Mpaka sasa nimepoteza $300 kwenye forex

Jiunge na group la telegram ujifunze forex bure kbs,download telegram search forextraderstz.
 
Hongera sana ndugu. Nakutakia mafanikio ili ushuhuda ujae uwe no Wa faida mara mbili ya hiyo gharama ya kujifunzia. Ndio, inawezekana.
 
Hongera sana ndugu. Nakutakia mafanikio ili ushuhuda ujae uwe no Wa faida mara mbili ya hiyo gharama ya kujifunzia. Ndio, inawezekana.
Usijari mkuu. Siku hizi $6 kwa siku hazinipigi chenga
 
Nimecheza demo account kwa mwezi mmoja,niliipunguza kutoka 10,000 mpaka 9,245.75 . Lakini Sasa nimeipandisha Tena mpaka 10,576.50. Sasa naingia kwenye live account. Nimetumia indicator moja tu nayo Ni cross ya sma na ema.nimesoma vitabu na kuangalia clips za YouTube.sijafundishwa na yoyote chochote kwa ajili ya kucheza forex.
Asante Ontario kwa kunitàmbulisha forex.
 
hebu nitumie njia unayo tumia ya sma na ema.
 
njia yangu hiiyo hapoo ukiona ina aanza blue una nunua na nyekundu ni una sell inaonyesha short na long position kama huya elewa niulize
 
hiyo sasa ikifika point ina piga alert kuwa ni mda wa kununua inakuonyesha pande zote then una confirm tu.
 
hiyo sasa ikifika point ina piga alert kuwa ni mda wa kununua inakuonyesha pande zote then una confirm tu.
Mkuu hiyo ni indicator gani ? Tukutane mkuu tupeane maujanja
 
Forex is not a game or gambling forex inafanywa mpaka na serikali mbalimbali forex ni biashara
 
Ok,hiyo ni renko,nipe wiki mbili tu nitakuita Tena nifundishe [emoji1] [emoji1]
Baada ya wiki mbili nitakuita nikufundishe Tena.
By any means lazima niijue hiyo.iwe jua iwe mvua.
 
hebu niundishe njia yako maana tuna jitaidi kueta njia zisizo na hasara
Bado sijafahamu indicator nyingi kwenye forex ila naona ili kuepuka hasara lazima nawe uwe sharp Sana kwenye mkono wako,soko la forex liko fast Sana na uwe na uhakika na trend yako Kama Ni uptrend au down trend.( mimi Bado Ni mgeni kwenye forex,)
 
Bado sijafahamu indicator nyingi kwenye forex ila naona ili kuepuka hasara lazima nawe uwe sharp Sana kwenye mkono wako,soko la forex liko fast Sana na uwe na uhakika na trend yako Kama Ni uptrend au down trend.( mimi Bado Ni mgeni kwenye forex,)
maana hiii sija wai pata hasara japo nilichoma acount kipindi cha nyuma saizi niko naendelea kuikagua kiundani kujua mapungufu yake .. tokea nime anza kuituia mwaka jana angalia picha vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…