sana siku zijazo.
 
Jamaa wamepiga mpira mkubwa, wa kasi na kukaba kwa nguvu. Mpaka muda fulani nikadhani naiangalia Arsenal ya Arteta.

Kuifunga Argentina sio mchezo mzee baba, na ndio timu iliyopewa nafasi ya kufanya vizuri kombe la dunia.. mechi 36 amecheza bila kupoteza, hiyo jana angeshinda angemfikia italy mwenye 37.

Mshindi wa kombe la dunia anatokea hapa
Saudia
Argentina
France
Germany
Spain
Denmark
Croatia

Kila la heri Albiceleste
 
Kuifunga Argentina sio mchezo mzee baba, na ndio timu iliyopewa nafasi ya kufanya vizuri kombe la dunia.. mechi 36 amecheza bila kupoteza, hiyo jana angeshinda angemfikia italy mwenye 37.

Mshindi wa kombe la dunia anatokea hapa
Saudia
Argentina
France
Germany
Spain
Denmark
Croatia

Kila la heri Albiceleste
Croatia na Denmark watoe hapo.
 
Jamaa wamepiga mpira mkubwa, wa kasi na kukaba kwa nguvu. Mpaka muda fulani nikadhani naiangalia Arsenal ya Arteta.
Mahaba dini yakuua. Unadhani Mechi dunia nzima ilionyeshwa kwako tu. Timu baada ya kupata bao la pili haikuwahi kufanya shambulizi hiyo Kasi uliiona wapi. Unadhani mpaka wanaweka siku ya mapumziko Leo ni sababu ya Kasi na kukaba?
 
Back
Top Bottom