BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Croatia na Denmark watoe hapo.
Nimeicheki mechi ya croatia wapo vizuri, ngoja tuone na Belgium na wengine waliobakia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Croatia na Denmark watoe hapo.
Mimi ni mkristo safi, hapa nimeandika kutokana na kile nilichoona. Baada ya ushindi plan yao ilikuwa ni kulinda, kukaba na kushambulia kwa kushtukiza.Mahaba dini yakuua. Unadhani Mechi dunia nzima ilionyeshwa kwako tu. Timu baada ya kupata bao la pili haikuwahi kufanya shambulizi hiyo Kasi uliiona wapi. Unadhani mpaka wanaweka siku ya mapumziko Leo ni sababu ya Kasi na kukaba?
Mwaka huu kombe laweza kupata mwenyeji mpya inaqeza kuchukua nchi ambayo hatuitarajiiJamaa wamepiga mpira mkubwa, wa kasi na kukaba kwa nguvu. Mpaka muda fulani nikadhani naiangalia Arsenal ya Arteta.