Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Tusidanganyike kirahisi wakuu, Kuna watu maarufu sana duniani kama David Beckham na mke wake walisha wahi kuja kula good time hapa nchini na wakazungukia vivutio vyetu miaka ya nyuma.
Pia kuna ma Rais wastaafu wa nchi kubwa kama US wamewahi kuja kula good time na kusepa, wasanii pia wamekuja wengi tu kabla ya Royal Tour.
Pia Kuna watalii toka nchi mbalimbali wamewahi kuja kwa makundi kupitia ndege na wengine toka Israel walikuja kupitia treni ya TAZARA wakianzia South Africa, Zambia na wakaja hapa zaidi ya 300 kwa mara 1.
Kwahiyo hii nchi na vivutio vyake vinajulikana kuliko hata hiyo filamu ya Royal Tour, kwa maoni yangu utalii wetu huchochewa sana na majarida kama Forbes, The Guinness World Records nk.
Ni bora zile pesa wangepewa wamiliki wa majarida hayo yanayo aminiwa na mamilioni ya wanadamu ili waweke vijitangazo katika kurasa zao za mitandaoni hata kwa dakika 15 tu.
Binafsi royal tour naona ni upigaji na namwelekeza CAG afanye special auditing na alete ripoti maramoja kuhusu chanzo cha zile fedha, matumizi yake, hao waliotoa walizipata wapi na wanategemea nini toka kwa steringi wa movie ile.
Pia kuna ma Rais wastaafu wa nchi kubwa kama US wamewahi kuja kula good time na kusepa, wasanii pia wamekuja wengi tu kabla ya Royal Tour.
Pia Kuna watalii toka nchi mbalimbali wamewahi kuja kwa makundi kupitia ndege na wengine toka Israel walikuja kupitia treni ya TAZARA wakianzia South Africa, Zambia na wakaja hapa zaidi ya 300 kwa mara 1.
Kwahiyo hii nchi na vivutio vyake vinajulikana kuliko hata hiyo filamu ya Royal Tour, kwa maoni yangu utalii wetu huchochewa sana na majarida kama Forbes, The Guinness World Records nk.
Ni bora zile pesa wangepewa wamiliki wa majarida hayo yanayo aminiwa na mamilioni ya wanadamu ili waweke vijitangazo katika kurasa zao za mitandaoni hata kwa dakika 15 tu.
Binafsi royal tour naona ni upigaji na namwelekeza CAG afanye special auditing na alete ripoti maramoja kuhusu chanzo cha zile fedha, matumizi yake, hao waliotoa walizipata wapi na wanategemea nini toka kwa steringi wa movie ile.